Hii video kuhusu V8 ya Serikali inasikitisha sana

Hii video kuhusu V8 ya Serikali inasikitisha sana

Kusema kweli Katiba Mpya ni muhimu sana kwasasa.

Hata kama ni nguo, huwezi kukaa na nguo uliyoinunua Mwaka 1977 hadi leo hii. Lazima itakuwa imepitwa na wakati lakini pia itakuwa na Vilaka vingi mno
Kweli kabisa. Sijui kuna jinamizi gani hapo watu wanaogopa mabadiliko na tunafanya rejea kwa nchi zilizo kwenye mtafaruku e.g. Congo, Somali n.k. tunasahau kwamba wao ni wao na sisi ni sisi.
 
Wapi??uongoo nyie mtatuletea vita kama kama congo ,msumbiji ndio maana tunawachora tunawapa CCM nchi
Wakati Mwalimu Nyerere anataka ku introduce Mfumo wa Vyama Vingi vya Siasa (Multiparty system) mwaka 1990 kuelekea 1992, Watanzania wengi walipoulizwa kuhusu jambo hilo walikuwa na majibu kama yako; eti Vyama Vingi vitaleta Vita.

Lakini baadaye kwa manufaa ya Nchi Vyama vingi viliasisiwa Mwaka 1992 regardless wengi waliokataa 82% kwa 18%
 
Kweli kabisa. Sijui kuna jinamizi gani hapo watu wanaogopa mabadiliko na tunafanya rejea kwa nchi zilizo kwenye mtafaruku e.g. Congo, Somali n.k. tunasahau kwamba wao ni wao na sisi ni sisi.
Uwezo wa kufikiri kwa Watanzania wengi, umepungua/umepunguzwa.

Wale watakaobahatika kufika Mwaka 2050 watakuja kuwa mashahidi
 
Mimi naelewa Sana mkuu

Ilikua kawaida Gari Kuja kutuchukua kwenda kununua mahitaji pale mjini Kati kawaida tu 😂😂

Mambo ni mengi mzee alikua mtata Sana Kuna kipindi amestaafu wakawa wanakata kata umeme pale mtaa wake direct akampigia waziri ( simtaji Jina) anamwambia wewe kwanini mnakata umeme hapa kwangu anamfokea 😂, calmly waziri akamwomba msamaha na Muda mchache tanesco wakaja eeeh Nkasema hii hatari 😂😂 hii nchi watu wana power na wana zi abuse hatari mno
Note : he was not my biological father, though related by blood
Hahaha..........


Kuna watu wanaila hii Nchi hatari, Imagine hadi anastaafu anaendelea kuhudumiwa hadi Kifo Chake
 
Huku raia sisi tukiendela kuimba ngonjera za kusikitika kwenye mitandao ya kijamiii, hawa watawala wao wanazidi kufanya yale wanauo penda, hakuna kitakacho badilika, hata katiba mpya haitabadili huu uhuni wa watawala, hawa viongozi kuanzia top hadi chini wanajuana hawa ni wana syndicate ya kupiga pesa za umma, na wanaratiba za kwenda majukwaani kutoa machozi ya mamba.

Hawa watawala wanashindana kutoa machozi ya mamba kuhadaa wajinga na ionekana jamaa wanajali sana wanancni na wako na wanancji lakini uhalisia ni kwamba wana syndicate ya kuimaliza nchi.

Raisi anatoa crocodile tears tu na kuhadaa umma, hakuna kitu, kwamba raisi anauchungu na hii nchi ni uongo mkubwa sana, raia tusipo simama wenyewe kulinda hii nchi kwa niaba ya vizazi vijavyo tutakuwa hatutendi haki.

Angalia gari kama hilo ni kodi zetu, ni kodi za wazazi wetu kule kijijini wanao isha life gumu lakini still wanakamuliwa na Serikali kodi ili wakanunue magari kama haya na baadae wanayatelekeza mtaani.

Hata katiba mpya haitabadilisha huu ujinga zaidi ya kuja kuwa show kwamba tumechoka.

