Unafukuza wote, tusiendekeze ujingaYalinikuta Jumapili alikuja mtu wa aina hiyohiyo nyumbani tofauti ni kuwa huyu aliletwa na ndugu yangu, alichonikera ni vile alipofikishwa tu akawa na kidaftari chake ameandika namba za simu za watu wake anaojua wapo Dar, akaomba simu yangu na kuanza kuwapigia mmoja hadi mwingine mbaya zaidi akawa anawaambia uongo kuwa yupo ameekaa kwangu kwa zaidi ya mwezi, kilichonikwaza zaidi siku iliyofuata nimerudi toka mihangaiko yangu jioni nakuta sebule imejaa hao rafiki zake kama kuna kikao cha kikoba wamechukua vinywaji kwa jirani bila kunishirikisha bill ipo kwangu.
Kwani hao wageni wao hawana kazi ya kufanya hadi wadhurure miji ya watu?Kiukweli kwa maisha tuliyo nayo sasa inapendeza mgeni akija aje kwa taarifa.
Ni asiyeelewa tu namna dunia imefikia wapi kwa sasa ndo ataona ye mgeni akija tu kwake bila taarifa ni sawa.
Hawa hawa tunaowaamini wengi wamekuwa mwiba kwa baadhi ya familia hasa baada ya kuja bila kuwa na vya msingi vilivyowaleta.
Hiyo ana akili za kimasikiniAcha uoga wa kijinga. Mtu ashindwe kuishi maisha yake kwa kuhofia atakufa siku moja? Kuna ambaye hatokufa? Kama una mali unashindwa hata kuandaa wosia juu ya warithi wa mali zako?
Hivi kumbe kuna wakati maalumu wa kumsalimia ndugu[emoji3061].Watu wengi tunajisahau sana hasa tukipata vijisenti akija ndugu unaona km anakuwekea kiwingu msumbufu mmoja ila umesahau kwamba huyo unae mdharau hujui keaho yake.Mkuu yakija kukukuta utakuta mtu anayekuja kukusaidia ndo ulie kua unamuona kero ama mpuuzi.Salamu mtu anapaswa aje kwa wakati maalumu, aje na matumizi yake.
Kwani hana kazi hadi aanze salimia watu?
Huo ujinga wa kufikia kwa ndugu wa Dar ni ujinga sanaNdiyo ni misos,kwa hyo bakini huko huko mikoani. Kama unakuja mjini fikia Nyumba ya wageni.SAWA?
Umaskini upi? Kuwa mnyenyekevu ndio umaskini?Mentality ya kimasikini hii na kuendekeza ujinga na upumbavu
Watu maskini wakipata aisee ni hatariHivi kumbe kuna wakati maalumu wa kumsalimia ndugu[emoji3061].Watu wengi tunajisahau sana hasa tukipata vijisenti akija ndugu unaona km anakuwekea kiwingu msumbufu mmoja ila umesahau kwamba huyo unae mdharau hujui keaho yake.Mkuu yakija kukukuta utakuta mtu anayekuja kukusaidia ndo ulie kua unamuona kero ama mpuuzi.
Hii sio sawa.Nasikia wasukuma wana hizi tabia[emoji23]
Mke wa kaka yao awafulie nguo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2772]
Akiyanani,
Nifue nguo za mume,
Za watoto,
Nifue na za mashemeji??
Hakuna chakula utakosa tarime mkuuSasa Tarime kuna chakula gani au shida tu
Ukuta ni pazia ahahahahahaSi bora hata hiyo sebule ipo. Wengine tunakaa self... [emoji1787][emoji1787]
Mara ba demu anaweka weka kambi mara siku 3 mara siku 1 mara wiki.
Na mwingine yupo standa...
Jamani tupeane taarifa hata 1wk before
Nakutafuta Mke nipunguze makasiriko. Umeolewa?Tafuta hela upunguze makasiriko ndugu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si bora hata hiyo sebule ipo. Wengine tunakaa self... [emoji1787][emoji1787]
Mara ba demu anaweka weka kambi mara siku 3 mara siku 1 mara wiki.
Na mwingine yupo standa...
Jamani tupeane taarifa hata 1wk before
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huo ujinga wa kufikia kwa ndugu wa Dar ni ujinga sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Salamu mtu anapaswa aje kwa wakati maalumu, aje na matumizi yake.
Kwani hana kazi hadi aanze salimia watu?
[emoji23][emoji23][emoji23]Umaskini upi? Kuwa mnyenyekevu ndio umaskini?
Umaskini ni ile dhana ya kudhani mtu akikutembelea anakuna kumaliza bajeti yako.
Huo ndio typical umaskini.
Neno kwendeni huko ndilo nimelikalili 😂😂🤣Mbaya zaidi MTU akishakaa kwako siku akiondoka huko anakofikia Ni kumsema mkeo vibaya.
Mara jamaa kaolewa maana yule mke Ni mvivu. Mke mchoyo, mke anadharau n.k
Kumbukeni mke wangu Ni pambo la nyumba yangu, sio MTU wa kusonga ugali kwa ajili ya mijitu ya kijijini.
Mke wangu ashindwe kunilisha vipaja vya kuku kisa Kuna mgeni au mke wangu asiwe na Uhuru wa kujiachia nyumbani kwake kisa mgeni!
Kwendreni huko.