Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Hii kitu sijaielewa Wazee wa pira linatembea wameshinda leo lakini mashabiki wake uku wamekuwa kama wamemwagiwa maji ya baridi sijui hii ganzi ya ghafra waliyonayo kuna nini nyuma ya pazia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie sio wa hii level eti, jiandae kwa maumivu zaidi kama kwa mkapa unapata ushindi kwa mbinde tena dhidi ya timu iliyoko mkiani vipi ukianza kwenda kuwafata mikoani kwenye viwanja vigumuTunauita ukomavu wa mashabiki na timu. Tunataka zaidi ya hapa. Na sio udhaifu bali ni kuonyesha sisi sio wa hii level. Sasa nyie endeleeni kushabikia goli moja la kuwafunga waarabu wa kijijini kwao Nabi.
Mnakijua kinachofata ndo maana mji umetuliaHatuwezi furahia ushindi mwembamba kiasi hicho aisee...
Mancity kapigwa na Brentford leo. Hujui mpirq ww endelea kuwa shabiki maandaziNyie sio wa hii level eti, jiandae kwa maumivu zaidi kama kwa mkapa unapata ushindi kwa mbinde tena dhidi ya timu iliyoko mkiani vipi ukianza kwenda kuwafata mikoani kwenye viwanja vigumu
Mshabiki maandazi..mbona unampa sifa..mshabiki MihogooMancity kapigwana brendton leo. Hujui mpirq ww endelea kuwa shabiki maandazi
Brendton ni timu ya ligi gani bwashee!!Mancity kapigwana brendton leo. Hujui mpirq ww endelea kuwa shabiki maandazi
Hii brendton ni under 17 ya Ihefu?Mancity kapigwana brendton leo. Hujui mpirq ww endelea kuwa shabiki maandazi
Shida ni Aziz kiHii kitu sijaielewa Wazee wa pira linatembea wameshinda leo lakini mashabiki wake uku wamekuwa kama wamemwagiwa maji ya baridi sijui hii ganzi ya ghafra waliyonayo kuna nini nyuma ya pazia
Na itakuwaje mkikutana na mtibwa?Hatuwezi furahia ushindi mwembamba kiasi hicho aisee...
Yanga bhana! Sasa ule ushindi vs geita ni wa kuushangiliaHii kitu sijaielewa Wazee wa pira linatembea wameshinda leo lakini mashabiki wake uku wamekuwa kama wamemwagiwa maji ya baridi sijui hii ganzi ya ghafra waliyonayo kuna nini nyuma ya pazia.