Ni kuukausha mto Frati wafalme watokao mawio ya jua wapite.ISraeli amakuwa akipagana vita toka enzi na enzi na mara nyingi ameenda utumwani. Hii yote imekuwa ni kiimani sana kwamba. Israel ni Taifa Teule Mungu amelichagua hili kutoa elimu kwa watu wake.
Sasa hichi kinachoendelea Kati ya Israel na Iran muda huu, kiliandikwa kitatokea? Au ni ujumbe gani wa kiimani tunapewa?
Kumbuka ndugu zetu wameuliwa shambulio la Ubalozi wa USA hapa nchini.Namchukukia Israel na usa kwa kusambaza ushoga
Hata vijana wetu wengi wameharibikiwa kwa uteja ushoga kwa kigezo cha haki za binaadam vita congo navyo wizi wa rasilimali za Afrika tatizo lako umekamilishwa toa akili makalioni zirudishe kichwaniKumbuka ndugu zetu wameuliwa shambulio la Ubalozi wa USA hapa nchini.
Pia Ndugu zako wameuliwa Mkuranga Kilwa na Rufiji.
Ndugu zako wameuliwa Tanga Stakishari na wanaendelea kuuliwa vijiji vya karibu na Msumbiji na maeneo mengine ya hapa nchini ndio hoa wanaofadhiriwa na Irani.
We watetee tu magaidi hawachagui Dini wala Imani yako.
Kama Wana maslahi yao waendeleze kuuana huko huko mbali.
We subiri uingie kwenye kumi na nane zao ndio utajua kuwa ulikuwa huwajui vizuri.
Vijana wetu wamehalibikiwa na ushoga maeneo gani ?Hata vijana wetu wengi wameharibikiwa kwa uteja ushoga kwa kigezo cha haki za binaadam vita congo navyo wizi wa rasilimali za Afrika tatizo lako umekamilishwa toa akili makalioni zirudishe kichwani
Kila jambo lipo KIROHO. Vita generally ilizungumzwa na Yesu katika Biblia, mathayo 24: na Luka 21: na Marco 13:Namchukukia Israel na usa kwa kusambaza ushoga
Acha kudanganya.Haya ni maandalizi tu ya Vita iliyotabiriwa itatokea siku za mwisho. Tayari Urusi, Uturuki, Iran na nchi zingine za kiislamu zimeanza kujipanga dhidi ya Israel. Naamini baada ya Iran kuishindwa Israel ataomba Urusi na Uturuki na nchi za Kiislamu kumsaidia. Ndipo watakuja na jesho kubwa wakidhani wataiangamiza kabisa Israel. Lakini kitakachowakuta dunia yote itashangaa. Kasome kitabu cha Ezekiel sura ya 38 hadi 39
Vijana wetu wamehalibikiwa na ushoga maeneo gani ?
Mimi nimekuwekea ushahidi wa Magaidi wanaofadhiriwa na Iran kuua ndugu zetu na maeneo nimekutajia.
Nawewe ni tajie hayo maeneo yaliyo athirika kwa kuenezwa ushoga na Israeli.
Wewe vita ya Kongo inakuhusu nini kwa mfano?
Unaacha kukemea athari za mauaji katika nchi yako unaongelea nchi za wengine.
Hizo ndio akili unazo jisifia nazo kumbe.a
Dar Dodoma mwanza Arusha Kilimanjaro mbeya vita vya kongo vinanihusu sbb ni majirani zangu ndugu zangu acha ushabiki dunia hii bila Israel na usa na nato ilikuwa sehemu salama SanVijana wetu wamehalibikiwa na ushoga maeneo gani ?
Mimi nimekuwekea ushahidi wa Magaidi wanaofadhiriwa na Iran kuua ndugu zetu na maeneo nimekutajia.
Nawewe ni tajie hayo maeneo yaliyo athirika kwa kuenezwa ushoga na Israeli.
Wewe vita ya Kongo inakuhusu nini kwa mfano?
Unaacha kukemea athari za mauaji katika nchi yako unaongelea nchi za wengine.
Hizo ndio akili unazo jisifia nazo kumbe.
