🙄Mnunuzi anaosha na no ya STL kitaa ili washikaji zake wamuone ni usalama!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙄Mnunuzi anaosha na no ya STL kitaa ili washikaji zake wamuone ni usalama!!
Usha wahi kusoma report za CAG wakati wa magufuri? Zitafute usome then rudi humuAcha waendelee kupiga tu
Wananchi wa nchii hii tumezidi unafki, hatuna jema.
Kiongozi aliyepambana na hali ya ufisadi ni mmoja tu JPM.
Matokeo katukanwa hadi kupotezwa huku sisi wananchi tukishangilia na kucheza wimbo mmoja na mafisadi wa kumsimanga.
Kwa hali hiyo unazani ni nani mwenye akili timamu anaweza kuhatarisha maisha yake kwa kuwatetea watu wasio na shukrani km wa TZ?
Ufisadi ndio chanzo kikuu cha machafuko popote pale.
Tukifika huko ndio akili itatukaa sawa.
Asante Kwa taarifa nalifikisha sehemu husika...Huku raia sisi tukiendela kuimba ngonjera za kusikitika kwenye mitandao ya kijamiii, hawa watawala wao wanazidi kufanya yale wanauo penda, hakuna kitakacho badilika, hata katiba mpya haitabadili huu uhuni wa watawala, hawa viongozi kuanzia top hadi chini wanajuana hawa ni wana syndicate ya kupiga pesa za umma, na wanaratiba za kwenda majukwaani kutoa machozi ya mamba.
Hawa watawala wanashindana kutoa machozi ya mamba kuhadaa wajinga na ionekana jamaa wanajali sana wanancni na wako na wanancji lakini uhalisia ni kwamba wana syndicate ya kuimaliza nchi.
Raisi anatoa crocodile tears tu na kuhadaa umma, hakuna kitu, kwamba raisi anauchungu na hii nchi ni uongo mkubwa sana, raia tusipo simama wenyewe kulinda hii nchi kwa niaba ya vizazi vijavyo tutakuwa hatutendi haki.
Angalia gari kama hilo ni kodi zetu, ni kodi za wazazi wetu kule kijijini wanao isha life gumu lakini still wanakamuliwa na Serikali kodi ili wakanunue magari kama haya na baadae wanayatelekeza mtaani.
Hata katiba mpya haitabadilisha huu ujinga zaidi ya kuja kuwa show kwamba tumechoka.
View attachment 2587531
Ni kweli kabisa.Upuuzi,Tanzania Ina tatizo la kijamii walio Nje wakiingia nao wanafanya hivyo hivyo..
Yaani tukiweza tuimarishe taasisi tuu.
Una nafasi gani pale Chadema?Chadema tukishika hatamu tutawafilisi wote hao hata wakikimbilia nje ya Nchi tutatumia Interpol kuwakamata na kuwarudisha ili wakanyee debe.
Kuna viongozi sijui huwa kuja nguvu gani, unakuta amestaafu lakini anaogopwa. Itakuwa Watanzania ni waoga sana!Mimi naelewa Sana mkuu
Ilikua kawaida Gari Kuja kutuchukua kwenda kununua mahitaji pale mjini Kati kawaida tu [emoji23][emoji23]
Mambo ni mengi mzee alikua mtata Sana Kuna kipindi amestaafu wakawa wanakata kata umeme pale mtaa wake direct akampigia waziri ( simtaji Jina) anamwambia wewe kwanini mnakata umeme hapa kwangu anamfokea [emoji23], calmly waziri akamwomba msamaha na Muda mchache tanesco wakaja eeeh Nkasema hii hatari [emoji23][emoji23] hii nchi watu wana power na wana zi abuse hatari mno
Note : he was not my biological father, though related by blood
Mama ni dhaifu, ila tunafanyaje? kweli tuendelee kumtegemea yeye? kwa haki hii?
Kuna Wakati ccm ilitaka kuwapangia hawa wastaafu shuhuri maalum ili wasiingilie shuhuri za chama na Serikali wakiwa wamestaafu; mkwere akafanya mbinu zake yule Katibu mkuu wa ccm wa wakati huo, akawa NDUGAINIZED siku hizi anazubaa zubaa kwenye corridors huko Lumumba!Kuna viongozi sijui huwa kuja nguvu gani, unakuta amestaafu lakini anaogopwa. Itakuwa Watanzania ni waoga sana!
Sasa katiba mpya na hio v8 vinausiana niniKusema kweli Katiba Mpya ni muhimu sana kwasasa.
Hata kama ni nguo, huwezi kukaa na nguo uliyoinunua Mwaka 1977 hadi leo hii. Lazima itakuwa imepitwa na wakati lakini pia itakuwa na Vilaka vingi mno
Wameamua wagawane hadi fito!Watu wanagawana nchi,
Hasa serikali ya huyu bibi, nchi imekuwa shamba la Bibi kikwelii.Wizi wa mali za umma umekithiri sana.
Mkuu katiba haiwezi kuwa suluhisho la wizi ila suluhisho ni uzalendo kwanza watu wawe na hofu na Mungu. Na huo muundo uanze kwenye ngazi ya familia, shule, na jamii kisha ndyo huku juu, lile somo la uzalendo lilikuwa la muhim mno kuanzia shule ya msingi, ila tatzo kila mtu mjuaji.Kusema kweli Katiba Mpya ni muhimu sana kwasasa.
Hata kama ni nguo, huwezi kukaa na nguo uliyoinunua Mwaka 1977 hadi leo hii. Lazima itakuwa imepitwa na wakati lakini pia itakuwa na Vilaka vingi mno
30 millions yote hio, hio mtu kauziwa million 10 tu hapo hamna maajabu chuma imeandikiwa scrap valuendio maana nchi za uarabuni huwa ikifikia hivi Raia wanaingia Ikulu kila mtu anatoka na chake
kwa haraka nilikuwa nawaona wapuuzi ila ukitafakari wana akili sana, Li V8 kama hilo mtu kajichukulia ukute hata kwa 30 mils
CCM wameifanya Nchi hii kuwa shamba la Bibi.Hasa serikali ya huyu bibi, nchi imekuwa shamba la Bibi kikwelii.