Pasta Joshua
Member
- Aug 2, 2020
- 14
- 110
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Hii ya lini leo au janaImagine na hili joto hapa daslam,unajikuta kwenye situation hii🧟♀️
Kuzaliwa Africa ni laana.
JuziDah! Hii ya lini leo au jana
Pongeza hizi ni maalumu kwa Rais Dkt.Asee mungu awapiganie.
This is. Africa.Imagine na hili joto hapa daslam,unajikuta kwenye situation hii🧟♀️
Kuzaliwa Africa ni laana.
Huku anajulikana km Pasta JoshuaJamaa kaongea maneno mengi sana kimoyo moyo
Umefikiaje hitimisho hili mkuu?Kuzaliwa Africa ni laana.
Pasta tena, Gwajuma hayupo akapuliza kifusi kikapeperuka?Huku anajulikana km Pasta Joshua
Ulioona au kufuatilia harakati zinazokuwepo katika uokozi wa watu waliokumbwa na hayo majanga.?We mpumbavu na watakaokuunga mkono ni wapumbavu kama wewe!
Kwa hiyo unatangaza wazi kuwa wewe ni miongoni mwa waliolaaniwa? Incidence kama hizi zinaweza kutokea popote duniani kwa namna tofauti.
Maisha hayatabiliki, Ukraine watu wengi wamefia kwenye majengo tangu mashambulizi ya Urusi yameanza napo ni Africa?
Marekani mara kadhaa watu wamekufa kwa sababu ya kimbunga Nako ni Africa?
What an idiotic thread!🚮🚮🚮
Acha chazba. Ulaya watu hujiuzulu japo mmojaWe mpumbavu na watakaokuunga mkono ni wapumbavu kama wewe!
Kwa hiyo unatangaza wazi kuwa wewe ni miongoni mwa waliolaaniwa? Incidence kama hizi zinaweza kutokea popote duniani kwa namna tofauti.
Maisha hayatabiliki, Ukraine watu wengi wamefia kwenye majengo tangu mashambulizi ya Urusi yameanza napo ni Africa?
Marekani mara kadhaa watu wamekufa kwa sababu ya kimbunga Nako ni Africa?
What an idiotic thread!🚮🚮🚮