Hii tabia Musoma inakera sana

Hii tabia Musoma inakera sana

Mkuu

Huyu bwana hana lolote

Kaamua kutoa uzi kudharau tu eneo la watu na wa watu wake

Kasema kavisit Musoma siku chache,hiyo baada kahudhuria miezi mingapi mpaka ku-prove hao watu wanaenda hapo kila siku ya mungu kuomba makusudically all year around?

Kaenda siku moja,leo anatutolea uzi

Huyu mtu ni mtu fulani hivi wa dharau na ku-generalize maisha ya watu pahali na kuwa-undermine as if yeye anakaa Ulaya sana

Kumbe ni punguani tu mwenye maisha wastani sawa na watanzania wengine milioni 60,cha ajabu anatukana mkoa mzima na watu kwa tabia ya watu wawili watatu wa baa moja tu Musoma mjini

Hii inaonesha huyu mtu ni limbukeni sana na mtu wa kukurupuka kutoa conclusion bila kuelewa

Kahudhuria baa moja tu..anaji ekti ni mkoa mzima

Huyu mtu ananishangaza sana
Mzee unaonekana hupafaham Musoma me nimezaliwa Musoma na ninaishi Musoma na nimezungumzia Musoma mjini sijazungumzia mkoa wa mara huenda unaongea vitu usivyo vijua me nimezungumzia wilaya ya Musoma mjini
Ndipo Kuna hii tabia iliyojitokeza sasaiv na ukimuuliza mtu yoyote anaishi Musoma atakuambia

Pia mada niliyotoa ni habari za kuombana pombe kwenye sehem za starehe na sio chakula nahisi hujaelewa vizur pitia mada kwanza ndo uweze kuzungumza na tabia hii ipo hasa kunasehem inaitwa gorofan na sio mara ya kwanza me kwenda hapo kila ijumaa ninapo pata nafasi hua naenda hapo na hakuna sehem niliyosema nime visit Musoma sikuchache jaribu kua muelewa ndugu na kama ukiweza uje mwenyewe ujionee utagundua naongelea nini
 
Upo baa,wamejaa alcoholics ,wewe unategemea uombwe nini ?

Mbona mnajifanya kama mmepumzisha akili zenu aisee?

Upo baa,unataka uombwe nini?

Uombwe dawa au malazi?

Upo baa unaombwa cha baa hapo hapo,ambacho ni pombe and the likes mzee!

Huyo kaomba pombe kutokana na hali yake na mazingira yake ya umasikini,wewe unaomba vitu vingine kwa waliokuzidi social ladder mara kibao tu,ila omba yako wewe ni sahihi,ila ya huyu mtu wa chini sio sahihi

Hii nchi kuna watu wanafiki mno
Mzee we unaweza toka kwako ukafungasha p*mb* zako ukaenda bar kuomba pombe serious
 
Mkuu

Huyu bwana hana lolote

Kaamua kutoa uzi kudharau tu eneo la watu na wa watu wake

Kasema kavisit Musoma siku chache,hiyo baada kahudhuria miezi mingapi mpaka ku-prove hao watu wanaenda hapo kila siku ya mungu kuomba makusudically all year around?

Kaenda siku moja,leo anatutolea uzi

Huyu mtu ni mtu fulani hivi wa dharau na ku-generalize maisha ya watu pahali na kuwa-undermine as if yeye anakaa Ulaya sana

Kumbe ni punguani tu mwenye maisha wastani sawa na watanzania wengine milioni 60,cha ajabu anatukana mkoa mzima na watu kwa tabia ya watu wawili watatu wa baa moja tu Musoma mjini

Hii inaonesha huyu mtu ni limbukeni sana na mtu wa kukurupuka kutoa conclusion bila kuelewa

Kahudhuria baa moja tu..anaji ekti ni mkoa mzima

Huyu mtu ananishangaza sana
Kumbe una lako jambo

Basi ungebaki unatetea hiyo wilaya yenu na siyo kutetea upumbavu
 
nakumbuka mwaka 2005 kuna jamaa kalikuwa kanaitwa nyoka kalimuibia Mr blue kila kitu mpaka nauli ya kurudia Dar
 
Ndio hapo hapo amepaongelea mleta mada, kuna mmoja alikuja na glasi kuniomba nimpunguzie K Vant ambayo mi nilikuwa napiga tarumbeta, ikabidi nimnunulie.......basi alihangaika ukumbi mzima kunitafutia mtoto mkali wa kwenda kumgegeda
Mkuu nakushauri hizi pombe kali usipende kuzipiga kavu kavu, hasa kama ni mnywaji wa kila siku au mara kwa mara....
 
Je huko Musoma Kuna vijana wakikurya wanaoimba kwaya?
Je Yuko mchungaji wa halali wa kikurya. Nikisema halali namaanisha wa RC au KKKT au Anglican?
Je huko Musoma kunakuaga na mashindano ya u miss?
Je huko Musoma wanauza wine au Ni k vant na konyagi na piwa na busaa?
Wanawake wa huko wanachambia maji ama makaratasi?
 
