St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,174
Chura katokeza mbele waluwalu.[emoji39]
Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa inahusikaje na hii stor apo juChadema tokea wamsafishe fisadi Lowasa hawatakuja kuaminika tena mbele ya macho ya watanzania.
Watabaki kushabikiwa na malofa tu.
wakati nipo chuoni waliokuwa wanaongoza kugawa papuchi ni hao wachaga! naamini hilo la kuonyesha tumbo hawashindwi!!!Wengi wao ni waswahili wa Dar,huwezi kuta mtoto wa Kichagaa anafanya ma ujinga kama hayo
Unaweza kuweka hapa picha ya mama yako akionyesha tumbo lake kipindi cha mimba yako?Kwa tatizo lipo wapi hapo..!??
Kawaida na wako sawa wanajivunia walichonacho coz tangu zamani tulikuwa tunakaa uchi.
tunakulaga tuu sisiKumekua na tabia ya wamama wengi wanaokaribia kujifungua kupiga picha za nusu utupu zikionyesha ukubwa wa tumbo /mimba.
Hii trend ya picha hizi niwahi kuziona mara ya kwanza kwa mastaa wa nje wakipiga na kuziweka mtandaoni, nikajua labda ndo utamaduni wao.
Sasa naona hii kitu imeanza kushika kasi kwenye jamii yetu, sasa sijui ndo kukua kwa utandawazi au ni moja ya desturi tuliyo amua ku adapt ilikwendana na wakati ama ni vipi
Labda mnieleweshe, hii tabia ya kupiga picha za mtindo huu ni sawa ama nyie mnaionaje.
View attachment 461020View attachment 461021View attachment 461022View attachment 461023View attachment 461024View attachment 461025 View attachment 461018View attachment 461019