Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Wananchi hawasajili wala hawachangishani fedha za kusajili. wanaosajili ni mtajiri. Ila wananchi bado wanasema timu ni yao
Wananchi hawatoi hela za kuendeshea Klab, mitaani wanajisifu timu ni yao.
Wananchi hawajui hata Jezi wanazovaa mitaani zimeiingizia Klab shilingi ngapi, ila matajiri wanajua wao hawajui.
Wananchi wanaambiwa tu kuwa Klab imeingia mikataba "minono" na makampuni mbali, ila hawajui hela za mikataba hiyo zinaingia kwenye Akaunti gani ya Klab. Matajiri wanajua wao wananchi hawajui
Sasa matajiri ndiyo wanaamua nani awe ama asiwe kiongozi kwenye Klab yao, wao wananchi wamebakia kutetema tu uongozi uko mikononi mwa matajiri.
Nyie wananchi mnawezaji kusema hii timu ni yenu wakati kila kitu kinafanywa na matajiri na siyo nyie??
Wananchi hawatoi hela za kuendeshea Klab, mitaani wanajisifu timu ni yao.
Wananchi hawajui hata Jezi wanazovaa mitaani zimeiingizia Klab shilingi ngapi, ila matajiri wanajua wao hawajui.
Wananchi wanaambiwa tu kuwa Klab imeingia mikataba "minono" na makampuni mbali, ila hawajui hela za mikataba hiyo zinaingia kwenye Akaunti gani ya Klab. Matajiri wanajua wao wananchi hawajui
Sasa matajiri ndiyo wanaamua nani awe ama asiwe kiongozi kwenye Klab yao, wao wananchi wamebakia kutetema tu uongozi uko mikononi mwa matajiri.
Nyie wananchi mnawezaji kusema hii timu ni yenu wakati kila kitu kinafanywa na matajiri na siyo nyie??