Hii teua tengua teua ya Rais Samia iwe funzo kuwa ukiona Umeteuliwa usianze Kujisikia, kusahau ulikotoka na kudharau Watu

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Waandishi wa Habari wa Tanzania mkitaka Teuzi kwa Awamu hii ya Kulazimisha ya Sita ( wakati Kikatiba bado ni ya Tano iliyo katika Muhula wake wa Pili ) hakikisheni mnatoke BBC, Azam Media, IPP Media na TSN tu pekee.

Kuna Msemaji Mmoja ( Bingwa wa Majungu ) Serikalini hakupenda Uteuzi wa Mtu na najua leo hii baada ya Kusikia aliyerithi nafasi yake Kaliwa Kichwa mazima na Rais Samia na Mzanzibari Mwanamke kupewa Nafasi yake atakuwa amefurahi mno.

Halafu mnaoteuliwa msihau Kuroga!!!!!
 
Zama hizi sifa kuu za kuteuliwa

Moja ni uwe mwislamu
Mbili ni uwe mzanzibari au mwanamke

Nyingine ni added advantage (kama ilivyo elimu ya masters katika ajira za serikalini)
 
Kuroga muhimu sana, nazi huwa zinavunjwa sana ikulu ndogo kumchanganya madam 😜

Na hii ndio silaha yangu nayo jivunia nikiona mtu analeta za kujua namtanguliza mapema.
 
Mimi Zuhura nampenda mno, she’s cute and smart. Hiyo nafasi imepata mtu sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…