Hii umekaaje, mwanaume kufunga PM?

Hii umekaaje, mwanaume kufunga PM?

Pm mnafunga nami naomba mnifundishe jinsi ya kufunga je? Natakiwa niwe na barua ya Mwenyekiti wa mtaa au mtendaji? Msaada tafadhali
 
👊🏽👊🏽👊🏽 Naona Bujibuji kasahau hilo la wasiojulikana kujifanya mabinti wazuri sana na kudai, “Ukiniona nilivyo mzuri hutajutia kamwe. Tuwasiliane kupitia email hii nasubiri kwa hamu kuu kusikia toka kwako” 😂😂😂

Kuna kipindi wale jamaa wasiojulikana walikuwa wanakuja kwa gia mbalimbali ikiwemo ile ya sweet pot. Hata mimi nilifunga [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wewe unatafta nini pm kwa mwanaume mwenzio?
Pm kuna mambo mengi mtu anaona kukwambia hadharani shida anaona kuja wawili muongee kuna mishe za dili, za kazi na aina hiyo, au amekuja kukuomba hela sio mpaka kila mtu ajue ndo maana ata WhatsApp inayo private vitu ka hivyo yani,🤪🏃
 
Back
Top Bottom