Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
kama ulisikia jana alokiongea kansela wa GERMAN kule bungeni usingeuliza hili swaliEU anaumiaje wakati ni nchi wanachama Ni one economic block.
IRAN gani[emoji848][emoji23][emoji23]Vikwazo visikie, Iran mpaka ameshindwa kulipa mchango wake UN kwasababu ya ukata, kazidiwa na Tanzania nchi ndogo kwenye world statge.
Waulize kwanini walimtolea vikwazo urusi alipoibeba crimea na wala hakuwaombaEU anaumiaje wakati ni nchi wanachama Ni one economic block.
Huyo mchina tangu Huawei alivyotwangwa,kuna nini cha maana alichokifanya kutetea Kampuni yake,nani anataka kutumia simu isiyo na Adroid or App store.Mchina alishaondoka kwa zama za kuwa kubwa jinga,anatumia akili zaidi,Sasa sapoti lazima ukapigane ?wewe utaona mchina atakapoingia kwenye hii issue na wala hatajihusisha na vita kama urusi ......yeye atampiga huyo beberu wenu kiuchumi maana atapata resources za kutosha na kwa bei rahisi toka kwa mrusi
Kubwa jinga PUTIN ndiyo kadharirika,mikwara yote ile kumbe ni kama mkate wa Boflo tu ukiweka kwa kikombe cha chai unanywea.Abramovic huko anamposa mzee wenu wa comedy
ondoeni zote ila RUSSIA sio ZIMBABWEBenki 4 tayari zimeondolewa kwenye mfumo Leo asubuhi.
IRAN ipi?[emoji848][emoji23][emoji23]Sema hvyo hvyo zilipendwa.
Ilhali Mrusi wenu Mambo yanaanza kumuelemea.Kwa vikwazo anavyoendelea kupigwa asipotathmini atakua na hali ngumu ya kiuchumi Kama Iran .
kwamba kabla ya hivi vita walishindwa kupata hayo unayo yasema sehem nyengine mpaka wakawa wanapatia kwa RUSSIAHehehehehhe.
Licha ya kuwa na rasilimali nyingi mbona ktk mataifa kumi Bora yenye uchumi mkubwa haipo!?
Au unadhani gesi,mafuta na ngano hakuna pengine pa kuvipata zaidi ya Russia!?
Kwa dunia ya sasa nchi pekee ambayo haiwezi kuumia na vikwazo vya kiuchumi kwasababu tayari ina global influence ni China.
Hiyo Russia ina kitu kipi hasa ina produce cha kuitisha dunia kiuchumi?Ina economic influence gani globally?
Bro tazama haya Mambo kwa kina usilete ushabiki.
Mimi wamagharibi na US siwakubali ila linapokuja suala la kiuchumi basi uchumi wa dunia wameshikilia wao ndugu haina budi kuwa mpole.
Makeyboard warrior na propaganda zao ndo wananywea hadi unaomba msaada wa raia wa nje waje kukusaidia ......mikwara yote kumbe jeshi lenyewe mnato........Kubwa jinga PUTIN ndiyo kadharirika,mikwara yote ile kumbe ni kama mkate wa Boflo tu ukiweka kwa kikombe cha chai unanywea.
Miaka 11 sasa
Huyo jamaa anabwabwaja tu hovyo kuhusu cuba ila ukiwauliza wa cuba wenyewe wanakwambia hali ngumu nchini mwaoFidel castro alisema kabisa tunakomaa lakin tunaumia
Russia ni Zimbabwe iliyochangamka!ondoeni zote ila RUSSIA sio ZIMBABWE
Mchina ana subiria Russia apoteze amtenge [emoji2][emoji2][emoji2]Nimekuelewa sana bwashee!
China mjanja mjanja sana.
Kweli kabisa sijawahi kuona msomi katoka Russia karudi nyumbani na zawadi hata ya guitar zaidi ya kuwa mlevi tuRussia ni Zimbabwe iliyochangamka!
Sio kama vya Russia Shehe.Syria na vikwazo vyote alivyowekewa vipi umeona wameyumba? Korea kaskazin Cuba vipi
Vita ya uchumi ni mbaya sana, huu ulikuwa ni wosia wa mwisho wa Rais Magufuli pale St Peters Oysterbay.
Iran hiyo unayoijua ww.Weka ushabiki pembeni IRAN wananchi wake wanna hali ngumu sana.IRAN ipi?[emoji848][emoji23][emoji23]
Operating system yake ya hios kutoka Android na pia kaleta makampuni pinzani mapya km oppo na xiaomi ambayo yapo top five ktk makampuni Bora ya simu .Huyo mchina tangu Huawei alivyotwangwa,kuna nini cha maana alichokifanya kutetea Kampuni yake,nani anataka kutumia simu isiyo na Adroid or App store.Mchina alishaondoka kwa zama za kuwa kubwa jinga,anatumia akili zaidi,
China kuiweka himayani Taiwan na Hong Kong mm na support.Vipi kuhusu tishio la kuishambulia Taiwan 🇹🇼 kwamba ni jimbo lake???
kwamba kabla ya hivi vita walishindwa kupata hayo unayo yasema sehem nyengine mpaka wakawa wanapatia kwa RUSSIA
ukweli mchungu nikwamba VIKWAZO vitamuumiza URUSI halina ubishi ila nlipomsikia KANSELA wa GERMAN anasema kwamba nawao wataathirika na hv vikwazo na akawataka RAIA wajiandae nikajua kama hii ishu itawakost wote kwapamoja
RUSSIA sio ZIMBABWE