Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi umefungua?.Kuna kipindi wale jamaa wasiojulikana walikuwa wanakuja kwa gia mbalimbali ikiwemo ile ya sweet pot. Hata mimi nilifunga [emoji16][emoji16][emoji16]
Hahahaha, aseeMaamuzi ni ya muhusika, me pia nahitaji kujua namna ya kufunga PM, puliiiiiiiz wananzengo mnifundisheeeee. Nahtaj kufunga PM yangu.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Humu kuna connection za biashara sasa mtu anatoa comment ya kitu flani unakihitaji lakini jinsi ya kumnong’oneza huna.
Mkuu nipe utaalamu huo walau na mimiMimi nilifunga nimefungua, ila kipindi cha uchaguzi nafunga tena
Kuna kipindi wale jamaa wasiojulikana walikuwa wanakuja kwa gia mbalimbali ikiwemo ile ya sweet pot. Hata mimi nilifunga [emoji16][emoji16][emoji16]
Pm kuna mambo mengi mtu anaona kukwambia hadharani shida anaona kuja wawili muongee kuna mishe za dili, za kazi na aina hiyo, au amekuja kukuomba hela sio mpaka kila mtu ajue ndo maana ata WhatsApp inayo private vitu ka hivyo yani,🤪🏃Wewe unatafta nini pm kwa mwanaume mwenzio?
Njoo pm nikufundishe cocastic 🤪😁Maamuzi ni ya muhusika, me pia nahitaji kujua namna ya kufunga PM, puliiiiiiiz wananzengo mnifundisheeeee. Nahtaj kufunga PM yangu.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Unamwambia nakuja PM.Humu kuna connection za biashara sasa mtu anatoa comment ya kitu flani unakihitaji lakini jinsi ya kumnong’oneza huna.
Nifundishe kufunga PM jamaniiiiiih mmmmmh lol.
Na wewe nini kinakupelekea kuingia pm ya dume mwenzako hadi ukajua kaifunga.Sorry wanaume mnaofunga PM zenu, huwa mnasumbuliwa Sana na mademu ehhh. Au mnaficha nini huko? Mnauza gongo?
PM ndiko Kuna madili, michongo nkNa wewe nini kinakupelekea kuingia pm ya dume mwenzako hadi ukajua kaifunga.
Naanza kuingiwa shaka na wewe.
Ahaa hapo sawa.PM ndiko Kuna madili, michongo nk
😁🤪[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nifundishe hapa hapa bhanaaaaaah.
Nifundishe kweli seriously[emoji16][emoji2957]
Njoo pm ni haraka tu usijaliNifundishe kweli seriously