Hii wiki sasa inatimia mke wangu ananinyima tendo la ndoa!

Tafuta mchepuko nje kisha usimuingilie wala kumuomba tena penz huyo mke ish kama humjui kisha mpunguzie matumiz hela unazompa punguza kisha punguza tension kwake atashtuka kwann umebadilika ghafla
 
Kajinyonge.
 
usimuache mkeo tafadhali naomba unipe namba yake niwasuluhuishe
 
Japo ndoa ni useng(e) uliohalalishwa
Ila uliyoyaandika hapa ni upuuzi.

Nje ya mada:-
Kama humo ndani kuna kutombew(a) mnaoa ili iweje?

Si bora muishi kibachela, ukigongewa na wewe unamtafuta wako unagonga..!!!

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Nimekupenda buree umemwambia mwenzii ukweli, kwanza anapigwaje wanawake wapo wengi sijui akili yake inawaza nini? Aje basi hata kwangu nimpe mawazo mazuri
 
Uko serious KWELI mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…