- Thread starter
- #81
Umekosea mkuu😂😂😂Eeeeh hapo kwenye mwandiko nilisema huyu angalau ananyoosha ila akili zao zimefanana sana bwana....ngoja nimtafute da mau kwenye comment 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekosea mkuu😂😂😂Eeeeh hapo kwenye mwandiko nilisema huyu angalau ananyoosha ila akili zao zimefanana sana bwana....ngoja nimtafute da mau kwenye comment 😂😂
Hii nzuri sana kwa wenye matusi unawatupia humo kuonana tena ni mpaka ile parapanda ilie .Wengi wehu wamebaki kutukana tu,uzuri nshawatupia ignore list na kuwasahau
😅😂Jamani punguzeni kuwafokea ma sponsor wetu
😄😄😄alikuwa anabip kapigiwa anapiga mayoweWe mtu anakwambia muda wote gari limewaka anataka kupelekewa moto kwa nini vijukuu vya Pharaoh visiombe number😂😂😂
😹😹😹 We watumie waungwana wapigie nyeto…!!Nitakuwa nawatumie matako ya ng’edere wakiomba tena
Hata sasa mana muda wote analalamika wanaume wanamroga 😹😹😹🤣🤣🤣🤣 kwaiyo nina swagger za mbali za ki da Mau… halafu unaeza kuta huyo da mau ni kabibi flan hivi ka sisiemu
😹😹😹😹 Kalaga Baho Nongwa ya kweli haya??Hakuna masponsor jamii forum wote humu kalagabao
Sindano hii iwachome daadekiKwanza kabisaa usiamini story zote humu utakuwa mjinga sana humu kuamini kila story na kuanza kumdefine mtu kulingana na story alioleta… visa vingi ni uongo uongo
Hii tabia imekuwa kero sana kwa watu wa humu jf (wanaume),, lengo la kutumia ID fake ni ili mtu alete kisa chake na majanga yanayo msibu bila kutambulika na yoyote yaani mtu anakuwa huru kutoa ya moyoni mwake
Wakati mwinginee pia hivi visa havina uhalisia ni kuchangamsha genge la JF na mtoa story kupunguza stress anapoingia humu
Sasa nashindwa kuwaelewa wale wanakimbilia PM kuomba namba tena kwa ulazima… mtu unakuta unamwambia nishauri humuhumu ila anabaki kukulazimisha utoe namba.. huwa nawashangaa mnataka cha ziada nini… tutoe namba zetu humu ili identity zenu zijulikane na wengine mlivyo wa hivyo muje mututangaze humu
Mimi niliacha hadi kutumia ID yangu ya zamani kwasababu kuna baadhi ya watu nilikosea sana nikawapa namba yangu na tumekuwa marafiki na story nazozileta humu hazifanani na uhalisia wa maisha wangu kwa mitazamo yao so ikawa ngumu mimi kuandika visa vyangu kwa ID yangu ikabidi nitengeneze ID mpya
Mwinginee anakuja PM anakwambia ameona Mimi nafaa kuwa mke wake mpk unaanza kujiuliza huyu ana wazimu hatujuani sikujui na huna uhakika kama hii ID ni ke o me ila umekazana kusema tunaendana huwa mnakuwa na wendawazimu kichwani mwenu
Kama mtu kaomba ushaurii hajasema kuwa anahitaji kutoa mawasiliano yake na hajapost kutafuta mume au mke kwenye jukwaa la Love connect muache jamani kutusumbua
Wengine hatuwezi kuzifunga hizo pm kwasababu kuna baadhi ya member wanashindwa kuchangia mada labda for their reasons wanaamua kuja pm ili kutoa ushaurii
Mawasiliano hayalazimishwi jamani kama nimeomba ushaurii unaweza kunishauri bila Kutaka namba yangu.. kama ningehitaji kujulikana basi platform ni nyingi na wana saikolojia ni wengi ningeenda huko kuomba ushaurii
Nipo jf kuomba ushaurii wowote kwasababu ni sehemu ambayo ninajisikia comfortable kueleza chochote bila kujulikana na yoyote humu
Haya ninayasema kwasababu kuna members wamekuwa wakinishambulia PM kwa maneno mabaya kisa tu nimekataa kutoa namba yangu… jambo ambalo limeniudhi.. kama mtu kisa namba anaweza kunitolea maneno machafu hata nikimpa namba yangu hashindwi kuja kuni expose humu
Tuheshimiane humu.. hizi story za humu zinaishiaga humu na story zingine nyingi humu ni Chai tu hazina uhalisia… sasa wewe kujifanya una ushaurii sana mpk kulazimisha namba na ukinyimwa unaleta matusi hebu huo ushaurii jishauri mwenyewe labda utakusaidiaa
Weekend njema
sa dem hlf unabania namba😳 ? hlf ukikosa mme unaenda kwa sangoma akulie ela yako?Kwani kuna post yangu nishawahi kusema mimi me mkuu
Hali jojo mbe!😹😹😹😹 Kalaga Baho Nongwa ya kweli haya??
Kwahiyo wote humu apeche alolo
Ignore list unabonyeza wapi mkuu??Wengi wehu wamebaki kutukana tu,uzuri nshawatupia ignore list na kuwasahau
Ignore list unabonyeza wapi mkuu??
Na kuna wimbo Diamond kaimba kabisaKuna member alianzisha uzi juzi kati akiomba namna ya kukwepa zawadi sijui na blah blah kama hizo nikamuuliza kama alishawahi kusikia neno SITAKI
Na wewe kama hujawahi kusikia neno SITAKI basi nakuelekeza....maana yake ni kukataa,litumie hilo huko PM,litakusaidia
Watawaua presha😅😂
Ok asanteKwenye profile ya mhusika mfano hapa kwenye id yangu bonyeza yatatokea maneno follow ignore, start conversation so wa kumuignore unaclick ignore unakua ushamaliza kazi
aaaah wawaache wapumue sasa😂😂😹🤣🤣 nimeamka kukojoa comment yako imenifanya nicheke mpk machozi..!!
Watu na ma sponsor wenu 🤣
🤣🤣🤣🤣Duuh kuna huo mchupi ka mfuko pembeni ya io sufuria na kiatu cha uyo kikongwe😳😳🤣🤣
Sipo kwenye kundi hiloWatawaua presha