Hii Trend ya kukamatwa Wahamiaji Haramu kwenye V8 kuna jambo lichunguzwe

Hii Trend ya kukamatwa Wahamiaji Haramu kwenye V8 kuna jambo lichunguzwe

Ghost MVP

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2022
Posts
439
Reaction score
736
Mtu hadi anapofikia kuitwa mmhamiaji haramu tena kwa wale wanavyoonekana hawana pesa ya kumlipa mtu awasafirishe kwa V8, Hii ni issue huenda ipo nyuma ya mtu fulani, either watu hawa wanapelekwa kufanya kazi mahala, kiwanda, shamba au chochote, coz hawa kujilipia huu usafiri mtu arisk gari na kazi yake ni ngumu lazima kuna pesa ndefu ipo nyuma ya kila kitu, Hili nalo likafanyiwe kazi.

Pia soma

1712654434801.png
 
Mtu hadi anapofikia kuitwa muhamiaji haramu tena kwa wale wanavyoonekana hawana pesa ya kumlipa mtu awasafirishe kwa V8, Hii ni issue huenda ipo nyuma ya mtu fulani, either watu hawa wanapelekwa kufanya kazi mahala, kiwanda, shamba au chochote, coz hawa kujilipia huu usafiri mtu arisk gari na kazi yake ni ngumu lazima kuna pesa ndefu ipo nyuma ya kila kitu, Hili nalo likafanyiwe kazi

View attachment 2958633
Kapuku huwezi huu mchong9 wa vigogo
 
Mtu hadi anapofikia kuitwa mmhamiaji haramu tena kwa wale wanavyoonekana hawana pesa ya kumlipa mtu awasafirishe kwa V8, Hii ni issue huenda ipo nyuma ya mtu fulani, either watu hawa wanapelekwa kufanya kazi mahala, kiwanda, shamba au chochote, coz hawa kujilipia huu usafiri mtu arisk gari na kazi yake ni ngumu lazima kuna pesa ndefu ipo nyuma ya kila kitu, Hili nalo likafanyiwe kazi.

Pia soma

View attachment 2958633
We nawe kwani ulikua wapi ,hio ni biashara kama maduka ya kariakoo tu ,hapo kila kichwa kuvuka toka namanga kuelekea kusini si chini ya dola 500 sheikhe
 
hao wanaeleka europe au south africa, hapa wanakuwa wapo njiani tu. Nadhani vx hazipigwi sana mkono na trafiki
 
Wee hii biashara ina hela sana mzee,pale kila kichwa anaweza akawa anatoa mln 4 ya kibongo
Boda boda akamtoa muhamiaji harMu kutoka kimange ndanindani huko mpaka chalinze analiowa 500,000

Ova
Basi tajiri zingine zinapatikana kwa njia haramu kweli kweli😆
 
Namanga Holili Arusha for orientation then Nduki via Dodoma Makambako Tunduma....lijengwe Daraja wapite juu kwa juu....
 
Mtu hadi anapofikia kuitwa mmhamiaji haramu tena kwa wale wanavyoonekana hawana pesa ya kumlipa mtu awasafirishe kwa V8, Hii ni issue huenda ipo nyuma ya mtu fulani, either watu hawa wanapelekwa kufanya kazi mahala, kiwanda, shamba au chochote, coz hawa kujilipia huu usafiri mtu arisk gari na kazi yake ni ngumu lazima kuna pesa ndefu ipo nyuma ya kila kitu, Hili nalo likafanyiwe kazi.

Pia soma

View attachment 2958633
Nimesema wachunguzwe kama hawajabebeshwa madawa ya kulevya kwani wahusika ndio hao hao
 
Basi tajiri zingine zinapatikana kwa njia haramu kweli kweli😆
Matajiri wengi wamepata kwa njiaa haramu
Wapo watu wamefanya sana magendo kuingiza bidhaa nchini
Lwo hii hao wameingia kwenye siasa na ni wabunge nk
Hii dunia uwanja wa fujo mzee

Ova
 
Trafiki wanafanya jambo jema hapo barabarani kukamata hao wasafirisha wahamiaji haramu ila sijui kwa upande wa ndege zinazobeba tembo na twiga wetu kama zinapigwa hata mkono, jamaa ndio maana walitaka trafiki waende likizo ya kudumu.
 
Back
Top Bottom