Hii umekaaje, mwanaume kufunga PM?

Hii umekaaje, mwanaume kufunga PM?

Auntie kwanza ulifichwa wapi?

Pili uache kutongoza hawa viumbe, unaona sasa[emoji1745][emoji1745][emoji1745]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkweo mama ananibana sana nashindwa hata kuingia jf

Kwahiyo ndio wanafunga pm ili tusiwatongoze[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkweo mama ananibana sana nashindwa hata kuingia jf

Kwahiyo ndio wanafunga pm ili tusiwatongoze[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Huyo mkwe anakubanaje ikiwa hata mahari sijakula[emoji1745][emoji1745][emoji1745]

Hawataki tuwatongoze eti!!! Sasa sijui tukatongoze akina nani?
 
Huyo mkwe anakubanaje ikiwa hata mahari sijakula[emoji1745][emoji1745][emoji1745]

Hawataki tuwatongoze eti!!! Sasa sijui tukatongoze akina nani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nikisubiri ule mahali mama nitazeekea nyumbani nimeamua nijipeleke mwenyewe tu

Watake wasitake na kufunga kwao pm tutawatongoza hivyohivyo hata kwenye thread
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nikisubiri ule mahali mama nitazeekea nyumbani nimeamua nijipeleke mwenyewe tu

Watake wasitake na kufunga kwao pm tutawatongoza hivyohivyo hata kwenye thread
Kwahiyo mnaniachaje?

We watongoze tu mama maana hamna namna.
 
Back
Top Bottom