Hii video kuhusu V8 ya Serikali inasikitisha sana

Hii video kuhusu V8 ya Serikali inasikitisha sana

Kwanini mnataka kila kitu afanye Mama? Hilo gari limekwishaonekana mbona hara Mtendaji tu wa Mtaa wa Kitumbini anaweza chukua hatua?

Nadhani tatizo ni sisi walalamikaji wenyewe. Why kila kitu tumtupie Rais?
Unazani kungekuwa na mfumo imara hilo gari lingekuwa hapo? Mnatetea ujinga mtupu, huyo mama ni veru weak
 
mm concern yangu si gari kutengenezwa mitaani bali kutelekezwa.TEMESA hawana mafundi ni kama madalali tu.ukipeleka gari wanachaji mara mbili ya bei za mtaani halafu matengenezo yenyewe hayaridhishi.wanachukua mafundi mtaani ndo wanawatengenezea magari sasa si bora upeleke mtaani ambako gari litatengenezwa vzr na kwa bei nzuri?kwani mm nashangaa kwa nini TEMESA ipo mpaka sasa kama serikali inaihitaji basi iiboreshe.iajiri mafundi waliomaliza vyuo vya ufundi na ambao wamepractice kwa muda mrefu mtaani lkn kwa hali iliyopo sasa TEMESA ni madalali wa ufundi tu.
Kwani unadhani ikitengenezwa mtaani na bei ya gharama zake zitaandikwa zile zilizolipwa hapo garage ya mtaani. ??! Hakuna kitu kama hiyo ! Watu wanataka fweza mkuu !!
 
mm sioni kama kero haya magari yameuzwa lkn huwa yanabaki na namba za serikali na kukaa hapo muda mrefu si tatizo inabidi mtoa habari kwanza awe well informed kwa nn magari hayo yapo hapo halafu kwa utaratibu magari ya serikali yanapotengenezwa si lazima umma ujulishwe huo sio utaratibu wa kiutendaji.jambo usilolijua wewe pita njia achana nalo kama linakuuma basi fuatilia upewe ukweli vinginevyo hiyo stori haina masjiko kabaisa.
STL imeuzwa? Comment za aina hii ndio zinafanya watawala wachekelee, STK bado ziko Barabarani unasema STL imeuzwa?
 
STL imeuzwa? Comment za aina hii ndio zinafanya watawala wachekelee, STK bado ziko Barabarani unasema STL imeuzwa?
Kuuzwa ?! Au inataka kuibwa ??! Hapo zilipo nadhani ni karibu na mtaa wa libya wapo mafundi wa garage bubu, kimtaa kidogo kinachoelekea soko la kisutu !!
 
Hatari sana, mali zisizo kuwa na mwenyewe hizi, raia ni kweli tusipo amka, huu ujinga hautakaa uishe na ndio kwanza unaongezekana
Mali hizo ni za wananchi ambao kila siku iendayo wanalipa kodi kupitia bidhaa na huduma mbalimbali wanazolipia !! Usiseme mali hazina mwenyewe ! Wenyewe ndio sisi sote ukiwemo na wewe !
 
Kwanini mnataka kila kitu afanye Mama? Hilo gari limekwishaonekana mbona hara Mtendaji tu wa Mtaa wa Kitumbini anaweza chukua hatua?

Nadhani tatizo ni sisi walalamikaji wenyewe. Why kila kitu tumtupie Rais?
Mkubwa ni jalala.
 
Sisi wa tz tunajua kuongea tu mitandaoni ndo maana watu wanazidi kufanya wanavyotaka

Angalia kule kwa wenzetu sjui bangalesh watu walijimilikisha ikulu
 
Back
Top Bottom