Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,171
- 34,394
na wahenga waliposema kubeba mimba si kazi kazi kulea mwana hawakukoseaDaah yani discipline ni kitu cha muhimu sana kwa watoto hasa wanapokuwa bado wadogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na wahenga waliposema kubeba mimba si kazi kazi kulea mwana hawakukoseaDaah yani discipline ni kitu cha muhimu sana kwa watoto hasa wanapokuwa bado wadogo.
yaani mkuu mostly ya wazazi wa digital malezi yao ni hovyo, kuanzia ujauzito n mdogo had mtoto anazaliwa yan shidaKweli aisee ni changamoto sana...unakuta mzazi hawezi kumkanya mtoto wake hata kwa kosa ambalo linajulikana,, anamdekeza
sijui ni nini kimewakumba..inashangaza sanayaani mkuu mostly ya wazazi wa digital malezi yao ni hovyo, kuanzia ujauzito n mdogo had mtoto anazaliwa yan shida
venye husema wanalea kizungusijui ni nini kimewakumba..inashangaza sana
Huo sio utaratibu wetu Waafricavenye husema wanalea kizungu
hatutambui hili tunapenda kuiga iga hata visivyoigikaHuo sio utaratibu wetu Waafrica
[emoji106]Mie nasema kwa sauti kubwa: ni upuuzi, na sio kuonesha tu matumbo, mie huwa nakosa raha ninapoona mwanadada anakwambia, "Jumatano nitapata baby girl"
Kwa maana ameshakwenda kwenye ultrasound ameona ana mtoto wa jinsi ipi, halafu ana appointment ya kwenda kufanyiwa upasuaji tena hana tatizo lolote lakini hataki kuzaa kwa kukema/kusukuma
mfyuuuuuuuuuuuu
[emoji106]MKUU HAPA DUNIANI ,KUNA WANAWAKE WA AINA MBILI --
1) Kuna wanawake walizaliwa Kwa ajili ya kua Wake za watu ( they deserve it ).
2) Kuna wanawake wamezaliwa ili kuongeza idadi ya wanawake Duniani .
Mwisho wa habari.
Ohooooo!!!Mwake,wa hvo anatakaa
Kuwaaminisha hata yy anakizaz
[Color= yellow]Triple A[/color]
Sijui ni nani kawaloga, vingine ni vya kukausha kwa maana athari zake kwa jamii ni mbaya mnohatutambui hili tunapenda kuiga iga hata visivyoigika
ni kaulimbukeni flani hivi hakuna hata kutafta mchawi dear! mchawi ni sisi wenyeweSijui ni nani kawaloga, vingine ni vya kukausha kwa maana athari zake kwa jamii ni mbaya mno
ni ulimbukeni tu kuigaiga kila kitu waonekane class flani,tabia hii ya kupiga picha nusu uchi na mtumbo mkubwa wa mimba kaianzisha beyonce knowles haya mazombie ya huku bongo ni full kuiga,kumbuka miaka ya nyuma kidogo mimba zilionekana michosho sana ilikua nadra sana kukuta msanii wa bongo yupo kwenye 'spotlight' ana mtumbo mkubwa walikua wanatoa sana mimba.Kumeibuka wimbi la wadada wajawazito kupiga picha huku wameshikilia matumbo yao na kisha kuzitupia kwenye mitandao ya kijamii.
![]()
Huwa malengo yake hasa ni yapi?
Huenda nimepitwa na wakati, napaswa kuji-update.
Mapendo,
TANMO.
mkuu wewe ni me au ke? kama ni me nakushauri usipende kabisa kutumia hayo maneno mawili katika post yako na la kwanza na la mwisho.Mie nasema kwa sauti kubwa: ni upuuzi, na sio kuonesha tu matumbo, mie huwa nakosa raha ninapoona mwanadada anakwambia, "Jumatano nitapata baby girl"
Kwa maana ameshakwenda kwenye ultrasound ameona ana mtoto wa jinsi ipi, halafu ana appointment ya kwenda kufanyiwa upasuaji tena hana tatizo lolote lakini hataki kuzaa kwa kukema/kusukuma
mfyuuuuuuuuuuuu
Mimi ni mwanamke mwenye UKEmkuu wewe ni me au ke? kama ni me nakushauri usipende kabisa kutumia hayo maneno mawili katika post yako na la kwanza na la mwisho.
ha ha ha ha ha ha ah autakuta motto anakwambia mgeni kum.....yo... mama yake anacheka yaani huyu mtoto anasumbuaa kweli ....natamani hata nimfinye mdomo...Yani umenifanya hadi nibadilike ghafla. Unakutana na toto lisumbufu, sifa nyingi, maneno kibao na mabaya sometimes kwa mgeni ambaye hata hajawahi kumuona alafu wazazi wanamchekea tu. Utasikia yani huyu mtoto ni mtundu mara oooh acha kumsumbua anko.....yan huwa natamani nimpe kibao kimoja akalale zake huko.