Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nae asingefaulu sababu ya mfumo!!Hapa aliyeweza ni magufuri tu ukiborobga kaa nje
FactsMbona sababu inaeleweka wengi wanaohamishwa unauta ni watu wazito au baba zao ndo hao wasisi wa chama chakavu.
Ndomna namkubali sana jiwe alitaka kuvunja hii mizizi ya kwamba kuna watu fulan hawagusiki
Hapana hata kama asingeweza kabisa lakini tulikuwa tunasogea, kwanza aliowatupa nje ndiyo hao alipoondoka wamerudishwa ndaniNae asingefaulu sababu ya mfumo!!
We acha tuu mzee, inachekesha sanaYaani aliye iba mbeya anahamishwa mbeya akaibe Arusha 😅😅
Mimi nahisi si bure huenda wanakula wote tu
Umeshindwa kutaja mifano.Kuna tabia moja imekuwa inanishangaza sana kwa muda mrefu kuhusu uongozi wetu wa hii nchi. Sijui kwanini tupo hivi ila unakuta kiongozi wa serikali mfano amefanya mambo ya ajabu wizara flani baada ya kugundulika eti ana hamishwa ile wizara anapelekwa wizara nyingine.
Mfano mwingine, Unakuta Kiongozi wa wizara fulani anagundulika aliiba hela za wizara ana hamishwa pale anapelekwa kuwa mkurugenzi wa taasisi nyingine.
Nchi za wenzetu kama Japan, China, North Korea na Russia watu kama hawa huwa wanachukuliwa hatua za kisheria kama sio kunyongwa, ila sisi huku tunafuga hawa watu, eti unamuhamisha kweny sehemu nyingine, hii ndio njia sahihi ya kudeal na watu wa namna hii kweli?
Kwanini tunafuga corrupt leaders?
Je Serikali inawaonea aibu hawa watu?
Karibuni
SawaUmeshindwa kutaja mifano.
Unataka mtu mwingine achukue hatua kwa niaba yako, wewe nyuma ya computer anonymous speaker, bado huna uthubutu.
You are a wussy.
Hivi unaamin rais ana nguv kuliko mfumo? Mfumo unaweza kukuangusha na ukaanguka! Ili Tanzania isonge mbele bila unafiki ni lazima mfumo uliopo utoke kbs.Hapana hata kama asingeweza kabisa lakini tulikuwa tunasogea, kwanza aliowatupa nje ndiyo hao alipoondoka wamerudishwa ndani
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
2025 tutakua na Rais mwingineKazi ipo ,na ndio kwanzaaaa miaka miwili Kwenye uongozi wa mama ...
Mpk 2030 tupo naye liveee ..
MUNGU atusaidie ...
Anaye wahamisha nae ni mwizi tuYaani aliye iba mbeya anahamishwa mbeya akaibe Arusha 😅😅
Mimi nahisi si bure huenda wanakula wote tu
Mkurugenzi anasema hela zipo, mtu wa Manunuzi anasema tayari tumeshanunua vitu, Mtunza fedha anasema hela hazipo, yaani unajiuliza maswalu lukuki lakiki majibu unakosa. Hili Taifa lina tatizo kubwa saaaana pahala.Kuna tabia moja imekuwa inanishangaza sana kwa muda mrefu kuhusu uongozi wetu wa hii nchi. Sijui kwanini tupo hivi ila unakuta kiongozi wa serikali mfano amefanya mambo ya ajabu wizara flani baada ya kugundulika eti ana hamishwa ile wizara anapelekwa wizara nyingine.
Mfano mwingine, Unakuta Kiongozi wa wizara fulani anagundulika aliiba hela za wizara ana hamishwa pale anapelekwa kuwa mkurugenzi wa taasisi nyingine.
Nchi za wenzetu kama Japan, China, North Korea na Russia watu kama hawa huwa wanachukuliwa hatua za kisheria kama sio kunyongwa, ila sisi huku tunafuga hawa watu, eti unamuhamisha kweny sehemu nyingine, hii ndio njia sahihi ya kudeal na watu wa namna hii kweli?
Kwanini tunafuga corrupt leaders?
Je Serikali inawaonea aibu hawa watu?
Karibuni