Inavunja moyo kulipa kodi mchwa wakaleSiku hizi madukani, vituo vya mafuta, risiti hazitolewi tena. Ukidai risiti, jicho utakolotupiwa unaweza zimia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inavunja moyo kulipa kodi mchwa wakaleSiku hizi madukani, vituo vya mafuta, risiti hazitolewi tena. Ukidai risiti, jicho utakolotupiwa unaweza zimia.
Bora umemuuliza.kwasababu anafikiri nchi itajirekebisha yenyewe.Au inawezekana hata hajui katiba ni nini.Kwenye hili mambo kwamba Katiba mpya haiwezi kuondoa huu wizi umeitoa wapi?? Kwa nini umeingizia mambo ya Katiba mpya??
Kwan congo walifikaje uko?.Au unadhani waliowafikisha uko hizo nchi ni vyama vya upinzani. ni serikali zao zilishindwa kusimamia rasilimali za nchi kama kinachoendelea sasa nchini.Ata hapa iko siku yatatufika ya hao unaowabeza.Wapi??uongoo nyie mtatuletea vita kama kama congo ,msumbiji ndio maana tunawachora tunawapa CCM nchi
gari likiuzwa huwa linachukua muda kubadilishwa plate number.kuna formalities za kufuata na siyo rahisi kama mnavyodhani.Mbona bado lina plate No.STL......?
Mfumo imara unawekwa kupitia nini?Unazani kungekuwa na mfumo imara hilo gari lingekuwa hapo? Mnatetea ujinga mtupu, huyo mama ni veru weak
Kwa akili zako hadi unakufa hakuna utakachoshiriki kukikomboa.C
Chadema wenyewe majizi tu, hii nchi itakombolewa na sisi wananchi wenyewe na siyo wanasiasa hawa wanaopigia kelele Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi kwa manufaa yao
Kula Bata Nchi bado inakopesheka !!Tunaagiza mengine.
View attachment 2587625
Katiba mpya ni muhimu !
kwani hao mnaowaita wezi mtawaondoa kwa kuchagua watu kuyoka mbinguni au hawahawa binadamu ambao mkiwachagua nao watafanya hayahayaMama ni dhaifu, ila tunafanyaje? kweli tuendelee kumtegemea yeye? kwa haki hii?
Obvious na hao mafundi ni wadau katika huo mchezo !!Tatizo la kuokota vitu bila kuuliza.
Kwanini aliyerekodi asiende kwa hao mafundi wampe sababu?
Kwamba Mungu anaona na atalipa au siyo ??Huo ndio utamaduni wetu na kumuachia Mungu
Katiba ni muhimu sana kwasababu itajenga taasisi zitakazojisimamia na wananchi watapata njia yakufwatilia kwasababu mamlaka itakua kwa wananchi.ukikaa ukasubiri uzalendo wawatu utasubiri sana.Mkuu katiba haiwezi kuwa suluhisho la wizi ila suluhisho ni uzalendo kwanza watu wawe na hofu na Mungu. Na huo muundo uanze kwenye ngazi ya familia, shule, na jamii kisha ndyo huku juu, lile somo la uzalendo lilikuwa la muhim mno kuanzia shule ya msingi, ila tatzo kila mtu mjuaji.
Duh ! Yaani pakusemea hakuna na pakulalamikia hakuna pia NOBODY CARES !!!Hata ukitaka kukubali Kwamba Waliopewa dhamana wanatimiza wajibu wao lakini hali halisi inatuumbua.
Tumuombe Mungu ainusuru nchi hii pakusemea hakuna.
Kama ni kweli acha tumtafute Azory tumuulize.Uhuru wa habari Upo kisheria na sio ruhusa ya uyo mama yenu
Kama utashi ukiwepo wa kuchukua hatua itakuwa ni jambo jema !! Mpaka sasa naona ubao wa magoli unasoma 3 - 1 wapigaji wanaongoza !Sio kila kitu kitaweza kuonekana jambo la muhimu Mama ameruhusu uhuru wa habari ili aweze kujua yanayoendelea mtaani pia maana mengine anaweza asiambiwe lakini kwa maoni mbali mbali toka mtaani anapata habari na kuchukua hatua.
Atajuaje wakati hakuwa na nia na wala haijui nchi vizuri ukiwa makamu kuna mambo huwezi jua na kuna picha huwezi ziona kwa mapana yake. Mm nishashuhudia hio gari hapo toka ina namba zake mpka now imetolewa na siku moja nimepita night sikukuta hiyo gari asubuhi ipo na pamefagiliwa tairi zisionekane siku si nyingi itafutwa namba za vioo watu watajipigia mnada bubuShe doesn't even have a clue what she is supposed to do.