mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
[emoji23] in fact zitakua kiki za kijingaAttention kitu kibaya sana. (KIKI)
Wengi wao wakitoka hawana sabbHahahaha mkuu labda wana sababu za msingi
Hahahahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] namimi natoa taarifa mapema kuanzia tarehe 01 mwezi 06 mwaka 2077 najitoa rasmi JF.....nitawamiss nyoooteHabari
Kuna ka mtindo hapa kameanzishwa na memba humu kututishia kwamba wanaacha kutumia jf
Katika uchunguzi wangu niliofanya nikagundua yafuatayo:
1. Unatumia simu, laptop, au mfano wake ila ukiamua kuacha jf unaitangazia dunia nzima vizuri lakini japo ni haki yako
2. Unaamua kutoka jf kama Miss Natafuta ila baada ya siku tatu unakuja tena na unakuwa active zaidi ya Troll JF au @joseverout
3. Unaamua kutoka jf tena unatupa muda ikifika saa kumi jion utakuwa ushatoka ila ikija comment ya saa tatu usiku unajibu na kesho na kesho kutwa unakuwa bado upo
4. Unaamua kujitoa jf lakini uki-tag-iwa unakuja kwa spid ya mwanga wala haipiti sekunde 59
5. Wengine wanaamua kujitoa wanaanzisha uzi ila anapata comment tatu. Kesho anakuja na nyuzi nyingine baada ya kukosa support
6. Wengine wanaamua kutoka jf ili waone nani watamlilia abaki
7. Wengine wanamua kujitoa eti kwa sababu wanafuatwa. unatumia id fake hujui ni ya jike au dume alafu unasema watu wanakufuata mmmhhh
KAMA MNATOKA TOKENI NA KWENDENI KABISA
[emoji23] [emoji23] [emoji23]ATTENTION SEEKERS...
Wanajaza servers tu.Hahahaha mkuu labda wana sababu za msingi
Hahahh
Wanatuaga kama vile walituomba kujiunga... Mkitaka kutoka tokeni tu taratibu hatutaki matangazo. Wanajifanya wa muhimu saaaana kwamba kutokuwepo kwao labda kuna kitu tutamis. KWENDENI
Hahahahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] namimi natoa taarifa mapema kuanzia tarehe 01 mwezi 06 mwaka 2077 najitoa rasmi JF.....nitawamiss nyooote
Acheni hizo bana sasa mie ntaweka wapi emoji zangu kama hizi?View attachment 515377View attachment 515378
I will miss them a lot. Kila mtu ana haki ya kuagwa bana.
Na wewe Numby tangia upate hiyo app ya emoj na ujue kubold maandishi bila kusahau kuyawekea rangi maandishi yako napata tabu sana
i wish i could be @invincible (in voise of naniliu)