Hii video inasikitisha sana

We mpumbavu na watakaokuunga mkono ni wapumbavu kama wewe!

Kwa hiyo unatangaza wazi kuwa wewe ni miongoni mwa waliolaaniwa? Incidence kama hizi zinaweza kutokea popote duniani kwa namna tofauti.

Maisha hayatabiliki, Ukraine watu wengi wamefia kwenye majengo tangu mashambulizi ya Urusi yameanza napo ni Africa?

Marekani mara kadhaa watu wamekufa kwa sababu ya kimbunga Nako ni Africa?

What an idiotic thread!🚮🚮🚮
 
Ulioona au kufuatilia harakati zinazokuwepo katika uokozi wa watu waliokumbwa na hayo majanga.?

Au ndo ilee mama kaupiga mwingi kaokoa watu wengi sana?
 
Acha chazba. Ulaya watu hujiuzulu japo mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…