Kwan congo walifikaje uko?.Au unadhani waliowafikisha uko hizo nchi ni vyama vya upinzani. ni serikali zao zilishindwa kusimamia rasilimali za nchi kama kinachoendelea sasa nchini.Ata hapa iko siku yatatufika ya hao unaowabeza.
Sent from my SM-A107F using
JamiiForums mobile app