J JokaKuu Platinum Member Joined Jul 31, 2006 Posts 34,188 Reaction score 62,952 Oct 12, 2022 #21 ..Lissu ktk bunge la katiba, akitetea uwepo wa serikali ya Tanganyika. ..Magufuli alikimbia bunge la katiba. ..Magufuli alijificha ili kutetea tumbo lake.
..Lissu ktk bunge la katiba, akitetea uwepo wa serikali ya Tanganyika. ..Magufuli alikimbia bunge la katiba. ..Magufuli alijificha ili kutetea tumbo lake.
joseph1989 JF-Expert Member Joined May 4, 2014 Posts 17,420 Reaction score 35,765 Oct 12, 2022 #22 antimatter said: Utawala wa chama gani umesababisha hayo? Click to expand... Tuna tofauti ya vyama ila mentality za wanasiasa ni the same na ndio 2015 Lowasa wale walio mtukana wakamwita awe mgombea wao Chama chao.
antimatter said: Utawala wa chama gani umesababisha hayo? Click to expand... Tuna tofauti ya vyama ila mentality za wanasiasa ni the same na ndio 2015 Lowasa wale walio mtukana wakamwita awe mgombea wao Chama chao.
Kadhi Mkuu 1 JF-Expert Member Joined Feb 4, 2015 Posts 19,687 Reaction score 23,689 Oct 12, 2022 #23 antimatter said: Utawala wa chama gani umesababisha hayo? Click to expand... Maendeleo hayana chama.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Oct 12, 2022 #24 Siasa ndivyo zilivyo...