Hii tabia imekuwa sugu; mtu anaamua tu aje Dar kukusalimia na afikie kwako

Unafukuza wote, tusiendekeze ujinga
 
Kwani hao wageni wao hawana kazi ya kufanya hadi wadhurure miji ya watu?
 
Salamu mtu anapaswa aje kwa wakati maalumu, aje na matumizi yake.
Kwani hana kazi hadi aanze salimia watu?
Hivi kumbe kuna wakati maalumu wa kumsalimia ndugu[emoji3061].Watu wengi tunajisahau sana hasa tukipata vijisenti akija ndugu unaona km anakuwekea kiwingu msumbufu mmoja ila umesahau kwamba huyo unae mdharau hujui keaho yake.Mkuu yakija kukukuta utakuta mtu anayekuja kukusaidia ndo ulie kua unamuona kero ama mpuuzi.
 
Mentality ya kimasikini hii na kuendekeza ujinga na upumbavu
Umaskini upi? Kuwa mnyenyekevu ndio umaskini?

Umaskini ni ile dhana ya kudhani mtu akikutembelea anakuna kumaliza bajeti yako.

Huo ndio typical umaskini.
 
Watu maskini wakipata aisee ni hatari
 
Nasikia wasukuma wana hizi tabia[emoji23]
Mke wa kaka yao awafulie nguo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2772]
Akiyanani,
Nifue nguo za mume,
Za watoto,
Nifue na za mashemeji??
Hii sio sawa.

Mi mke Wangu hata nguo zangu na watoto hafui Kwa mkono, nimemnunulia mashine
 
Si bora hata hiyo sebule ipo. Wengine tunakaa self... [emoji1787][emoji1787]

Mara ba demu anaweka weka kambi mara siku 3 mara siku 1 mara wiki.

Na mwingine yupo standa...

Jamani tupeane taarifa hata 1wk before
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Neno kwendeni huko ndilo nimelikalili 😂😂🤣
 
Kipindi nipo country (kijijini) nateseka na kilimo cha ufuta Kuna mjinga mmoja nilimpa chumba changu aishi baada ya kupata matatizo yake baada ya kurud nilicho kikuta sikuamini kurikuwa na kunguni mapanya kama yote mwisho wa siku nikamtimua na mpaka leo Sina hata shobo nae kwa ufupi najuta kwanini nilimpa chumba changu sometimes ndugu sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…