Hii video kuhusu V8 ya Serikali inasikitisha sana

Hii video kuhusu V8 ya Serikali inasikitisha sana

Vundikeni mayai muwapige wakianza kujiliza liza majukwani majizi hayo

Hawa wanajifungia bungeni wakikutana kwenye chakula wanacheka sana na kusema wizi uendelee
 
Tunaagiza mengine.
WhatsApp Image 2023-04-14 at 8.33.16 AM.jpeg
 
Vundikeni mayai muwapige wakianza kujiliza liza majukwani majizi hayo

Hawa wanajifungia bungeni wakikutana kwenye chakula wanacheka sana na kusema wizi uendelee
Ukifanya hivo Halafu ukawajibishwa mbele ya sheria utajiteteaje mkuu? Hebu tupe hints.
 
Huku raia sisi tukiendela kuimba ngonjera za kusikitika kwenye mitandao ya kijamiii, hawa watawala wao wanazidi kufanya yale wanauo penda, hakuna kitakacho badilika, hata katiba mpya haitabadili huu uhuni wa watawala, hawa viongozi kuanzia top hadi chini wanajuana hawa ni wana syndicate ya kupiga pesa za umma, na wanaratiba za kwenda majukwaani kutoa machozi ya mamba.

Hawa watawala wanashindana kutoa machozi ya mamba kuhadaa wajinga na ionekana jamaa wanajali sana wanancni na wako na wanancji lakini uhalisia ni kwamba wana syndicate ya kuimaliza nchi.

Raisi anatoa crocodile tears tu na kuhadaa umma, hakuna kitu, kwamba raisi anauchungu na hii nchi ni uongo mkubwa sana, raia tusipo simama wenyewe kulinda hii nchi kwa niaba ya vizazi vijavyo tutakuwa hatutendi haki.

Angalia gari kama hilo ni kodi zetu, ni kodi za wazazi wetu kule kijijini wanao isha life gumu lakini still wanakamuliwa na Serikali kodi ili wakanunue magari kama haya na baadae wanayatelekeza mtaani.

Hata katiba mpya haitabadilisha huu ujinga zaidi ya kuja kuwa show kwamba tumechoka.

View attachment 2587531
Bila kuiondoa CCM madarakani hawa wezi wataendelea kufanya watakavyo sababu ndio watawala
 
Yapo mengi sana acha wagawane, Kila mtu ale urefu wa kamba yake!

Yanasubiriwa mapya yakija Hilo linarudi ofisini jipya linaenda show room,
na hapo usiku taharifa ni kuwa limepata ajali!
 
Nimekutana na haka ka-clip kakionyesha magari mawili ya serikali yakiwa yamefichwa/telekezwa maeneo ya Dar mtaa wa kitumbini jirani na Peacock hotel! Moja ina usajili wa STL kwenye kioo! Kwa mujibu wa mtu anayerekodi clip hio anadai kwamba gari hizo Moja imekaa zaidi ya miezi mitatu hapo!

Seems hii taarifa sio njema kwa namna yoyote! Kama una bando angalia hapa
 
Nimekutana na haka ka-clip kakionyesha magari mawili ya serikali yakiwa yamefichwa/telekezwa maeneo ya Dar mtaa wa kitumbini jirani na Peacock hotel! Moja ina usajili wa STL kwenye kioo! Kwa mujibu wa mtu anayerekodi clip hio anadai kwamba gari hizo Moja imekaa zaidi ya miezi mitatu hapo!

Seems hii taarifa sio njema kwa namna yoyote! Kama una bando angalia hapa
View attachment 2587666
Ukiona hivyo tayari wameshajiuzia hayo
 
Nimekutana na haka ka-clip kakionyesha magari mawili ya serikali yakiwa yamefichwa/telekezwa maeneo ya Dar mtaa wa kitumbini jirani na Peacock hotel! Moja ina usajili wa STL kwenye kioo! Kwa mujibu wa mtu anayerekodi clip hio anadai kwamba gari hizo Moja imekaa zaidi ya miezi mitatu hapo!

Seems hii taarifa sio njema kwa namna yoyote! Kama una bando angalia hapa
View attachment 2587666
Mali ya umma haina mwenyewe musee.., yaani kila mtu anachukua kimfuaacho.., hapo kuna mawili, mosi kuuuzwa na kutobadilishwa chochote kusikilizia msala, pili mtumishi kuchukua na kulihifadhi kwanza kusikilizia msala, an then after wanakuja kubadili vitu baadhi na kuingizwa Road.
 
Mali ya umma haina mwenyewe musee.., yaani kila mtu anachukua kimfuaacho.., hapo kuna mawili, mosi kuuuzwa na kutobadilishwa chochote kusikilizia msala, pili mtumishi kuchukua na kulihifadhi kwanza kusikilizia msala, an then after wanakuja kubadili vitu baadhi na kuingizwa Road.
Saaafi sana
 
Jiulize magari yote ya Serikali kwa mamia yanayoagizwa nje baada ya kutumika miaka kadhaa, kupata ajali au kuharibika....
Huwa yanaenda wapi? Ukifuatilia utagindua kuwa huwa wanauziana wenyewe kwa bei poa.
Ukiwadadisi madereva wa magari ya Serikali utapata picha nzima ya huo ubadhirifu... Chunguza utabaini, Anza na TEMESA.
 
Back
Top Bottom