Burito nyanza
Senior Member
- Jan 2, 2021
- 135
- 115
Wewe utakuwa unatembelea vilabu vya gongo
Hata kama mkuu ila inakua too muchKwani nikiwa nakugongea hiyo Bia hapo Baa huwa nakuwa nimekushikia Jiwe Kubwa la Fatuma au Panga au Pistol ili nikutishie na uweze Kunipa?
Ipo mkuu uji wa pale ni noma😂umenikumbusha Mara dish, hivi bado ipo
Hapo hapo mkuuMnasema ghorofani sehemu gani? Karibu na Bank ya NBC maeneo ya Ilipokuwa Pm bet au wapi? Nikaone hayo maajabu nikanunulie watu pombe niletewe watoto niondoke nao kama steering vile nimeua jambazi kuu
Sio mara ya kwanza me kwenda pale mkuu kila ijumaa nikipata nafasi hua naenda na sijaongelea vijana wote ila ni baadhi ya vijana wenye tabia hii na kutokana na tabia hii watu wameanza kupakimbia pale na wanaenda ADAVI me na rafiki zangu wengi sasaiv wamehamia uko kwasababu hawataki usumbufu na ukitaka kujua kama Kuna huu usumbufu ndomaana sasa ivi naona wameweka utaratibu wawatu kununua vinywaji kabla ya kuingia pale hii ni kujalibu kupunguza hili tatizoMleta mada hii ni lofa fulani ambaye hana kitu! Watu Musoma wanakula fedha za makinikia ,wewe na vichenji vyako vya mshahara wa mwisho wa mwezi unaletea watu wa Musoma dharau!
Inawezekana kweli mtu aligongea kwako hiyo K-Vant lakini hiyo siyo big deal!
Wewe ni masikini na huna kitu acha dharau kwa Watu wa Musoma.
Nunua K-Vant zako kaa sebuleni kwako kunywa.
Pale CHAMA LA WANA watu wana pesa zao ,wewe ndo una pesa za mawazo!
Wenye njaa ni watu wa jangwani pekee yake?
Natetea ujinga upi?
Mtu anatafuta hela ya kula,anaruhusiwa kufanya chochote aweze ku-survive
Mtu kaomba pombe,tatizo liko wapi?
Huyu katuambia kaombwa pombe,tunamuamini vipi?Hajaja mtu wa upande wa pili kuhakikisha,who the fvck is this nigga for me to believe anachosema?
Regardless,mtu aombe pombe asiombe,kuomba pombe ni ajabu?
Wewe umeombwa pombe,umekataa,huu us3ng3 unakuja kutuambia huku unatuhusu ni nini sisi maana sisi haituhusu
Kama wewe kuombwa kitu ni mtu kujilegeza I wonder na wewe ni mtu wa kujilegeza maana kila siku unaomba vitu...
Ni maajabu mwanadamu mwingine akiomba eti kajilegeza wakati wewe unaomba hujilegezi?
Wapvmbavu sana nyie!
Hao ni wajita ndiyo wako Musoma hata siku moja huwezi ona Mkurya anaombaomba bora afe njaaHaya wakurya mkuje huku mjibu hizi shutuma
Itakubidi uwe na roho ngumu sana kufi*a kijana wa Kikurya [emoji2098][emoji2098][emoji2098][emoji2098]
OmbaOmba wa Dar sio wazaliwa wa Dar es Salaam, ni watu kutoka mikoa mingine kama vile dodoma.Hvi Musoma pia kuna ombaomba wa barabarani kama ilivyo Mwanza, Dodoma, Dar na Morogoro? Naombeni jibu maana mimi maeneo ya ombaomba wa barabarni huwa yananikera kwelikweli tena wengine ni wazima kabisa wa akili na viuongo vya mwili.