View attachment 2587531
mm concern yangu si gari kutengenezwa mitaani bali kutelekezwa.TEMESA hawana mafundi ni kama madalali tu.ukipeleka gari wanachaji mara mbili ya bei za mtaani halafu matengenezo yenyewe hayaridhishi.wanachukua mafundi mtaani ndo wanawatengenezea magari sasa si bora upeleke mtaani ambako gari litatengenezwa vzr na kwa bei nzuri?kwani mm nashangaa kwa nini TEMESA ipo mpaka sasa kama serikali inaihitaji basi iiboreshe.iajiri mafundi waliomaliza vyuo vya ufundi na ambao wamepractice kwa muda mrefu mtaani lkn kwa hali iliyopo sasa TEMESA ni madalali wa ufundi tu.
 
Huku raia sisi tukiendela kuimba ngonjera za kusikitika kwenye mitandao ya kijamiii, hawa watawala wao wanazidi kufanya yale wanauo penda, hakuna kitakacho badilika, hata katiba mpya haitabadili huu uhuni wa watawala, hawa viongozi kuanzia top hadi chini wanajuana hawa ni wana syndicate ya kupiga pesa za umma, na wanaratiba za kwenda majukwaani kutoa machozi ya mamba.

Hawa watawala wanashindana kutoa machozi ya mamba kuhadaa wajinga na ionekana jamaa wanajali sana wanancni na wako na wanancji lakini uhalisia ni kwamba wana syndicate ya kuimaliza nchi.

Raisi anatoa crocodile tears tu na kuhadaa umma, hakuna kitu, kwamba raisi anauchungu na hii nchi ni uongo mkubwa sana, raia tusipo simama wenyewe kulinda hii nchi kwa niaba ya vizazi vijavyo tutakuwa hatutendi haki.

Angalia gari kama hilo ni kodi zetu, ni kodi za wazazi wetu kule kijijini wanao isha life gumu lakini still wanakamuliwa na Serikali kodi ili wakanunue magari kama haya na baadae wanayatelekeza mtaani.

Hata katiba mpya haitabadilisha huu ujinga zaidi ya kuja kuwa show kwamba tumechoka.

View attachment 2587531
Itakuwa kuna mchakato unaendelea wa kusajoli kwa umiliki binafsi.
Documents zikikamilika tu, wanakuja na plate number chap
 
Huku raia sisi tukiendela kuimba ngonjera za kusikitika kwenye mitandao ya kijamiii, hawa watawala wao wanazidi kufanya yale wanauo penda, hakuna kitakacho badilika, hata katiba mpya haitabadili huu uhuni wa watawala, hawa viongozi kuanzia top hadi chini wanajuana hawa ni wana syndicate ya kupiga pesa za umma, na wanaratiba za kwenda majukwaani kutoa machozi ya mamba.

Hawa watawala wanashindana kutoa machozi ya mamba kuhadaa wajinga na ionekana jamaa wanajali sana wanancni na wako na wanancji lakini uhalisia ni kwamba wana syndicate ya kuimaliza nchi.

Raisi anatoa crocodile tears tu na kuhadaa umma, hakuna kitu, kwamba raisi anauchungu na hii nchi ni uongo mkubwa sana, raia tusipo simama wenyewe kulinda hii nchi kwa niaba ya vizazi vijavyo tutakuwa hatutendi haki.

Angalia gari kama hilo ni kodi zetu, ni kodi za wazazi wetu kule kijijini wanao isha life gumu lakini still wanakamuliwa na Serikali kodi ili wakanunue magari kama haya na baadae wanayatelekeza mtaani.

Hata katiba mpya haitabadilisha huu ujinga zaidi ya kuja kuwa show kwamba tumechoka.

View attachment 2587531
mm sioni kama kero haya magari yameuzwa lkn huwa yanabaki na namba za serikali na kukaa hapo muda mrefu si tatizo inabidi mtoa habari kwanza awe well informed kwa nn magari hayo yapo hapo halafu kwa utaratibu magari ya serikali yanapotengenezwa si lazima umma ujulishwe huo sio utaratibu wa kiutendaji.jambo usilolijua wewe pita njia achana nalo kama linakuuma basi fuatilia upewe ukweli vinginevyo hiyo stori haina masjiko kabaisa.
 
Back
Top Bottom