Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Performance yake uwanjani ilikuwa kubwa leo..!Ghazat kafanya Nini Kanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Performance yake uwanjani ilikuwa kubwa leo..!Ghazat kafanya Nini Kanda
Hivi Shadeeya Ni me au ke 😋Ila mashabiki wa Simba waoga Sana nilichoshuhudi humu Ni mtifuano Kati ya Simba fc fun vs Shadeeya
Mimi ni ME Mkuu. 😎Hivi Shadeeya Ni me au ke 😋
Kwani unataka ufanyajeHivi Shadeeya Ni me au ke 😋
Sasa hiyo Avatar inatuchanganya! ujue!Mimi ni ME Mkuu. 😎
Tulivyo na roho mbaya tutawahonga FA watupangie Yanga tuwatoe mapema maana tukifika nao fainali tutawafunga kisha watashiriki confederation maana watakuwa washindi wa pili sasa ni kuwatoa mapema mwakani tutampeleka Azam confederation,kwenye ligi kuu bingwa anajulikana hata kabla haijaanzaNasemea huku kwenye Kombe la FA hivyo wala hamtupi presha.
Huko TPL pia mjikaze hasaa.
🤣🤣🤣 vumilia tu Mkuu ni mwanangu wa kwanza huyo na alishapata mwenza. 🤣🤣Sasa hiyo Avatar inatuchanganya! ujue!
Aiseee!! Hii ni zaidi ya roho mbaya Mkuu.Tulivyo na roho mbaya tutawahonga FA watupangie Yanga tuwatoe mapema maana tukifika nao fainali tutawafunga kisha watashiriki confederation maana watakuwa washindi wa pili sasa ni kuwatoa mapema mwakani tutampeleka Azam confederation,kwenye ligi kuu bingwa anajulikana hata kabla haijaanza
Arusha Football Club "AFC" WAJANJA WA A TOWN ni timu iliyoko daraja la kwanza kundi B ina point 16 Kocha wake kwa sasa ni Ulimboka Mwankingwe.... Timu hii inakabiliwa na ukata mkali
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia Shadeeya dawa iwaingie, mpira siku hizi hautaki longolongo, wekezeni mapesa timu yenu iwe ya ushindani vinginevyo mtawaona Lunyasi wanaroho mbaya kila siku maana watakua wanawashindilia magoli kama hawawajui vileee🤣🤣🤣Aiseee!! Hii ni zaidi ya roho mbaya Mkuu.
Ila mwisho wenu tunaujua hivyo wala hamna safari ndefu huku FA.
Tuko mbioni hivyo tutaelewana tu huko mbeleni. Na hapo ndio tutajua nani ni wa kwanza kuliona jua.Tulia Shadeeya dawa iwaingie, mpira siku hizi hautaki longolongo, wekezeni mapesa timu yenu iwe ya ushindani vinginevyo mtawaona Lunyasi wanaroho mbaya kila siku maana watakua wanawashindilia magoli kama hawawajui vileee🤣🤣🤣
Unaongea pointi sana kwenye michezo ,ila hiyo AVATAR YAKO INAKUSHUSHIA HESHIMA!😡😡Tulivyo na roho mbaya tutawahonga FA watupangie Yanga tuwatoe mapema maana tukifika nao fainali tutawafunga kisha watashiriki confederation maana watakuwa washindi wa pili sasa ni kuwatoa mapema mwakani tutampeleka Azam confederation,kwenye ligi kuu bingwa anajulikana hata kabla haijaanza