oh yeah? safi sana mkuu naona ume-capitalize kabisa hilo neno linalowakilisha kiungo kinacho-run dunia kuonyesha msisitizo.Mimi ni mwanamke mwenye UKE
Hihihihihihihihi,Mimi ni mwanamke mwenye UKE
case closed hatari sana huyo mtu maana huo msisitizo unajieleza.Hihihihihihihihi,
Case dismissed. lol
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
hahahahaha mwanamke mwenye uke lol nimekazia na mimi eti.case closed hatari sana huyo mtu maana huo msisitizo unajieleza.
inasikitisha sana complications lazima ziwepo unakuta mtu ana mimba kubwa sana tu lakini anakata ulabu kama kaambiwa kesho ulabu marufuku,mbaya zaidi wengi wanagegedwa na watu tofautitofauti bila kujali kiumbe kilichopo tumboni hali hii ipo sana uswahilini.Ndio maana uzazi wa siku hizi umekua na complications nyingi.... zamani mwanamke mjamzito alikua anajifunika funika mpk siku ya mwisho sasa hivi ndio hivyo mitumbo wazi na inatisha jamani usiombeee awe na mapacha uwiiiii so scary. lol
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
wengine wanaenda club na kucheza mziki mpk mimba ya miezi 9 daaaah hiyo nashuhudia sana madai yao hawataki kupitwa na ujana.inasikitisha sana complications lazima ziwepo unakuta mtu ana mimba kubwa sana tu lakini anakata ulabu kama kaambiwa kesho ulabu marufuku,mbaya zaidi wengi wanagegedwa na watu tofautitofauti bila kujali kiumbe kilichopo tumboni hali hii ipo sana uswahilini.
inasikitisha sana mkuu.wengine wanaenda club na kucheza mziki mpk mimba ya miezi 9 daaaah hiyo nashuhudia sana madai yao hawataki kupitwa na ujana.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.