Hayo ni mawazo yake, nasio nabii wetuNa nabii wenu papa anasema mbarikiwe nae anasemaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni mawazo yake, nasio nabii wetuNa nabii wenu papa anasema mbarikiwe nae anasemaje
Mawazo ya kanisa kwa ujumla na followers wakeHayo ni mawazo yake, nasio nabii wetu
Nyuzzzz za kukalili toa akili zako makalioni zirudishe kichwani utaelewaUshoga upo duniani kote toka enzi na enzi.
Kinachotokea ni baadhi ya maeneo kuficha vitendo vya ushoga na maeneo mengine mtu kujitangaza kuwa ni shoga.
Nchi zinazo kataza kuongea na mwanamke hadharani ndio zinaongoza kwa vitendo vya ushoga.
Soma kijana uijue dunia ilivyo.
ISraeli amakuwa akipagana vita toka enzi na enzi na mara nyingi ameenda utumwani. Hii yote imekuwa ni kiimani sana kwamba. Israel ni Taifa Teule Mungu amelichagua hili kutoa elimu kwa watu wake.
Sasa hichi kinachoendelea Kati ya Israel na Iran muda huu, kiliandikwa kitatokea? Au ni ujumbe gani wa kiimani tunapewa?
Huenda Mwamba aliyefufuka akawa kwenye maandalizi ya kuibuka tena ili kuchukua watu wake!
Imeanza?,mbona hao kila mara hurushiana makombora miaka mingi,au umezaliwa juzi?ISraeli amakuwa akipagana vita toka enzi na enzi na mara nyingi ameenda utumwani. Hii yote imekuwa ni kiimani sana kwamba. Israel ni Taifa Teule Mungu amelichagua hili kutoa elimu kwa watu wake.
Sasa hichi kinachoendelea Kati ya Israel na Iran muda huu, kiliandikwa kitatokea? Au ni ujumbe gani wa kiimani tunapewa?
Ujumbe mkubwa xnaa wa kiimani tunapewa mkuuISraeli amakuwa akipagana vita toka enzi na enzi na mara nyingi ameenda utumwani. Hii yote imekuwa ni kiimani sana kwamba. Israel ni Taifa Teule Mungu amelichagua hili kutoa elimu kwa watu wake.
Sasa hichi kinachoendelea Kati ya Israel na Iran muda huu, kiliandikwa kitatokea? Au ni ujumbe gani wa kiimani tunapewa?
Sema vikundi vyote vinavopingana na sera za hao marekani tutakuelewaKama Iran atapigwa basi ni mwisho wa ugaidi wa Siasa kali duniani.
Namchukia Iran kwa kufadhiri ugaidi tu.
Karibu vikundi vyote vya ugaidi kwa sasa mfadhiri Mkuu ni Iran.
Na Islamic State mfadhili mkuu ni nani?Kama Iran atapigwa basi ni mwisho wa ugaidi wa Siasa kali duniani.
Namchukia Iran kwa kufadhiri ugaidi tu.
Karibu vikundi vyote vya ugaidi kwa sasa mfadhiri Mkuu ni Iran.
Pole sana Mkuu kwa kuchelewa kulijua hilo, wakati yote hayo yalishaelezewa kinaga ubaga kwenye Quran miaka 1400 iliyopita.Mimi nimehifunza wakiristo wa jf wanachuki sana na waislam na uislam. Hili nimefunza sana.