Hii tabia ya wanawake kupiga picha za design hii ni fashion au?

Hii tabia ya wanawake kupiga picha za design hii ni fashion au?

Mi labda ni mshamba lakini huwa siwaelewi kabisa wanamaanisha nini kuonesha hayo matumbo. May be labda.na hao wanaume zao wanapenda mi huyu wangu najua moto utawaka.
 
nothing wrong on that,na sioni ni news kwa haya mapicha wanawake wana haki sawa na wanaweza kuyafanya haya as far its within the law,mbona wanaume wanatembea vifua wazi je ni makosa haya?women are not second citizens.
 
sifa tu na anataka kusifiwa
Sasa jamani kukaa uchi ni sifa tena...?Mimi nahisi hii kitu kiroho haiko sawasawa,unapiga picha kama hizi,badala ya kuishia kuonekana na aliyekupa hiyo mimba ambaye ameshazoea kukuona ukiwa huna nguo,unazitupa hizo picha kwenye mitandao ya kijamii ili kila mtu akuone mwili wako bila ya nguo.Halafu huyo mtoto siku moja akikua naye akaanza kupekuwa mitandaoni akikuona ukiwa na hiyo hali unategemea nini hapo!!
 
hata uleaji ni shida sana watoto wengi wa kizazi hiki hawana adabu
Yani umenifanya hadi nibadilike ghafla. Unakutana na toto lisumbufu, sifa nyingi, maneno kibao na mabaya sometimes kwa mgeni ambaye hata hajawahi kumuona alafu wazazi wanamchekea tu. Utasikia yani huyu mtoto ni mtundu mara oooh acha kumsumbua anko.....yan huwa natamani nimpe kibao kimoja akalale zake huko.
 
Sasa jamani kukaa uchi ni sifa tena...?Mimi nahisi hii kitu kiroho haiko sawasawa,unapiga picha kama hizi,badala ya kuishia kuonekana na aliyekupa hiyo mimba ambaye ameshazoea kukuona ukiwa huna nguo,unazitupa hizo picha kwenye mitandao ya kijamii ili kila mtu akuone mwili wako bila ya nguo.Halafu huyo mtoto siku moja akikua naye akaanza kupekuwa mitandaoni akikuona ukiwa na hiyo hali unategemea nini hapo!!
mkuu wanakosea mi sifanyi hivyo
 
umeona eh!! yaan mababu wa kizazi cha digital watakua hawana wanalojua zaidi ya kurecover password na kuhack accounts Mungu atufanyie wepesi na vizazi vyetu, atupe vizazi vilivyo vyema
Na muda mwingine wazazi wanachangia kwa kweli, kitu ambacho sio vizuri
 
Kumeibuka wimbi la wadada wajawazito kupiga picha huku wameshikilia matumbo yao na kisha kuzitupia kwenye mitandao ya kijamii.

4907d52c8219aff40382b8fb29993640.jpg


Huwa malengo yake hasa ni yapi?
Huenda nimepitwa na wakati, napaswa kuji-update.

Mapendo,
TANMO.
Kutiana nyege
 
Yani umenifanya hadi nibadilike ghafla. Unakutana na toto lisumbufu, sifa nyingi, maneno kibao na mabaya sometimes kwa mgeni ambaye hata hajawahi kumuona alafu wazazi wanamchekea tu. Utasikia yani huyu mtoto ni mtundu mara oooh acha kumsumbua anko.....yan huwa natamani nimpe kibao kimoja akalale zake huko.


unakuta mtoto zile adabu za kumjua huyu mkubwa nimpe heshima hamna sometimes mmekaa labda mnapiga piga story mtoto anadakia mazungumzo tabia ya ajabu sana hii ukute mtoto amechapwa shule mama yake atakavyokwenda na maneno mapya utayasikia siku hiyo
 
Na muda mwingine wazazi wanachangia kwa kweli, kitu ambacho sio vizuri


ukute mwanae amecheza nje akapigwa badala ya kuwamulia mtoto anamwambia mama yake ukipigwa siku nyingine na wewe mpige usikubali

au ugomvi wa watoto kuhamishiwa kwa wazazi ajabu hii
 
Na muda mwingine wazazi wanachangia kwa kweli, kitu ambacho sio vizuri


ukute mwanae amecheza nje akapigwa badala ya kuwamulia mtoto anamwambia mama yake ukipigwa siku nyingine na wewe mpige usikubali

au ugomvi wa watoto kuhamishiwa kwa wazazi ajabu hii
 
"Respect pregnant women, because it is not easy walking around with evidence that you have had sex"- Robert Mugabe.
 
unakuta mtoto zile adabu za kumjua huyu mkubwa nimpe heshima hamna sometimes mmekaa labda mnapiga piga story mtoto anadakia mazungumzo tabia ya ajabu sana hii ukute mtoto amechapwa shule mama yake atakavyokwenda na maneno mapya utayasikia siku hiyo
Daah yani discipline ni kitu cha muhimu sana kwa watoto hasa wanapokuwa bado wadogo.
 
ukute mwanae amecheza nje akapigwa badala ya kuwamulia mtoto anamwambia mama yake ukipigwa siku nyingine na wewe mpige usikubali

au ugomvi wa watoto kuhamishiwa kwa wazazi ajabu hii
Kweli aisee ni changamoto sana...unakuta mzazi hawezi kumkanya mtoto wake hata kwa kosa ambalo linajulikana,, anamdekeza
 
Back
Top Bottom