cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna rafiki yangu alienda anasimulia alivyofika akawa yeye ndio wa kununua mboga na mahitaji mengine [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna rafiki yangu alienda anasimulia alivyofika akawa yeye ndio wa kununua mboga na mahitaji mengine [emoji23]
Mumewe kamporaa cm, [emoji23][emoji23][emoji23]Tangu Jana namuita nashangaa kulikoni [emoji1745]
Mtoto ulikuwa unakimbilia Daslama kwA nini Coca[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakat huo nilikua mdogo jamani,
Sahiv hata kwa wazaz sitaki kukaa, napenda kuishi pekee angu
That's true.. unayemkataa anageuka kuwa msaada.Watu tunajisahaulisha haraka mno au pengine hatufikiri sawasawa, maisha ya Afrika Ni undugu,likikupata ndugu zako ndio wataokubeba
Huku Hakuna funeral companies kwamba ukifa itaenda lipia gharama uzikwe ,Ni Hao ndugu zetu tunaowanyanyapaa ndio wachimba kaburi
Ikitokea umeumwa Ni Hao Hao ndugu ndio watakua wauguzi
Indeed we need to be humble, mengine Ni umaskini kama walivyosema wachangiaji wengi
Kafanyaje tena maana kwa matukio nimemshindwa kila siku lokapuJirani yako kakutwa na jamboo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kitu cha kwanza katika maisha yangu ni ndugu zangu, pamoja na familiar yangu.Mbaya zaidi MTU akishakaa kwako siku akiondoka huko anakofikia Ni kumsema mkeo vibaya.
Mara jamaa kaolewa maana yule mke Ni mvivu. Mke mchoyo, mke anadharau n.k
Kumbukeni mke wangu Ni pambo la nyumba yangu, sio MTU wa kusonga ugali kwa ajili ya mijitu ya kijijini.
Mke wangu ashindwe kunilisha vipaja vya kuku kisa Kuna mgeni au mke wangu asiwe na Uhuru wa kujiachia nyumbani kwake kisa mgeni!
Kwendreni huko.
Hahahaaa naona unamtafutaJamaa mbona una hasira dhidi ya ndugu zako, wallikufanya nini mpaka unawaitia Mijitu?
Mkuu Jaribu kuwa Mnyenyekevu basi.
Hao unaowadharau ipo siku utawakumbuka na hutawaona.
Kama huwezi kumsaidia mtu basi achana naye ila usimpe majina mabaya eti Mijitu.....Itakuwa wewe Kweli Umeolewa maana hizo hasira tu sio kidogo.
Umefunga uzi mkuu, ndio maana nikasema mleta uzi ni maskini na roho mbaya juuHapa watu wanshindwa kutofautisha woote amabao wanasema ndg zao wasipokelewe kisa hajatoa taarifa wengi maisha Yao ni tia maji tia maji yaani hawana uhakika Leo atakula Nini atavaa nn. Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yalinikuta Jumapili alikuja mtu wa aina hiyohiyo nyumbani tofauti ni kuwa huyu aliletwa na ndugu yangu, alichonikera ni vile alipofikishwa tu akawa na kidaftari chake ameandika namba za simu za watu wake anaojua wapo Dar, akaomba simu yangu na kuanza kuwapigia mmoja hadi mwingine mbaya zaidi akawa anawaambia uongo kuwa yupo ameekaa kwangu kwa zaidi ya mwezi, kilichonikwaza zaidi siku iliyofuata nimerudi toka mihangaiko yangu jioni nakuta sebule imejaa hao rafiki zake kama kuna kikao cha kikoba wamechukua vinywaji kwa jirani bila kunishirikisha bill ipo kwangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nanyie muache upimbi wa kutuambia tukija Dar tuwatafute. Nguchiro nyie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna kipindi ndugu wa mke wangu walikua wengi mno home, nikiwa kijana mdogo kabisa ndio tunaanza maisha na wife.
Sijui walijua Mimi ni "Jesus" naweza walisha wote kwa kuombea tu Chakula kiji multiply.
Mkuu umeongea kwa uchungu sana ni kweli wanaendaga na mkate na sukari kilo moja lakini mwishowe wanapewa gunia limejaa nafaka na jogoo wa kwenda kula na wanawe.Watu wa Dar mnachekesha sana
Mkija mikoni mara zote mnajisabu karibuni Dar ndg zangu tutembeleane sie tuko huko wewe ukija maswala ya nauli ya kurudi niachie Mimi maneno mengi ya kiswahili na kitapeli mtupu... mwisho mnatuachia na no Zenu za simu. Mtu analima mpunga wake anauza gunia2 ananunua nguo mpya na nauli anabakiza Ili aje matokeo yake unamzimia simu kisa hajakupa taarifa Sasa ulimkaribisha wa Nini ukiwa kwake Kijijini kwann usimchukue umwambie mara nyingine ukitaka kuja toa taarifa.
Watu wa mjini kumbukeni mnapokuwa mikoani ndg Zenu wanawajali sana kunavyombo vimenunuliwa special Kwa ajiri yenu hata baba wa familia hajawahaaai tengewe kumbukeni ninyi ndo Huwa mnakula majogoo na mbuzi wakubwa huko kijijn Tena kuku kienyeji pure achana na broiler wenu. Ninyi ndio Kila kitu mnasifia Cha Kijijin mara hii mihogo mizuri mitamu Ina unga ..maembe haya mazuri Sana Nina miaka kadhaa sijala embe tamu kama hili. Mkiaga hamkatai kubebeshwa mpunga,karanga au mahindi Ili Hali wewe ulikuja n mikate na sikonzi 3 tu garama ya ya3500.
