Hii tabia ya watu kuja na thread "Leo ni siku ya mwisho kutumia JF"

Hii tabia ya watu kuja na thread "Leo ni siku ya mwisho kutumia JF"

Wanatuaga kama vile walituomba kujiunga... Mkitaka kutoka tokeni tu taratibu hatutaki matangazo. Wanajifanya wa muhimu saaaana kwamba kutokuwepo kwao labda kuna kitu tutamis. KWENDENI
 
Huu mtindo unakua kwa kasi
Wengi ni wasaka kiki tu...JF ni km kilevi tu ni vigumu mtu kuiacha moja kwa moja(ubadili ID tu)
Ulikuja kimyakimya
Sepa pia kimyakimya
.
.
Unatuaga kwani unasafiri ili tukusaidie nauli?
 
Acheni hizo bana sasa mie ntaweka wapi emoji zangu kama hizi?
images(2).jpg
IMG_20170524_125113.jpg

I will miss them a lot. Kila mtu ana haki ya kuagwa bana.
 
Habari

Kuna ka mtindo hapa kameanzishwa na memba humu kututishia kwamba wanaacha kutumia jf

Katika uchunguzi wangu niliofanya nikagundua yafuatayo:

1. Unatumia simu, laptop, au mfano wake ila ukiamua kuacha jf unaitangazia dunia nzima vizuri lakini japo ni haki yako

2. Unaamua kutoka jf kama Miss Natafuta ila baada ya siku tatu unakuja tena na unakuwa active zaidi ya Troll JF au @joseverout

3. Unaamua kutoka jf tena unatupa muda ikifika saa kumi jion utakuwa ushatoka ila ikija comment ya saa tatu usiku unajibu na kesho na kesho kutwa unakuwa bado upo

4. Unaamua kujitoa jf lakini uki-tag-iwa unakuja kwa spid ya mwanga wala haipiti sekunde 59

5. Wengine wanaamua kujitoa wanaanzisha uzi ila anapata comment tatu. Kesho anakuja na nyuzi nyingine baada ya kukosa support

6. Wengine wanaamua kutoka jf ili waone nani watamlilia abaki

7. Wengine wanamua kujitoa eti kwa sababu wanafuatwa. unatumia id fake hujui ni ya jike au dume alafu unasema watu wanakufuata mmmhhh

KAMA MNATOKA TOKENI NA KWENDENI KABISA
Hahahahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] namimi natoa taarifa mapema kuanzia tarehe 01 mwezi 06 mwaka 2077 najitoa rasmi JF.....nitawamiss nyooote
 
Wanatuaga kama vile walituomba kujiunga... Mkitaka kutoka tokeni tu taratibu hatutaki matangazo. Wanajifanya wa muhimu saaaana kwamba kutokuwepo kwao labda kuna kitu tutamis. KWENDENI

Kweli kabisa kuna kama The bold au ONTARIO nikiona wanatoka hao ntagawana nao mshahara wangu wa mwezi mmoja ili wabaki wengine wakiondoka kwanza ntaangalia mchango wao hapa jf, kama hamna wakalale mbele tena wa rest in peace mxiuuuu zao

tena wamenifundisha hata namna ya kusonya mfyuuu zao ndo nachojivunia kwendeni kule
 
Hahahahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] namimi natoa taarifa mapema kuanzia tarehe 01 mwezi 06 mwaka 2077 najitoa rasmi JF.....nitawamiss nyooote

Wewe ata uondoke tu maana nikiona uzi unaoanzisha ni wa uganga uganga, ushirikina, ulozi, khaa maana kuna uzi mmoja umenifanya nikilala, nalala uchi ili nione wachawi ila mpaka sasa sijawahi kuwaona wachawi

i wish i could be Paw (in voise of naniliu)
 
Hahahaa hallooo unaongea na mie au unaongea na simu
images(4).jpg

Na wewe Numby tangia upate hiyo app ya emoj na ujue kubold maandishi bila kusahau kuyawekea rangi maandishi yako napata tabu sana

i wish i could be @invincible (in voise of naniliu)
 
Back
Top Bottom