Hii video kuhusu V8 ya Serikali inasikitisha sana

Hii video kuhusu V8 ya Serikali inasikitisha sana

Nchi inahitaji kiongozi mmoja tu mwenye akili awe rais nakuhakikishia chadema wakishika hii nchi tutajuta kuzaliwa Tanzania

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kwani ni lazima iwe Ccm au Chadema tu ? Kinaweza kikaanzishwa chama kingine kipya na kikashika Dola kama kitakuwa na watu makini !! Kusema kwamba Nchi inahitaji kiongozi mmoja tu mwenye akili awe Rais hiyo itakuwa ni sawa na kubadili chupa lakini mvinyo ni ule ule !!
 
Sio kila kitu kitaweza kuonekana jambo la muhimu Mama ameruhusu uhuru wa habari ili aweze kujua yanayoendelea mtaani pia maana mengine anaweza asiambiwe lakini kwa maoni mbali mbali toka mtaani anapata habari na kuchukua hatua.
 
Sio kila kitu kitaweza kuonekana jambo la muhimu Mama ameruhusu uhuru wa habari ili aweze kujua yanayoendelea mtaani pia maana mengine anaweza asiambiwe lakini kwa maoni mbali mbali toka mtaani anapata habari na kuchukua hatua.
Uhuru wa habari Upo kisheria na sio ruhusa ya uyo mama yenu
 
Uhuru wa habari Upo kisheria na sio ruhusa ya uyo mama yenu
Kwakuwa Katiba huwa inavunjwa vunjwa kadri wanavyotaka baadhi ya watu ndio maana uhuru wa habari huwa unaonekana kama fadhila !! Bado tupo mbali sana !!
 
Sio kila kitu kitaweza kuonekana jambo la muhimu Mama ameruhusu uhuru wa habari ili aweze kujua yanayoendelea mtaani pia maana mengine anaweza asiambiwe lakini kwa maoni mbali mbali toka mtaani anapata habari na kuchukua hatua.
Uhuru gani unaongelea. Huu wa waandishi wa magazeti kuondoka na bashasha na kuripoti uongo!!
 
Huku raia sisi tukiendela kuimba ngonjera za kusikitika kwenye mitandao ya kijamiii, hawa watawala wao wanazidi kufanya yale wanauo penda, hakuna kitakacho badilika, hata katiba mpya haitabadili huu uhuni wa watawala, hawa viongozi kuanzia top hadi chini wanajuana hawa ni wana syndicate ya kupiga pesa za umma, na wanaratiba za kwenda majukwaani kutoa machozi ya mamba.

Hawa watawala wanashindana kutoa machozi ya mamba kuhadaa wajinga na ionekana jamaa wanajali sana wanancni na wako na wanancji lakini uhalisia ni kwamba wana syndicate ya kuimaliza nchi.

Raisi anatoa crocodile tears tu na kuhadaa umma, hakuna kitu, kwamba raisi anauchungu na hii nchi ni uongo mkubwa sana, raia tusipo simama wenyewe kulinda hii nchi kwa niaba ya vizazi vijavyo tutakuwa hatutendi haki.

Angalia gari kama hilo ni kodi zetu, ni kodi za wazazi wetu kule kijijini wanao isha life gumu lakini still wanakamuliwa na Serikali kodi ili wakanunue magari kama haya na baadae wanayatelekeza mtaani.

Hata katiba mpya haitabadilisha huu ujinga zaidi ya kuja kuwa show kwamba tumechoka.

View attachment 2587531
Unasukwa mpango hapo wa kuziiba
 
Uhuru gani unaongelea. Huu wa waandishi wa magazeti kuondoka na bashasha na kuripoti uongo!!
Wewe vyura endelea kuogelea kwenye majaruba ya mpunga ndo msimu wa mvua huu hayo mengine yamekuzidi urefu
 
Back
Top Bottom