Wewe ata uondoke tu maana nikiona uzi unaoanzisha ni wa uganga uganga, ushirikina, ulozi, khaa maana kuna uzi mmoja umenifanya nikilala, nalala uchi ili nione wachawi ila mpaka sasa sijawahi kuwaona wachawi
i wish i could be Paw (in voise of naniliu)
Hahaha halafu faida yake?Wengine huwa wanaamua kubadili jinsia Ili kama alikuwa me aje kama Ke...
Hahahaa i wish i could be mchawi,fasta nakufotoa picha na kuzibandika humu
huenda ikawa mkuuWanajaza servers tu.
Wengi wao wakitoka hawana sabb
Cha kuchekesha zaidi kuna members wapya hawana hata mwaka humu nao wanaaga, dah!
Anhaa sasa hizi inabidi nikupe namba yangu uwe unazituma tu mkuu...Acheni hizo bana sasa mie ntaweka wapi emoji zangu kama hizi?View attachment 515377View attachment 515378
I will miss them a lot. Kila mtu ana haki ya kuagwa bana.
Mkuu upo active knoma aseeHahahaha mkuu labda wana sababu za msingi
nipatapo time sio kila muda mkuuMkuu upo active knoma asee
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kila uzi nakuona safi sana.nipatapo time sio kila muda mkuu
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji3] [emoji3] [emoji3] kila uzi nakuona safi sana.
Huu sasa ni wivu aiseeee.....[emoji13] [emoji13] [emoji13]dah hayo mapenzi yenu bwana kama ya jux na vanessa