Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..wakati Lissu anatetea madini kuanzia miaka ya 90, Magufuli alikuwa anatetea tumbo lake na kuwa chawa wa Ccm.
Ushabiki hupofusha sana..Nawasilisha
View attachment 2384424
Jikite kwenye mada bwashee!Acha ujinga
Utawala wa chama gani umesababisha hayo?Wewe sasa hivi wale maharage ni anasa, mchele unakimbilia 3000per kilo,Maharage 3400per kilo.
..wakati Lissu anatetea madini kuanzia miaka ya 90, Magufuli alikuwa anatetea tumbo lake na kuwa chawa wa Ccm.
Unaupimaje uzalendo wa maneno kwa mtu aliyekwapua Tshs 1.5Trilioni kwa vitendo.
HakikaMnamu-underate humu kwenye mitandao mnajiona wengi na acc zao mbilimbili, ila toka nje ya mitandao njoo wanao ishi maisha halisi ndipo utaelewa jamaa aliyagusa maisha ya watu.
Wewe sasa hivi wale maharage ni anasa, mchele unakimbilia 3000per kilo,Maharage 3400per kilo.
Mungu hakupenda adhma mbaya ambayo Magufuli alikuwa nayo dhidi ya Lissu kwa vile Lissu ndiye mtetezi wa kweli wa raslimali za madini tangu miaka ya 2000 wakati wa Mkapa akiwatetea wachimbaji wa Tarime na wakati akiwa Mbunge kipindi chote cha Kikwette akiwa msemaji wa Kambi ya upinzani kwenye sekta ya madini.
ghafla 2016 akaanza kuwatetea wakwapuaji wa madini.
Daaa umeandika maandiko marefu sana mkuu kumtetea kibaraka wa mabeberuMungu hakupenda adhma mbaya ambayo Magufuli alikuwa nayo dhidi ya Lissu kwa vile Lissu ndiye mtetezi wa kweli wa raslimali za madini tangu miaka ya 2000 wakati wa Mkapa akiwatetea wachimbaji wa Tarime na wakati akiwa Mbunge kipindi chote cha Kikwette akiwa msemaji wa Kambi ya upinzani kwenye sekta ya madini.
Wakati huo Magufuli alikuwa kimya kwenye Kambi ya CCM ambapo Lissu na upinzania walikuwa wanapambana na Serikali bungeni hadi kutoka nje ya Bunge kukataa kuwa rubber stamp ya Sheria mbaya za madini.
Mungu asingeruhusu dhuluma kama hii itokee kwa Lissu hivyo, Magufuli akashindwa kumuua na hatimaye akafa yeye Machi 17, 2021.
Hata kama huamini Mungu, kwenye hili tukio la Lissu na Magufuli Mungu alisima katikati kama alivyosimama dhidi ya Nebukadineza alipotaka kuwadhuru akina Nabii Daniel na hawa akina Meshack, Abdenengo na Shadrack (Danieli 1-3). Muacheni Mungu aitwe MunguMungu hakupenda adhma mbaya ambayo Magufuli alikuwa nayo dhidi ya Lissu kwa vile Lissu ndiye mtetezi wa kweli wa raslimali za madini tangu miaka ya 2000 wakati wa Mkapa akiwatetea wachimbaji wa Tarime na wakati akiwa Mbunge kipindi chote cha Kikwette akiwa msemaji wa Kambi ya upinzani kwenye sekta ya madini.
Wakati huo Magufuli alikuwa kimya kwenye Kambi ya CCM ambapo Lissu na upinzania walikuwa wanapambana na Serikali bungeni hadi kutoka nje ya Bunge kukataa kuwa rubber stamp ya Sheria mbaya za madini.
Mungu asingeruhusu dhuluma kama hii itokee kwa Lissu hivyo, Magufuli akashindwa kumuua na hatimaye akafa yeye Machi 17, 2021.
Hata kama huamini Mungu, kwenye hili tukio la Lissu na Magufuli Mungu alisima katikati kama alivyosimama dhidi ya Nebukadineza alipotaka kuwadhuru akina Nabii Daniel na hawa akina Meshack, Abdenengo na Shadrack (Danieli 1-3). Muacheni Mungu aitwe MunguMungu hakupenda adhma mbaya ambayo Magufuli alikuwa nayo dhidi ya Lissu kwa vile Lissu ndiye mtetezi wa kweli wa raslimali za madini tangu miaka ya 2000 wakati wa Mkapa akiwatetea wachimbaji wa Tarime na wakati akiwa Mbunge kipindi chote cha Kikwette akiwa msemaji wa Kambi ya upinzani kwenye sekta ya madini.
Wakati huo Magufuli alikuwa kimya kwenye Kambi ya CCM ambapo Lissu na upinzania walikuwa wanapambana na Serikali bungeni hadi kutoka nje ya Bunge kukataa kuwa rubber stamp ya Sheria mbaya za madini.
Mungu asingeruhusu dhuluma kama hii itokee kwa Lissu hivyo, Magufuli akashindwa kumuua na hatimaye akafa yeye Machi 17, 2021.
Hata kama huamini Mungu, kwenye hili tukio la Lissu na Magufuli Mungu alisima katikati kama alivyosimama dhidi ya Nebukadineza alipotaka kuwadhuru akina Nabii Daniel na hawa akina Meshack, Abdenengo na Shadrack (Danieli 1-3). Muacheni Mungu aitwe Mungu
Uvivu wa kufikiri au uhaba wa akili kichwani mwako. Hao mnaowaita MABEBERU ndiyo walimuwekea pacemaker Magufuli akaweza kuishi hadi 2021. La sivyo asingetoboa mwaka 1992 akiwa mwanafunzi wa UDSM.Daaa umeandika maandiko marefu sana mkuu kumtetea kibaraka wa mabeberu
Yaani maneno ya huyo nabii ww uongo ndo uzalendo? Matajiri ilihali wazazi wako bado wanakunya porini nawewe unakunya ziwani? Rubbish!