Acheni roho mbaya
Ukiona mtu ni mchoyo kwenye chakula na malazi kwa mtu,tena wanaofahamiana na anafikia kiasi ambacho anazima hadi simu kabisa ujue huyo ni tajiri kwa nje lakini kiundani ni mwenye uchumi uliojaa madeni na hali ngumu.Masikini ndio wanaendekeza kuja kwa watu bila taarifa. Matajiri kwanza hawana huo muda wa kutembeleana hovyo majumbani. Hakuna watu wenye bajeti kali kama matajiri, kwanza lazima utoe taarifa mapema .a sio kwenda kukaa tu kwake bila plan.
Ndiyo ni misos,kwa hyo bakini huko huko mikoani. Kama unakuja mjini fikia Nyumba ya wageni.SAWA?Ndiyo hivyo,maana sijaona kitu kinawapa ubize zaidi ya usafiri[emoji23],
Na imagine na hii mvua wanaishije[emoji23],
Nyie dar mateso sana,
Hivi kwenye miaka hii bado mtu anaweza kutoka tu huko kijijini na kuja mjini BILA SABABU na kuamua tu kuwa nitaenda kukaa kwa NDUGU (Baba mdogo, mkubwa, Shangazi, Dada, Kaka, Bibi, Babu nk????!!Hii tabia imekuwa sugu. Yaani mtu anakaa tu na halmashauri ya kichwa chake anaamua kuwa nimpigie jamaa yangu yupo Dar nikafikie kwake.
Mi nipo zangu home jana inaingia simu ya Abouu. Ananiuliza maisha vipi namwambia safi tunalisongesha. Maneno maneno mengi mwisho anasema nipo Dar nataka nije kwako nielekeze. Nikamuuliza wakati unapanga kuja ulinishirikisha? Unaamua tu kuja kwangu hata hujanitaarifu.
Jamaa ame mind kawaambia watu nimemkataa. Ninyi wa Mikoani mnadhani huku ni kama kwenu huko ambako hamna ratiba maalum. Mnajiamulia tu.
Mwaka juzi nlimwacha mtu stand kwa upuuzi kama huo. Kakaa zake Mbwinde mwisho kaamua kuja town a anipigia simu kuwa yupo Dar anataka aje home. Nlimwambia tu kuwa sipo home na familia tumesafiri.
Akaanza kuomba basi nimpatie pesa ya sehemu ya kulala anisubiri. Nilimwambia mwezi mzima sitokuwa home. Akataka nimtumie nauli. Nlizima na simu kabisa. Huu ni wendawazimu.
Halafu tukiwaakaribisha mnaenda kutusema kijijini kuwa huku tunaishi maisha mazuri sana hatuwajali watu wa vijijini. Mnaenda kutuponda sana kijijini kuwa tunatumia pesa vibaya.
Mimi walienda kusema nafuja sana pesa badala ya kuwasomesha watoto wao. Mtu kazaa watoto 13 anataka nimsomeshee... Mimi nina 3 tu. Bado wanaenda kusema nakuaje na watoto wachache ... Mwanaume gani. Mke amenikalia kichwani anarudi jioni kama mwanaume. Wanataka wife awafulie nguo zao. Na wanakuwa wakali akirudi awapatie chakula n.k sina hamu na ndugu kabisa.
Mmoja tumekaa naye mwaka mmoja amekuja nimsomeshe diploma. Akirudi toka chuo anaangalia TV mpaka saa 4 akipewa kazi basi za home siku yupo asaidie... Anasema anateswa sana hawezi soma. Nikasubiri likizo. Akaenda kwao kusalimia. Nikamwambia atafute chuo aendelee kusoma huko, nitamlipia ada.
Alilia sana anataka arudi Dar. Nilimwambia huku wifi yako atakutesa hutapata muda wa kusoma. Akabembeleza sana nilimkatalia coz alishanipakaza sana kijijini na kumchafua sana wife. Na mtu mwenyewe ni ndugu wa mbali kabisa..
HAWA WAGENI WENGINE NDO HUNAJISI WATOTO NA UNDUGU UNAISHIA HAPO HAPO. MNAHARIBIANA FUTURE. KILA MTU AKAE KWAKE. DUNIA YA SASA IMANI IMEKWISHA. TUSAIDIANE KATIKA SHIDA LAKINI SI KUVAMIANA TU NYUMBANI KWA KISINGIZIO CHA UKARIMU. NDUGU WENYEWE IMANI IMEWATOKA. ANGALIA WANAOBAKWA, NAJISIWA AU LAWITIWA. MHUSIKA UTAKUTA BABA, BAMDOGO, MJOMBA, COUSIN NA JIRANI KWA MBALI KIDOGO.
Tunakuja kuosha machoHivi kwenye miaka hii bado mtu anaweza kutoka tu huko kijijini na kuja mjini BILA SABABU na kuamua tu kuwa nitaenda kukaa kwa NDUGU (Baba mdogo, mkubwa, Shangazi, Dada, Kaka, Bibi, Babu nk????!!