Hiyo ni observation yako binafsi

Unaruhusiwa kutoa maoni

Mwingine atakuja na mtazamo kinyume na wewe kabisa

Tuishie kusema,kila mtu na mtazamo binafsi kuhusu Musoma....!

Wewe kila wakati kwenye simu yako unaomba washikaji wako misaada mbalimbali ya mikopo ya pesa....hiyo nisahihi,ila mlevi mwenzio mliyekutakan kwenye ulevi akikuomba pombe ni vibaya?

Kama mnaweka double standards namna hii basi ni sawa!

Mimi sio mlevi,huwezi nikuta baa yeyote nafanya chochote!

Ukubali ukatae kua huo ni ushamba wa kijinga ni bora mtu akuombe pesa umnunulie ila sio ninakunywa bia tena napiga tarumbeta unaomba nikupunguzie kwenye kaglass kako.

Musoma nipakishamba sana now nikienda nasalimia tu wazazi naondoka maana vijana wao wanachojua ni vurugu, wizi, makundi ya kipumbavu yasiyo na tija wala nini na kupenda bata wakati kazi hawataki fanya, unakuta kijana kapendeza balaa kazi yake uchawa hii hapana asee .

Ni bora uwe omba omba wa vitu vya Msingi kuliko kuzunguka na kiglass. Musoma ukitia tu maguu leo wakajua mgeni amekuja utaanza ona chawa kama wote wanajua jamaa ana mtonyo sasa wabanie kua unabajet yako wao watakuona kama vile unajiskia na ukitaka uwape mchongo wa pesa wanakuangalia tu wanaona kama unawapotezea muda wao wanataka mtu anaamka anaoga anapendeza anakaa kijiweni atapita mtu atapigwa mzinga
 
Mleta mada hii ni lofa fulani ambaye hana kitu! Watu Musoma wanakula fedha za makinikia ,wewe na vichenji vyako vya mshahara wa mwisho wa mwezi unaletea watu wa Musoma dharau!
Inawezekana kweli mtu aligongea kwako hiyo K-Vant lakini hiyo siyo big deal!
Wewe ni masikini na huna kitu acha dharau kwa Watu wa Musoma.
Nunua K-Vant zako kaa sebuleni kwako kunywa.
Pale CHAMA LA WANA watu wana pesa zao ,wewe ndo una pesa za mawazo!
Mkaruka acha maneno mengi waambie jamaa zako waache kuomba pombe
 
Kwa hiyo wewe hupendi kula na wenzio??kama unajipenda na haupendi panga likupitie siku moja kwenye vichochoro endelea kula nao mkuu hao ndio musoma yenyewe..kula nao vizuri ikiwezekana uwe unawanunulia na msosi kabisa kabla ya vinywaji utaishi maisha mazuri sana ukiwa hapo msoma
Siku moja uwanyime halafu ujifanye baunsa wa kutembea kwnye vichochoro vya musoma usiku au jioni jioni nadhani utakuja huku jukwaan utuletee mrejesho kitakacho kukuta[emoji1][emoji16][emoji1][emoji1][emoji1]uwe unawanunulia bwna hao ni binadamu wenzako bwna
 
Hii tabia ni ya muda mrefu sana hapo,nimeishi musoma 2010-2011 kuna watu nilikuwa nakutana nao mchana kwenye shughuli zangu wakinikuta club moja ilikuwa hapo walikuwa wakiomba bia.
 
Nashindwa kuwaelewa ujue

Huyu mlevi aliyeko baa unataka aombe nini baba kama sio pombe?

Mtaka aombe malazi na dawa au shati au viatu?

Kaomba pombe kwa mlevi mwenzake mwenye hela ambae ni wewe hapo

Maana wewe hapo unaomba vitu vingine kwa wakubwa zako wa kimaisha kila siku,ila uombaji wako wewe ni sahihi ila sio huo wa huyo mlevi mwenzio?

Nikifanya mimi A ni sawa,yule akifanya A hiyo hiyo sio sawa!

Hii naona ni kujifanya mna madaraka ya kutukana walio chini yenu,wakati na nyie mna walio juu yenu mnawaombaga favour kibao kila siku

Acheni double standards nyie mamalia wenzetu!
Mwanadamu anasaidiwa mahitaji ya msingi(ambayo yanahatarisha uhai wake), mf chakula au maji. Sio starehe. Starehe haiombwi, inanunuliwa. Kuomba starehe ni kiwango cha juu cha kuendekeza tamaa. Kama unaona sawa hili kisa mtu hajiwezi, basi ni sahihi mtu kukugongea mlangoni kwako na kukuomba amtombe mkeo kimoja sbb ana nyenge na hana hela ya mwanamke.
 
Tanga, Moro, Dar, Mbeya na Mwanza sijaiona hii tabia.
Hii ndio mikoa nimeingia kwenye kumbi za starehe bila kukutana na hao ombaomba wa vinywaji.

Wapi hapo Matvilla nini?
 
Basi yaishe ndugu yangu, usiwe na hasira hvyo... January hii itaisha tu tutarudi kwenye mstari.....

By the way Leo weekend njoo Calabash na kikombe....tutakunywa bia

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom