Hii ya Mgombea Urais wa CCM Kali ya Karne.

Hii ya Mgombea Urais wa CCM Kali ya Karne.

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Hii ishu ya mgombea urais wa CCM inachekesha kwelikweli kisha inahuzunisha.

Yaani anakuwa mgombea rasmi wa Chama, halafu fomu ya kuomba kugombea anajaza baadae!

Ni kama movie inayochezwa kinyumenyume

1. Ni sawa na kunywa dawa za ARV mapema kabla ya kuikwaa ngoma
2. Ni sawa na kuanza routine za kumpeleka mke clinic kabla hajapata mimba
3. Ni sawa na kupewa cheti cha kuhitimu masomo halafu mitihani utafanya baadae
4. Ni sawa na kumzika mgonjwa akiwa hai, huku ukisema atafia humohumo kaburini
5. Ni sawa na kulipwa mshahara kamili kabla hujafanya kazi.

HIVI CCM Wanakijua walichokifanya kuwa ni Uwendawazimu au hawaelewi bado?
 
Hii ishu ya mgombea urais wa CCM inachekesha kwelikweli kisha inahuzunisha.

Yaani anakuwa mgombea rasmi wa Chama, halafu fomu ya kuomba kugombea anajaza baadae!

Ni kama movie inayochezwa kinyumenyume

1. Ni sawa na kunywa dawa za ARV mapema kabla ya kuikwaa ngoma
2. Ni sawa na kuanza routine za kumpeleka mke clinic kabla hajapata mimba
3. Ni sawa na kupewa cheti cha kuhitimu masomo halafu mitihani utafanya baadae
4. Ni sawa na kumzika mgonjwa akiwa hai, huku ukisema atafia humohumo kaburini
5. Ni sawa na kulipwa mshahara kamili kabla hujafanya kazi.

HIVI CCM Wanakijua walichokifanya kuwa ni Uwendawazimu au hawaelewi bado?
Hahaha
 
Hii ishu ya mgombea urais wa CCM inachekesha kwelikweli kisha inahuzunisha.

Yaani anakuwa mgombea rasmi wa Chama, halafu fomu ya kuomba kugombea anajaza baadae!

Ni kama movie inayochezwa kinyumenyume

1. Ni sawa na kunywa dawa za ARV mapema kabla ya kuikwaa ngoma
2. Ni sawa na kuanza routine za kumpeleka mke clinic kabla hajapata mimba
3. Ni sawa na kupewa cheti cha kuhitimu masomo halafu mitihani utafanya baadae
4. Ni sawa na kumzika mgonjwa akiwa hai, huku ukisema atafia humohumo kaburini
5. Ni sawa na kulipwa mshahara kamili kabla hujafanya kazi.

HIVI CCM Wanakijua walichokifanya kuwa ni Uwendawazimu au hawaelewi bado?
Binafsi sijawahi kuielewa ccm, kwao nafasi ni kupeana tu na watu kuitwa kusema ndio au hapana, basi
 
Uyo mama kanogewa keki tamu ange achana na uraisi angetulia zake kizmkazi mimi vyenyewe sipendi kelele ningeachia kiti na zoom tu kama nilifanya mazuri yataonekana nikiachia kiti nikiwa kwenye kiti havionekani
 
Cha ajabu ni nini

Fomu atachukua Tume ya uchaguzi muda ukifika Kwa Sasa wanachama tunamchangia

Usifananishe na ile Fomu ya Sativa kule Chadema 🐼
 
Hii ishu ya mgombea urais wa CCM inachekesha kwelikweli kisha inahuzunisha.

Yaani anakuwa mgombea rasmi wa Chama, halafu fomu ya kuomba kugombea anajaza baadae!

Ni kama movie inayochezwa kinyumenyume

1. Ni sawa na kunywa dawa za ARV mapema kabla ya kuikwaa ngoma
2. Ni sawa na kuanza routine za kumpeleka mke clinic kabla hajapata mimba
3. Ni sawa na kupewa cheti cha kuhitimu masomo halafu mitihani utafanya baadae
4. Ni sawa na kumzika mgonjwa akiwa hai, huku ukisema atafia humohumo kaburini
5. Ni sawa na kulipwa mshahara kamili kabla hujafanya kazi.

HIVI CCM Wanakijua walichokifanya kuwa ni Uwendawazimu au hawaelewi bado?
YAAANI MMNAUMIZA VICHW ABURE KAFANYEI KAZI HIYO INAITWA SAYANSI YA SIASA
 
Back
Top Bottom