Hii vita "SHKAMOO na "MAMBO" imekuwa ngumu sana

Hii vita "SHKAMOO na "MAMBO" imekuwa ngumu sana

dcd

New Member
Joined
Mar 23, 2024
Posts
3
Reaction score
4
Hii vita "SHKAMOO na "MAMBO" imekuwa ngumu sana

Unaweza kukuta jinsia ya ke imejipodoa au tuseme imejitunza sana kufikia mahala ule uzee au umama hauonekani na unapokutana nae kwa mara ya kwanza ukimwambia "mambo" anaitika "poa" au anaweza asiitikie kabsa lkn mtu ambae anamfahamu kwa muda mrefu na amekuzidi umri anamwambia "Shkamoo" anaitikia vzr tu

The same goes kwa hawa wenye umri mdogo lkn muonekano wao ni wa kizee au umama yaani hujui umsalimie au umwambie tu mambo na ukiangalia muda mwingine ni bosi wako kabsa

NI salamu gani inafaa bila kujali muonekano wa huyo mtu kama ndio mara ya kwanza unakutana nae?
 
Ukishajitambua ni marufuku kusalimia watu shikamoo. Shikamoo ni alama ya utoto, utumwa , ujinga na umaskini.
 
  • Thanks
Reactions: dcd
Shikamoo nyokoo mi ni habari yako umeamkaje wajionaje hali, hata wazazi salam ndo iyo mama ye tushazoea kusalimiana kikristo , jifunze kutosema shkamoo hasa mikoa ya pwani tafuta salam yako moja tu ya kipwani inayoheshimika
 
  • Thanks
Reactions: dcd
Back
Top Bottom