Hii tabia ya kuhamisha viongozi waliofeli inazidi kuturudisha nyuma kimaendeleo

Hii tabia ya kuhamisha viongozi waliofeli inazidi kuturudisha nyuma kimaendeleo

Mbona sababu inaeleweka wengi wanaohamishwa unauta ni watu wazito au baba zao ndo hao wasisi wa chama chakavu.

Ndomna namkubali sana jiwe alitaka kuvunja hii mizizi ya kwamba kuna watu fulan hawagusiki
 
Mbona sababu inaeleweka wengi wanaohamishwa unauta ni watu wazito au baba zao ndo hao wasisi wa chama chakavu.

Ndomna namkubali sana jiwe alitaka kuvunja hii mizizi ya kwamba kuna watu fulan hawagusiki
Facts
 
Yaani aliye iba mbeya anahamishwa mbeya akaibe Arusha 😅😅

Mimi nahisi si bure huenda wanakula wote tu
 
Kuna tabia moja imekuwa inanishangaza sana kwa muda mrefu kuhusu uongozi wetu wa hii nchi. Sijui kwanini tupo hivi ila unakuta kiongozi wa serikali mfano amefanya mambo ya ajabu wizara flani baada ya kugundulika eti ana hamishwa ile wizara anapelekwa wizara nyingine.

Mfano mwingine, Unakuta Kiongozi wa wizara fulani anagundulika aliiba hela za wizara ana hamishwa pale anapelekwa kuwa mkurugenzi wa taasisi nyingine.

Nchi za wenzetu kama Japan, China, North Korea na Russia watu kama hawa huwa wanachukuliwa hatua za kisheria kama sio kunyongwa, ila sisi huku tunafuga hawa watu, eti unamuhamisha kweny sehemu nyingine, hii ndio njia sahihi ya kudeal na watu wa namna hii kweli?

Kwanini tunafuga corrupt leaders?

Je Serikali inawaonea aibu hawa watu?

Karibuni
Umeshindwa kutaja mifano.

Unataka mtu mwingine achukue hatua kwa niaba yako, wewe nyuma ya simu, anonymous speaker, bado unaogopa, huna uthubutu.

You are a wussy.
 
Hapana hata kama asingeweza kabisa lakini tulikuwa tunasogea, kwanza aliowatupa nje ndiyo hao alipoondoka wamerudishwa ndani

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Hivi unaamin rais ana nguv kuliko mfumo? Mfumo unaweza kukuangusha na ukaanguka! Ili Tanzania isonge mbele bila unafiki ni lazima mfumo uliopo utoke kbs.
 
Kuna tabia moja imekuwa inanishangaza sana kwa muda mrefu kuhusu uongozi wetu wa hii nchi. Sijui kwanini tupo hivi ila unakuta kiongozi wa serikali mfano amefanya mambo ya ajabu wizara flani baada ya kugundulika eti ana hamishwa ile wizara anapelekwa wizara nyingine.

Mfano mwingine, Unakuta Kiongozi wa wizara fulani anagundulika aliiba hela za wizara ana hamishwa pale anapelekwa kuwa mkurugenzi wa taasisi nyingine.

Nchi za wenzetu kama Japan, China, North Korea na Russia watu kama hawa huwa wanachukuliwa hatua za kisheria kama sio kunyongwa, ila sisi huku tunafuga hawa watu, eti unamuhamisha kweny sehemu nyingine, hii ndio njia sahihi ya kudeal na watu wa namna hii kweli?

Kwanini tunafuga corrupt leaders?

Je Serikali inawaonea aibu hawa watu?

Karibuni
Mkurugenzi anasema hela zipo, mtu wa Manunuzi anasema tayari tumeshanunua vitu, Mtunza fedha anasema hela hazipo, yaani unajiuliza maswalu lukuki lakiki majibu unakosa. Hili Taifa lina tatizo kubwa saaaana pahala.

Tulimtoa mkoloni mweupe enzi zileeee, ila tukaingia tena kwa mkoloni mweusi ambaye naye tunatakiwa kumtoa kwa namna yeyote ile, maana huyu mkoloni mweusi ni mbovu kuliko hata mkoloni wa zamani.
 
Back
Top Bottom