Hii tabia Musoma inakera sana

Hii tabia Musoma inakera sana

Hio Tabia inaonekana we ndo mwasisi wake ,saa leo huenda kwenye huu msimu wa sikuku kuna jamaa yako kaja kakupiga pombe Sana. sasa Leo umeanza kuwaona wenzako Wana halibu na huku chanzo ni wewe.umekosea Sana mwanaume huwa halii lii Kwa kitu kidogo kama hicho.
 
Mleta mada hii ni lofa fulani ambaye hana kitu! Watu Musoma wanakula fedha za makinikia ,wewe na vichenji vyako vya mshahara wa mwisho wa mwezi unaletea watu wa Musoma dharau!
Inawezekana kweli mtu aligongea kwako hiyo K-Vant lakini hiyo siyo big deal!
Wewe ni masikini na huna kitu acha dharau kwa Watu wa Musoma.
Nunua K-Vant zako kaa sebuleni kwako kunywa.
Pale CHAMA LA WANA watu wana pesa zao ,wewe ndo una pesa za mawazo!
 
Mnasema ghorofani sehemu gani? Karibu na Bank ya NBC maeneo ya Ilipokuwa Pm bet au wapi? Nikaone hayo maajabu nikanunulie watu pombe niletewe watoto niondoke nao kama steering vile nimeua jambazi kuu
Hapo hapo mkuu
 
Mleta mada hii ni lofa fulani ambaye hana kitu! Watu Musoma wanakula fedha za makinikia ,wewe na vichenji vyako vya mshahara wa mwisho wa mwezi unaletea watu wa Musoma dharau!
Inawezekana kweli mtu aligongea kwako hiyo K-Vant lakini hiyo siyo big deal!
Wewe ni masikini na huna kitu acha dharau kwa Watu wa Musoma.
Nunua K-Vant zako kaa sebuleni kwako kunywa.
Pale CHAMA LA WANA watu wana pesa zao ,wewe ndo una pesa za mawazo!
Sio mara ya kwanza me kwenda pale mkuu kila ijumaa nikipata nafasi hua naenda na sijaongelea vijana wote ila ni baadhi ya vijana wenye tabia hii na kutokana na tabia hii watu wameanza kupakimbia pale na wanaenda ADAVI me na rafiki zangu wengi sasaiv wamehamia uko kwasababu hawataki usumbufu na ukitaka kujua kama Kuna huu usumbufu ndomaana sasa ivi naona wameweka utaratibu wawatu kununua vinywaji kabla ya kuingia pale hii ni kujalibu kupunguza hili tatizo
Kama wewe ni muhusika pale wafikishie ujumbe kwamba wanapoteza wateja wengi sana kwa tabia hii na biashara ni ushindani sasaivi watu wengi sana wanahamia ADAVI japo ni mbali lakini wanachotaka kutafuta ni utulivu wawapo kwenye starehe zao.
 
Wenye njaa ni watu wa jangwani pekee yake?

Natetea ujinga upi?

Mtu anatafuta hela ya kula,anaruhusiwa kufanya chochote aweze ku-survive

Mtu kaomba pombe,tatizo liko wapi?

Huyu katuambia kaombwa pombe,tunamuamini vipi?Hajaja mtu wa upande wa pili kuhakikisha,who the fvck is this nigga for me to believe anachosema?

Regardless,mtu aombe pombe asiombe,kuomba pombe ni ajabu?

Wewe umeombwa pombe,umekataa,huu us3ng3 unakuja kutuambia huku unatuhusu ni nini sisi maana sisi haituhusu

Kama wewe kuombwa kitu ni mtu kujilegeza I wonder na wewe ni mtu wa kujilegeza maana kila siku unaomba vitu...

Ni maajabu mwanadamu mwingine akiomba eti kajilegeza wakati wewe unaomba hujilegezi?

Wapvmbavu sana nyie!

Mimi nakupinga nimeishi Musoma miaka 18 mpka natoka 2014 najua changamoto za mji uo ni vijana kupenda makundi na hawataki kazi mfano now mi niko Arusha siku nkirudi tu mtaani pale Makongoro vijana wakijua wanajua jamaa karudi anapesa wakikuona wanaanza flan naomba 2000 ukiwapa wanafanya kitonga kila siku na ukiwakazia jua ipo siku utakabwa na kuchomwa ata mavisu.

Huwezi sema mtu yupo katika utafutaji yani unatoka kwako unaenda club ndani unalipa kiingilo tu 5000 unaingia ndani unazunguka kutafuta wa kukununulia kitu then wewe unaona sawa unasema nchi nzima ni omba omba like serious mkuu?

Ulishawai kwenda Element au kidimbwi mwanaume mwenzio akaja na kibilauli anaomba Serengeti yako?
 
