Halafu tunalia wote?Wapi??uongoo nyie mtatuletea vita kama kama congo ,msumbiji ndio maana tunawachora tunawapa CCM nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu tunalia wote?Wapi??uongoo nyie mtatuletea vita kama kama congo ,msumbiji ndio maana tunawachora tunawapa CCM nchi
Kusema kweli Katiba Mpya ni muhimu sana kwasasa.Aisee! Sasa ndo naelewa ni kwa nini jamaa hapo juu alianza na mabadiliko ya kuleta Katiba Mpya.
Ndugu hawa waliwekwa na Magufuli,2020 hatukuwa na uchaguzi. Matokeo yake ndo haya.Ni nani aliyewaweka madarakani hao ndugu unaowalalamikia???
Kweli kabisa. Sijui kuna jinamizi gani hapo watu wanaogopa mabadiliko na tunafanya rejea kwa nchi zilizo kwenye mtafaruku e.g. Congo, Somali n.k. tunasahau kwamba wao ni wao na sisi ni sisi.Kusema kweli Katiba Mpya ni muhimu sana kwasasa.
Hata kama ni nguo, huwezi kukaa na nguo uliyoinunua Mwaka 1977 hadi leo hii. Lazima itakuwa imepitwa na wakati lakini pia itakuwa na Vilaka vingi mno
Wakati Mwalimu Nyerere anataka ku introduce Mfumo wa Vyama Vingi vya Siasa (Multiparty system) mwaka 1990 kuelekea 1992, Watanzania wengi walipoulizwa kuhusu jambo hilo walikuwa na majibu kama yako; eti Vyama Vingi vitaleta Vita.Wapi??uongoo nyie mtatuletea vita kama kama congo ,msumbiji ndio maana tunawachora tunawapa CCM nchi
Uwezo wa kufikiri kwa Watanzania wengi, umepungua/umepunguzwa.Kweli kabisa. Sijui kuna jinamizi gani hapo watu wanaogopa mabadiliko na tunafanya rejea kwa nchi zilizo kwenye mtafaruku e.g. Congo, Somali n.k. tunasahau kwamba wao ni wao na sisi ni sisi.
Hahaha..........Mimi naelewa Sana mkuu
Ilikua kawaida Gari Kuja kutuchukua kwenda kununua mahitaji pale mjini Kati kawaida tu 😂😂
Mambo ni mengi mzee alikua mtata Sana Kuna kipindi amestaafu wakawa wanakata kata umeme pale mtaa wake direct akampigia waziri ( simtaji Jina) anamwambia wewe kwanini mnakata umeme hapa kwangu anamfokea 😂, calmly waziri akamwomba msamaha na Muda mchache tanesco wakaja eeeh Nkasema hii hatari 😂😂 hii nchi watu wana power na wana zi abuse hatari mno
Note : he was not my biological father, though related by blood
Kweli waingereza walisema kwamba ujinga ni baraka!Wapi??uongoo nyie mtatuletea vita kama kama congo ,msumbiji ndio maana tunawachora tunawapa CCM nchi
Kwanini mnataka kila kitu afanye Mama? Hilo gari limekwishaonekana mbona hata Mtendaji tu wa Mtaa wa Kitumbini anaweza chukua hatua?Mama ni dhaifu, ila tunafanyaje? kweli tuendelee kumtegemea yeye? kwa haki hii?
Hiyo siyo Mali ya imma,ni Mali ya Raisi Ndiyo KatoaWizi wa mali za umma umekithiri sana.
mm concern yangu si gari kutengenezwa mitaani bali kutelekezwa.TEMESA hawana mafundi ni kama madalali tu.ukipeleka gari wanachaji mara mbili ya bei za mtaani halafu matengenezo yenyewe hayaridhishi.wanachukua mafundi mtaani ndo wanawatengenezea magari sasa si bora upeleke mtaani ambako gari litatengenezwa vzr na kwa bei nzuri?kwani mm nashangaa kwa nini TEMESA ipo mpaka sasa kama serikali inaihitaji basi iiboreshe.iajiri mafundi waliomaliza vyuo vya ufundi na ambao wamepractice kwa muda mrefu mtaani lkn kwa hali iliyopo sasa TEMESA ni madalali wa ufundi tu.Huku raia sisi tukiendela kuimba ngonjera za kusikitika kwenye mitandao ya kijamiii, hawa watawala wao wanazidi kufanya yale wanauo penda, hakuna kitakacho badilika, hata katiba mpya haitabadili huu uhuni wa watawala, hawa viongozi kuanzia top hadi chini wanajuana hawa ni wana syndicate ya kupiga pesa za umma, na wanaratiba za kwenda majukwaani kutoa machozi ya mamba.
Hawa watawala wanashindana kutoa machozi ya mamba kuhadaa wajinga na ionekana jamaa wanajali sana wanancni na wako na wanancji lakini uhalisia ni kwamba wana syndicate ya kuimaliza nchi.
