Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Naelewa Sana Sasa hiviWatu hawana Uchungu na Kodi zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naelewa Sana Sasa hiviWatu hawana Uchungu na Kodi zetu
Hapaswi kuwa na meno...Cag Hana meno
Sema "Shauri yetu " kwani tuliingizwa cha kike tulipo weka alama ya ndio upande wa chama chetu maarufu siku ya kupiga kura.Daah mbona hawa viongoz wanaiba sanaaa
Kule bunda wameiba vifaa vya hospital
Ile hii tabia ya kulinda na kuteteana ndiyo itaangamiza taifa
Kuoneana aibu tabia mbaya sana na ya ovyoo
Shaur yenu
Ni sahihi Chief ingawa kinachotuumiza ni kutoiwajibisha Serikali, for Years imekuwa inarudia makosa hayo hayo.Watu hawana uchungu na thamani ya Kura yao siku ya kupiga kura. Huona ni kama ka mchezo-mchezo fulani hv tu halafu sasa tunalialia hapa.
ndio maana nchi za uarabuni huwa ikifikia hivi Raia wanaingia Ikulu kila mtu anatoka na chakeDaah mbona hawa viongoz wanaiba sanaaa
Kule bunda wameiba vifaa vya hospital
Ile hii tabia ya kulinda na kuteteana ndiyo itaangamiza taifa
Kuoneana aibu tabia mbaya sana na ya ovyoo
Shaur yenu
Ingawa hayo mambo ya Kuacha Magari ya Serikali kwenye mtetemo (Silence 🔕) bado haijaachwa na Viongozi, unakuta Kiongozi ana kikao cha saa 1 huko nje unakuta Gari inaunguluma kwa muda huo huku ikimsubiri.Naelewa Sana Sasa hivi
Kwangu mimi siyo kero tu, ni maumivu ya kodi yangu.Huku raia sisi tukiendela kuimba ngonjera za kusikitika kwenye mitandao ya kijamiii, hawa watawala wao wanazidi kufanya yale wanauo penda, hakuna kitakacho badilika, hata katiba mpya haitabadili huu uhuni wa watawala, hawa viongozi kuanzia top hadi chini wanajuana hawa ni wana syndicate ya kupiga pesa za umma, na wanaratiba za kwenda majukwaani kutoa machozi ya mamba.
Hawa watawala wanashindana kutoa machozi ya mamba kuhadaa wajinga na ionekana jamaa wanajali sana wanancni na wako na wanancji lakini uhalisia ni kwamba wana syndicate ya kuimaliza nchi.
Raisi anatoa crocodile tears tu na kuhadaa umma, hakuna kitu, kwamba raisi anauchungu na hii nchi ni uongo mkubwa sana, raia tusipo simama wenyewe kulinda hii nchi kwa niaba ya vizazi vijavyo tutakuwa hatutendi haki.
Angalia gari kama hilo ni kodi zetu, ni kodi za wazazi wetu kule kijijini wanao isha life gumu lakini still wanakamuliwa na Serikali kodi ili wakanunue magari kama haya na baadae wanayatelekeza mtaani.
Hata katiba mpya haitabadilisha huu ujinga zaidi ya kuja kuwa show kwamba tumechoka.
View attachment 2587531
Serikali tulioiweka madarakani, chini ya Dhamana ya kumwamini Mh. Rais; na ambaye ndiye huunda Serikali (cf. Walivyokuwa wanaNadi sera zao)kama haitekelezi wajibu wake, ina maana Mh.Rais aliahidi uongo. Hapo Serikali inaweza kuwajibishwa kadri ya Utaratibu kwamba sisi wananchi tunatengua Ukubali wetu kwa kupiga kura ya kutokuwa na Imani naye tena. Tunapiga kura hiyo kupitia bunge(Wawakilishi wetu)?Ni sahihi Chief ingawa kinachotuumiza ni kutoiwajibisha Serikali, for Years imekuwa inarudia makosa hayo hayo.
Poor Tanzanian 🙆♂️
Hilo haliwezekani, Rais wa Tanzania kwa Mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Sasa ni Alfa na Omega.Serikali tulioiweka madarakani, chini ya Dhamana ya kumwamini Mh. Rais; na ambaye ndiye huunda Serikali (cf. Walivyokuwa wanaNadi sera zao)kama haitekelezi wajibu wake, ina maana Mh.Rais aliahidi uongo. Hapo Serikali inaweza kuwajibishwa kadri ya Utaratibu kwamba sisi wananchi tunatengua Ukubali wetu kwa kupiga kura ya kutokuwa na Imani naye tena. Tunapiga kura hiyo kupitia bunge(Wawakilishi wetu)?
Ingefaa na ninashauri(na uwezo huo upo) magari Serikali yafungwe vifaa microchips kufuatilia mwenendo wa magari ya Serikali kama wanavyofuatilia mwenendo wa tembo huko porini.Gari imetegwa Apo wanafanya mchakato wa kadi kutok umilk wa serikali hadi mtu binafs
Asee inaumiza yaan sisi wa Tz tunawez kusimamia nn
Kwa Teknojia yote lakn mtu anafany wiz/mwenendo mchafu kama huu
Wapi??uongoo nyie mtatuletea vita kama kama congo ,msumbiji ndio maana tunawachora tunawapa CCM nchiChadema tukishika hatamu tutawafilisi wote hao hata wakikimbilia nje ya Nchi tutatumia Interpol kuwakamata na kuwarudisha ili wakanyee debe.
Aisee! Sasa ndo naelewa ni kwa nini jamaa hapo juu alianza na mabadiliko ya kuleta Katiba Mpya.Hilo haliwezekani, Rais wa Tanzania kwa Mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Sasa ni Alfa na Omega.
Ndiyo maana kuna mmoja wa Waheshimiwa miaka ile aliwahi kumfananisha na Mungu Almighty.
Tuna hali mbaya sana kwa kweli
Hata UNIP walikuwa wakidanganya hivyo hivyo kuwa Chiluba akichukua Zambia itakuwa Somalia.Wapi??uongoo nyie mtatuletea vita kama kama congo ,msumbiji ndio maana tunawachora tunawapa CCM nchi