Hvi Musoma pia kuna ombaomba wa barabarani kama ilivyo Mwanza, Dodoma, Dar na Morogoro? Naombeni jibu maana mimi maeneo ya ombaomba wa barabarni huwa yananikera kwelikweli tena wengine ni wazima kabisa wa akili na viuongo vya mwili.
OmbaOmba wa Dar sio wazaliwa wa Dar es Salaam, ni watu kutoka mikoa mingine kama vile dodoma.
Huwezi kumkuta kijana au mzee mzaliwa wa Dar es Salaam halafu amekaa barabarani anaomba.
Hawa vijana wa Musoma ni wazaliwa kabisa wa Musoma halafu kazi yao kubwa ni kuombaomba[emoji23][emoji23]! Hii ni aibu na fedheha kwa Wakurya na Wajita.
 
Musoma kuna mambo ya kishamba sana niliishi muda mfupi sikuwahi kutaman kurud tena kwenye maisha yangu, alaf vjan wa huko wanaona ujanja ni kutengeneza mabifu na fujofujo
Washamba kweli hata shinyanga hanawa tofauti kabisa.
 
Hii tabia unakuta kwa vijana Wa kiarusha pale shivazi.mrina bar,picnic, kitundu,na Huo mtaa Wa picnic Kwenda mbele mbele kidogo kuna vijana hapo Wa Arusha kazi ni kutembea na bilauri ya plastic kuomba ama kugongea pombe
Acha kuarisha wewe ..arusha machalii wadogo tu wanatafuta ela wenyewe weee takakaka
 
Ndio hapo hapo amepaongelea mleta mada, kuna mmoja alikuja na glasi kuniomba nimpunguzie K Vant ambayo mi nilikuwa napiga tarumbeta, ikabidi nimnunulie.......basi alihangaika ukumbi mzima kunitafutia mtoto mkali wa kwenda kumgegeda
Ss mzee baba si aliamua kulipa fadhila[emoji3][emoji3][emoji3]

Alivokuletea mtoto ulikataa ama..? Maana nguvu ya kvoo c mchezo

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Kwa huku mwanza ni vice vesa yaani wadada ndio waomba vinywaji,atajisogeza karibu na kuanzisha story za uongo na kweli kisha ataomba bia, hii hunitokea mara nyingi na last time niko zangu las Vegas nakula vyombo usiku dada mmoja kanishobokea eti twende diamond kule ndio kuna amsha amsha,nikamuangaliaaaaa nikamuuliza kwani tulikuja wote mimi na yeye!!
Hahaha haha dah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaongelea kula yeye anasema Wakurya na Wajita sasa wanaombaomba wapunguziwe K vant kwenye kikombe mara bia yaani wanatengeneza Cocktail tu na ukuwadi
Af unakuta kesho yake ndo huwa wanatamba kwa story zote zilizotokea ktk hilo eneo.... "jana nlikua sehem flan tumepuga vitu balaaa...." kumbe alikua anaomba

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Upo baa,wamejaa alcoholics ,wewe unategemea uombwe nini ?

Mbona mnajifanya kama mmepumzisha akili zenu aisee?

Upo baa,unataka uombwe nini?

Uombwe dawa au malazi?

Upo baa unaombwa cha baa hapo hapo,ambacho ni pombe and the likes mzee!

Huyo kaomba pombe kutokana na hali yake na mazingira yake ya umasikini,wewe unaomba vitu vingine kwa waliokuzidi social ladder mara kibao tu,ila omba yako wewe ni sahihi,ila ya huyu mtu wa chini sio sahihi

Hii nchi kuna watu wanafiki mno
Najaribu kuelewa point yako, umebase kwe kuombwa na kuombwa(kitu) lkn ukimsoma mtoa mada kati kati ya mstar unaweza ona amemaanisha tabia ya mtu kuja bar na kuanza kuomba bia, baa ni sehem ambayo "si lazima kwenda" maana ni either uwe na pesa ama uwe umekuja na mtu mwenye pesa, hivyo kitendo cha mtu kwenda ukitegemea utamuomba mtu akupe pombe huo ndo upumbavu maana sehemu kama baa inajulikana kwamba ni sehemu ya matumizi(yasiyo ya lazima), pombe sio hitaj la lazima sasa km huna pesa unaenda kufanya nini. Kuomba omba bia, kugongea gongea sigara au bangi ni usenge. Ukitaka stim tafuta chako kwanza utainjoi coz hakuna wa kukupimia stim

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Hvi Musoma pia kuna ombaomba wa barabarani kama ilivyo Mwanza, Dodoma, Dar na Morogoro? Naombeni jibu maana mimi maeneo ya ombaomba wa barabarni huwa yananikera kwelikweli tena wengine ni wazima kabisa wa akili na viuongo vya mwili.
wapo ila sio wengi
 
Back
Top Bottom