[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkweo mama ananibana sana nashindwa hata kuingia jfAuntie kwanza ulifichwa wapi?
Pili uache kutongoza hawa viumbe, unaona sasa[emoji1745][emoji1745][emoji1745]
Huyo mkwe anakubanaje ikiwa hata mahari sijakula[emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkweo mama ananibana sana nashindwa hata kuingia jf
Kwahiyo ndio wanafunga pm ili tusiwatongoze[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nikisubiri ule mahali mama nitazeekea nyumbani nimeamua nijipeleke mwenyewe tuHuyo mkwe anakubanaje ikiwa hata mahari sijakula[emoji1745][emoji1745][emoji1745]
Hawataki tuwatongoze eti!!! Sasa sijui tukatongoze akina nani?
Kwahiyo mnaniachaje?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nikisubiri ule mahali mama nitazeekea nyumbani nimeamua nijipeleke mwenyewe tu
Watake wasitake na kufunga kwao pm tutawatongoza hivyohivyo hata kwenye thread