Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Tumewachoka kwa kweliYes wakiwa majukwaani unaweza zania wana nia njema ba raia
Wizi wao halafu wanamtuma mtu autangaze
Maana yake " kuiba tutaiba na hamtufanyi kitu na kodi mtalipa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumewachoka kwa kweliYes wakiwa majukwaani unaweza zania wana nia njema ba raia
Sijui kazi nzuri anayosifiwa nayo mama ni ipi mlioko huko mtujuzi tafadhaliWizi wa mali za umma umekithiri sana.
Tunakamuliwa matozo tu helafu wakubwa wanayabugiaHatari sana, mali zisizo kuwa na mwenyewe hizi, raia ni kweli tusipo amka, huu ujinga hautakaa uishe na ndio kwanza unaongezekana
Inatia simanzi sanaHao wa aina hiyo hawajuagi kitu ndugu yangu. Unaweza kuta hata kula ni shida kwao wanaishi kwa kuomba omba kwa madiwani na wabunge.
Nimeoenda observation yakoGari imetegwa Apo wanafanya mchakato wa kadi kutok umilk wa serikali hadi mtu binafs
Asee inaumiza yaan sisi wa Tz tunawez kusimamia nn
Kwa Teknojia yote lakn mtu anafany wiz/mwenendo mchafu kama huu
Naona amezidiwa na wezi.Sijui kazi nzuri anayosifiwa nayo mama ni ipi mlioko huko mtujuzi tafadhali
Kibanda maitiKwahiyo kaitoa Kiembesamaki?
Na hii haitasha hawa viongozi wan syndicate ya kupiga pesa tu
Job Ndugai aliwaambia Nchi itauzwa hii eti mkampuuza Mgogo wa Watu! Sasa muda ni Mwalimu mzuri sana!!spika yupo kwa ajili ya kumlinda rais bungeni
kila makosa yanayofanyika wanajificha kwenye kichaka cha JPM
haina ubishi serikali imefeli ni vile tu hakuna wa kuongea hadharani maana mpaka wale wapinzani feki wameonjeshwa asali
Mnunuzi anaosha na no ya STL kitaa ili washikaji zake wamuone ni usalama!!Mbona bado lina plate No.STL......?
Kuna hujuma kubwa sana nyuma yaaaaa ila Mungu huyu hawezi acha hili lipite bila watu wachache kuadhibiwa kwa uovu huu. Tiss yetu angalile haya ipo siku mtasema kudaiwa kaz mlifanya nyie hamna ushirika na serikali ama kiongozi nyie ndio jamuhuri msichoke hata kama mnachoshwaHuku raia sisi tukiendela kuimba ngonjera za kusikitika kwenye mitandao ya kijamiii, hawa watawala wao wanazidi kufanya yale wanauo penda, hakuna kitakacho badilika, hata katiba mpya haitabadili huu uhuni wa watawala, hawa viongozi kuanzia top hadi chini wanajuana hawa ni wana syndicate ya kupiga pesa za umma, na wanaratiba za kwenda majukwaani kutoa machozi ya mamba.
View attachment 2587531
Gari ama limepelekwa gereji ya vichochoroni mtu ana usajili wa garage kumbe feki. Hapo serikali itadaiwa mamilioni na hakuna kitu kimetengenezwa ila ujanjaujanja. Ama gari lipo njiani kuibiwa ndio maana wamepose hapo miezi mitatu kusoma kama wanaweza lipoteza gari hilo. Ndio maana unaona wametoa namba plates watu wasishituke ila raia mwema mzalendo machale yakacheza.Huku raia sisi tukiendela kuimba ngonjera za kusikitika kwenye mitandao ya kijamiii, hawa watawala wao wanazidi kufanya yale wanauo penda, hakuna kitakacho badilika, hata katiba mpya haitabadili huu uhuni wa watawala, hawa viongozi kuanzia top hadi chini wanajuana hawa ni wana syndicate ya kupiga pesa za umma, na wanaratiba za kwenda majukwaani kutoa machozi ya mamba.
Hawa watawala wanashindana kutoa machozi ya mamba kuhadaa wajinga na ionekana jamaa wanajali sana wanancni na wako na wanancji lakini uhalisia ni kwamba wana syndicate ya kuimaliza nchi.
Raisi anatoa crocodile tears tu na kuhadaa umma, hakuna kitu, kwamba raisi anauchungu na hii nchi ni uongo mkubwa sana, raia tusipo simama wenyewe kulinda hii nchi kwa niaba ya vizazi vijavyo tutakuwa hatutendi haki.
Angalia gari kama hilo ni kodi zetu, ni kodi za wazazi wetu kule kijijini wanao isha life gumu lakini still wanakamuliwa na Serikali kodi ili wakanunue magari kama haya na baadae wanayatelekeza mtaani.
Hata katiba mpya haitabadilisha huu ujinga zaidi ya kuja kuwa show kwamba tumechoka.
View attachment 2587531
[emoji1666][emoji2935][emoji2936]Nimeoenda observation yako
30mln Yote hiyo? Nimeshudia kifaa cha thamani ya sh 5mln kikauzwa kwa sh 40,000ndio maana nchi za uarabuni huwa ikifikia hivi Raia wanaingia Ikulu kila mtu anatoka na chake
kwa haraka nilikuwa nawaona wapuuzi ila ukitafakari wana akili sana, Li V8 kama hilo mtu kajichukulia ukute hata kwa 30 mils
Kazi za rais unazifahamu?Kwanini mnataka kila kitu afanye Mama? Hilo gari limekwishaonekana mbona hara Mtendaji tu wa Mtaa wa Kitumbini anaweza chukua hatua?
Nadhani tatizo ni sisi walalamikaji wenyewe. Why kila kitu tumtupie Rais?
Mbowe hana njaa ni tajiri mkubwa sana kama ulikuwa haujui..hayupo kwenye siasa kwa ajili ya kutaka hela
Tatizo la kuokota vitu bila kuuliza.
Kwanini aliyerekodi asiende kwa hao mafundi wampe sababu?
Wewe huna hoja kila leo Magufuli huyo bibi yenu Samia serkali yake daifu na Makengeza wana lamba asali huwezi kuwasema!Kuna jitu lilijiona ni jiwe litaishi milele likaamua kuweka wabunge dhaifu ili liwakotrol vizuri na kujiamulia mambo take,haya Sasa limekufa limetuachia bunge la vilaza.wanaomlaumu mama wanakosea Sana sijui natafuta justification ya uhuni wao!
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Chadema wenyewe majizi tu, hii nchi itakombolewa na sisi wananchi wenyewe na siyo wanasiasa hawa wanaopigia kelele Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi kwa manufaa yaoChadema tukishika hatamu tutawafilisi wote hao hata wakikimbilia nje ya Nchi tutatumia Interpol kuwakamata na kuwarudisha ili wakanyee debe.