nasssen
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 489
- 535
Hahaha...kumbe na wewe yamekukuta aise?? Yani unaweza ukaaga mapemaaa.....ha ha ha ha ha ha ah autakuta motto anakwambia mgeni kum.....yo... mama yake anacheka yaani huyu mtoto anasumbuaa kweli ....natamani hata nimfinye mdomo...
Sent using Jamii Forums mobile app