Wenye njaa ni watu wa jangwani pekee yake?
Natetea ujinga upi?
Mtu anatafuta hela ya kula,anaruhusiwa kufanya chochote aweze ku-survive
Mtu kaomba pombe,tatizo liko wapi?
Huyu katuambia kaombwa pombe,tunamuamini vipi?Hajaja mtu wa upande wa pili kuhakikisha,who the fvck is this nigga for me to believe anachosema?
Regardless,mtu aombe pombe asiombe,kuomba pombe ni ajabu?
Wewe umeombwa pombe,umekataa,huu us3ng3 unakuja kutuambia huku unatuhusu ni nini sisi maana sisi haituhusu
Kama wewe kuombwa kitu ni mtu kujilegeza I wonder na wewe ni mtu wa kujilegeza maana kila siku unaomba vitu...
Ni maajabu mwanadamu mwingine akiomba eti kajilegeza wakati wewe unaomba hujilegezi?
Wapvmbavu sana nyie!