Raisi anatoa crocodile tears tu na kuhadaa umma, hakuna kitu, kwamba raisi anauchungu na hii nchi ni uongo mkubwa sana, raia tusipo simama wenyewe kulinda hii nchi kwa niaba ya vizazi vijavyo tutakuwa hatutendi haki.
Angalia gari kama hilo ni kodi zetu, ni kodi za wazazi wetu kule kijijini wanao isha life gumu lakini still wanakamuliwa na Serikali kodi ili wakanunue magari kama haya na baadae wanayatelekeza mtaani.
Hata katiba mpya haitabadilisha huu ujinga zaidi ya kuja kuwa show kwamba tumechoka.
View attachment 2587531
Na bado !!Wizi wa mali za umma umekithiri sana.
Tunalijua hilo na ndo sababu tunahakikisha hampatiChadema tukishika hatamu tutawafilisi wote hao hata wakikimbilia nje ya Nchi tutatumia Interpol kuwakamata na kuwarudisha ili wakanyee debe.
Kwahiyo kaitoa Kiembesamaki?Hiyo siyo Mali ya imma,ni Mali ya Raisi Ndiyo Katoa
Ngojeni hapo hapo.Tunalijua hilo na ndo sababu tunahakikisha hampati
Daaah huku tunakufa njaa.Na huko bungeni magari mengine yameagizwa ya milioni 500 na 600 wakati haya yapoHii nchi inakwenda kufilisika kwa ufisadi. Watu wanawaza kuongeza mabus na malori tu kwa kodi zetu
Itakuwa kuna mchakato unaendelea wa kusajoli kwa umiliki binafsi.Huku raia sisi tukiendela kuimba ngonjera za kusikitika kwenye mitandao ya kijamiii, hawa watawala wao wanazidi kufanya yale wanauo penda, hakuna kitakacho badilika, hata katiba mpya haitabadili huu uhuni wa watawala, hawa viongozi kuanzia top hadi chini wanajuana hawa ni wana syndicate ya kupiga pesa za umma, na wanaratiba za kwenda majukwaani kutoa machozi ya mamba.
Hawa watawala wanashindana kutoa machozi ya mamba kuhadaa wajinga na ionekana jamaa wanajali sana wanancni na wako na wanancji lakini uhalisia ni kwamba wana syndicate ya kuimaliza nchi.
Raisi anatoa crocodile tears tu na kuhadaa umma, hakuna kitu, kwamba raisi anauchungu na hii nchi ni uongo mkubwa sana, raia tusipo simama wenyewe kulinda hii nchi kwa niaba ya vizazi vijavyo tutakuwa hatutendi haki.
Angalia gari kama hilo ni kodi zetu, ni kodi za wazazi wetu kule kijijini wanao isha life gumu lakini still wanakamuliwa na Serikali kodi ili wakanunue magari kama haya na baadae wanayatelekeza mtaani.
Hata katiba mpya haitabadilisha huu ujinga zaidi ya kuja kuwa show kwamba tumechoka.
View attachment 2587531
mm sioni kama kero haya magari yameuzwa lkn huwa yanabaki na namba za serikali na kukaa hapo muda mrefu si tatizo inabidi mtoa habari kwanza awe well informed kwa nn magari hayo yapo hapo halafu kwa utaratibu magari ya serikali yanapotengenezwa si lazima umma ujulishwe huo sio utaratibu wa kiutendaji.jambo usilolijua wewe pita njia achana nalo kama linakuuma basi fuatilia upewe ukweli vinginevyo hiyo stori haina masjiko kabaisa.Huku raia sisi tukiendela kuimba ngonjera za kusikitika kwenye mitandao ya kijamiii, hawa watawala wao wanazidi kufanya yale wanauo penda, hakuna kitakacho badilika, hata katiba mpya haitabadili huu uhuni wa watawala, hawa viongozi kuanzia top hadi chini wanajuana hawa ni wana syndicate ya kupiga pesa za umma, na wanaratiba za kwenda majukwaani kutoa machozi ya mamba.
Hawa watawala wanashindana kutoa machozi ya mamba kuhadaa wajinga na ionekana jamaa wanajali sana wanancni na wako na wanancji lakini uhalisia ni kwamba wana syndicate ya kuimaliza nchi.
Raisi anatoa crocodile tears tu na kuhadaa umma, hakuna kitu, kwamba raisi anauchungu na hii nchi ni uongo mkubwa sana, raia tusipo simama wenyewe kulinda hii nchi kwa niaba ya vizazi vijavyo tutakuwa hatutendi haki.
Angalia gari kama hilo ni kodi zetu, ni kodi za wazazi wetu kule kijijini wanao isha life gumu lakini still wanakamuliwa na Serikali kodi ili wakanunue magari kama haya na baadae wanayatelekeza mtaani.
Hata katiba mpya haitabadilisha huu ujinga zaidi ya kuja kuwa show kwamba tumechoka.
View attachment 2587531