Kwa iyo unasemajeKila jambo lipo KIROHO. Vita generally ilizungumzwa na Yesu katika Biblia, mathayo 24: na Luka 21: na Marco 13:
Achana na imaniISraeli amakuwa akipagana vita toka enzi na enzi na mara nyingi ameenda utumwani. Hii yote imekuwa ni kiimani sana kwamba. Israel ni Taifa Teule Mungu amelichagua hili kutoa elimu kwa watu wake.
Sasa hichi kinachoendelea Kati ya Israel na Iran muda huu, kiliandikwa kitatokea? Au ni ujumbe gani wa kiimani tunapewa?
Kwahiyo kabla ya USA na Israeli kueneza Ushoga hayo maeneo hakukuwa na Mashoga hapa nchini sio ?Dar Dodoma mwanza Arusha Kilimanjaro mbeya vita vya kongo vinanihusu sbb ni majirani zangu ndugu zangu acha ushabiki dunia hii bila Israel na usa na nato ilikuwa sehemu salama San
Hujawahi kuishi kwenye maisha ya kutawaliwa, haki huwa haiombwi wala si fadhira, haki hupiganiwa ndicho kinachofanyika, ukipigania haki penda usipende utaitwa majina mengi moja wapo la gaidi ilimradi ukose haki yako.Kama Iran atapigwa basi ni mwisho wa ugaidi wa Siasa kali duniani.
Namchukia Iran kwa kufadhiri ugaidi tu.
Karibu vikundi vyote vya ugaidi kwa sasa mfadhiri Mkuu ni Iran.
HIV baba wa ushoga ulimwenguni ni nani au baba wa transgender ni nani tel Aviv ndio sehemu inapofanyik paredi kubwa kbs la mashoga dunianiKwahiyo kabla ya USA na Israeli kueneza Ushoga hayo maeneo hakukuwa na Mashoga hapa nchini sio ?
Una akili sana wewe mtu.
Kuna namna bora ya kudai haki.Hujawahi kuishi kwenye maisha ya kutawaliwa, haki huwa haiombwi wala si fadhira, haki hupiganiwa ndicho kinachofanyika, ukipigania haki penda usipende utaitwa majina mengi moja wapo la gaidi ilimradi ukose haki yako.
Ushoga upo duniani kote toka enzi na enzi.HIV baba wa ushoga ulimwenguni ni nani au baba wa transgender ni nani tel Aviv ndio sehemu inapofanyik paredi kubwa kbs la mashoga duniani
Dunia kuisha ingeisha wakati wa vita vya pili vya Dunia. Kama haikuisha hapo basi haitokuja kuishaHaya ni maandalizi tu ya Vita iliyotabiriwa itatokea siku za mwisho. Tayari Urusi, Uturuki, Iran na nchi zingine za kiislamu zimeanza kujipanga dhidi ya Israel. Naamini baada ya Iran kuishindwa Israel ataomba Urusi na Uturuki na nchi za Kiislamu kumsaidia. Ndipo watakuja na jesho kubwa wakidhani wataiangamiza kabisa Israel. Lakini kitakachowakuta dunia yote itashangaa. Kasome kitabu cha Ezekiel sura ya 38 hadi 39
Na bila kusahau,waarabu wa turuki ni wadau wa kubwa wa hzo mambo,pia watu wa madrasa Wana kuambia ni Sunna shekheeUshoga upo duniani kote toka enzi na enzi.
Kinachotokea ni baadhi ya maeneo kuficha vitendo vya ushoga na maeneo mengine mtu kujitangaza kuwa ni shoga.
Nchi zinazo kataza kuongea na mwanamke hadharani ndio zinaongoza kwa vitendo vya ushoga.
Soma kijana uijue dunia ilivyo.
Wangekuwa na akili wasingefirana wanaume kwa wanaume tena wakahalalishaKama kuna kitu wayahudi walibarikiwa basi ni Akili. Akili kweli wanazo wale jamaa. Hayo mengine naonaga ni bla bla tuu.
Na nabii wenu papa anasema mbarikiwe nae anasemajeNa bila kusahau,waarabu wa turuki ni wadau wa kubwa wa hzo mambo,pia watu wa madrasa Wana kuambia ni Sunna shekhee