Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Utadhani watasema ukweli?Tatizo la kuokota vitu bila kuuliza.
Kwanini aliyerekodi asiende kwa hao mafundi wampe sababu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utadhani watasema ukweli?Tatizo la kuokota vitu bila kuuliza.
Kwanini aliyerekodi asiende kwa hao mafundi wampe sababu?
Gari ya Serikali haiwezi potea au tekelezwa kirahisi hivyo, wahusika watazitoa hapo na dereva lazima alinyweUtadhani watasema ukweli?
Hahahaahahaaah dadeeeeki atadondoshewa zigo MTUGari ya Serikali haiwezi potea au tekelezwa kirahisi hivyo, wahusika watazitoa hapo na dereva lazima alinywe
Dahh..Nimekutana na haka ka-clip kakionyesha magari mawili ya serikali yakiwa yamefichwa/telekezwa maeneo ya Dar mtaa wa kitumbini jirani na Peacock hotel! Moja ina usajili wa STL kwenye kioo! Kwa mujibu wa mtu anayerekodi clip hio anadai kwamba gari hizo Moja imekaa zaidi ya miezi mitatu hapo!
Seems hii taarifa sio njema kwa namna yoyote! Kama una bando angalia hapa
View attachment 2587666
Ndo ishatelekezwa sasa mkuu...Gari ya Serikali haiwezi potea au tekelezwa kirahisi hivyo, wahusika watazitoa hapo na dereva lazima alinywe
Lazima Mkurugenzi wa shirika husika anajua, maana hakuna gari inatoka bila taarifaNdo ishatelekezwa sasa mkuu...
Chadema hii ya akina Mbowe walamba asali. Thubutu!!
Au inauzwa kama chuma chakavu.Gari imetegwa Apo wanafanya mchakato wa kadi kutok umilk wa serikali hadi mtu binafs
Asee inaumiza yaan sisi wa Tz tunawez kusimamia nn
Kwa Teknojia yote lakn mtu anafany wiz/mwenendo mchafu kama huu
Aachie kwani amejiweka mwenyewe pale?Aachie madaraka pale Chadema, uitishwe uchaguzi wa mwenyekiti.
V 8 linauzwa bei ya bajaji dadeqWatajiuzi, wameagiza mengine 81 mapya
Kumbe ww bado ni mgeni wa CCM! 🤣🤣🤣Lazima Mkurugenzi wa shirika husika anajua, maana hakuna gari inatoka bila taarifa
Ndo kinachoendelea sasa.Ukipata chance piga haswa
Una hoja ya msingi Mkuu...Kuna jitu lilijiona ni jiwe litaishi milele likaamua kuweka wabunge dhaifu ili liwakotrol vizuri na kujiamulia mambo take,haya Sasa limekufa limetuachia bunge la vilaza.wanaomlaumu mama wanakosea Sana sijui natafuta justification ya uhuni wao!
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Huo ndio utamaduni wetu na kumuachia MunguSisi wa tz tunajua kuongea tu mitandaoni ndo maana watu wanazidi kufanya wanavyotaka
Angalia kule kwa wenzetu sjui bangalesh watu walijimilikisha ikulu
Yes wakiwa majukwaani unaweza zania wana nia njema ba raiaVundikeni mayai muwapige wakianza kujiliza liza majukwani majizi hayo
Hawa wanajifungia bungeni wakikutana kwenye chakula wanacheka sana na kusema wizi uendelee