Washamba kweli hata shinyanga hanawa tofauti kabisa.Musoma kuna mambo ya kishamba sana niliishi muda mfupi sikuwahi kutaman kurud tena kwenye maisha yangu, alaf vjan wa huko wanaona ujanja ni kutengeneza mabifu na fujofujo
Acha kuarisha wewe ..arusha machalii wadogo tu wanatafuta ela wenyewe weee takakakaHii tabia unakuta kwa vijana Wa kiarusha pale shivazi.mrina bar,picnic, kitundu,na Huo mtaa Wa picnic Kwenda mbele mbele kidogo kuna vijana hapo Wa Arusha kazi ni kutembea na bilauri ya plastic kuomba ama kugongea pombe
Ss mzee baba si aliamua kulipa fadhila[emoji3][emoji3][emoji3]Ndio hapo hapo amepaongelea mleta mada, kuna mmoja alikuja na glasi kuniomba nimpunguzie K Vant ambayo mi nilikuwa napiga tarumbeta, ikabidi nimnunulie.......basi alihangaika ukumbi mzima kunitafutia mtoto mkali wa kwenda kumgegeda
Hahaha haha dah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa huku mwanza ni vice vesa yaani wadada ndio waomba vinywaji,atajisogeza karibu na kuanzisha story za uongo na kweli kisha ataomba bia, hii hunitokea mara nyingi na last time niko zangu las Vegas nakula vyombo usiku dada mmoja kanishobokea eti twende diamond kule ndio kuna amsha amsha,nikamuangaliaaaaa nikamuuliza kwani tulikuja wote mimi na yeye!!
Af unakuta kesho yake ndo huwa wanatamba kwa story zote zilizotokea ktk hilo eneo.... "jana nlikua sehem flan tumepuga vitu balaaa...." kumbe alikua anaombaUnaongelea kula yeye anasema Wakurya na Wajita sasa wanaombaomba wapunguziwe K vant kwenye kikombe mara bia yaani wanatengeneza Cocktail tu na ukuwadi
W3we jamaa nimekuwa nikikufuatilia utakuwa dereva basi bila shakaHivi Musoma pale pana ukumbi gani wa starehe zaidi ya pale gorofani?
Najaribu kuelewa point yako, umebase kwe kuombwa na kuombwa(kitu) lkn ukimsoma mtoa mada kati kati ya mstar unaweza ona amemaanisha tabia ya mtu kuja bar na kuanza kuomba bia, baa ni sehem ambayo "si lazima kwenda" maana ni either uwe na pesa ama uwe umekuja na mtu mwenye pesa, hivyo kitendo cha mtu kwenda ukitegemea utamuomba mtu akupe pombe huo ndo upumbavu maana sehemu kama baa inajulikana kwamba ni sehemu ya matumizi(yasiyo ya lazima), pombe sio hitaj la lazima sasa km huna pesa unaenda kufanya nini. Kuomba omba bia, kugongea gongea sigara au bangi ni usenge. Ukitaka stim tafuta chako kwanza utainjoi coz hakuna wa kukupimia stimUpo baa,wamejaa alcoholics ,wewe unategemea uombwe nini ?
Mbona mnajifanya kama mmepumzisha akili zenu aisee?
Upo baa,unataka uombwe nini?
Uombwe dawa au malazi?
Upo baa unaombwa cha baa hapo hapo,ambacho ni pombe and the likes mzee!
Huyo kaomba pombe kutokana na hali yake na mazingira yake ya umasikini,wewe unaomba vitu vingine kwa waliokuzidi social ladder mara kibao tu,ila omba yako wewe ni sahihi,ila ya huyu mtu wa chini sio sahihi
Hii nchi kuna watu wanafiki mno
Nitaenda kuwatomba hivi karibuniHii tabia unakuta kwa vijana Wa kiarusha pale shivazi.mrina bar,picnic, kitundu,na Huo mtaa Wa picnic Kwenda mbele mbele kidogo kuna vijana hapo Wa Arusha kazi ni kutembea na bilauri ya plastic kuomba ama kugongea pombe
wapo ila sio wengiHvi Musoma pia kuna ombaomba wa barabarani kama ilivyo Mwanza, Dodoma, Dar na Morogoro? Naombeni jibu maana mimi maeneo ya ombaomba wa barabarni huwa yananikera kwelikweli tena wengine ni wazima kabisa wa akili na viuongo vya mwili.