Hii ya Mgombea Urais wa CCM Kali ya Karne.

Hii ya Mgombea Urais wa CCM Kali ya Karne.

Hii ishu ya mgombea urais wa CCM inachekesha kwelikweli kisha inahuzunisha.

Yaani anakuwa mgombea rasmi wa Chama, halafu fomu ya kuomba kugombea anajaza baadae!

Ni kama movie inayochezwa kinyumenyume

1. Ni sawa na kunywa dawa za ARV mapema kabla ya kuikwaa ngoma
2. Ni sawa na kuanza routine za kumpeleka mke clinic kabla hajapata mimba
3. Ni sawa na kupewa cheti cha kuhitimu masomo halafu mitihani utafanya baadae
4. Ni sawa na kumzika mgonjwa akiwa hai, huku ukisema atafia humohumo kaburini
5. Ni sawa na kulipwa mshahara kamili kabla hujafanya kazi.

HIVI CCM Wanakijua walichokifanya kuwa ni Uwendawazimu au hawaelewi bado?
Utaanzisha threads ngapi on the same topic?
 
Hii ishu ya mgombea urais wa CCM inachekesha kwelikweli kisha inahuzunisha.

Yaani anakuwa mgombea rasmi wa Chama, halafu fomu ya kuomba kugombea anajaza baadae!

Ni kama movie inayochezwa kinyumenyume

1. Ni sawa na kunywa dawa za ARV mapema kabla ya kuikwaa ngoma
2. Ni sawa na kuanza routine za kumpeleka mke clinic kabla hajapata mimba
3. Ni sawa na kupewa cheti cha kuhitimu masomo halafu mitihani utafanya baadae
4. Ni sawa na kumzika mgonjwa akiwa hai, huku ukisema atafia humohumo kaburini
5. Ni sawa na kulipwa mshahara kamili kabla hujafanya kazi.

HIVI CCM Wanakijua walichokifanya kuwa ni Uwendawazimu au hawaelewi bado?
Tafsiri yake ni Kwamba Samia na Kikwete wanaweza kufanya chochote nchi hii bila kufuata utaratibu, katiba, sheria au kanuni.

Wanajua wanachokifanya wako juu ya katiba ya CCM, tume ya uchaguzi, hakuna mwanaCCM yoyote atayediriki au atatediriki kuwakosoa bila kupepesa macho, kuombaomba, kujigongagonga au kulialia. Tunakuomba mama, tunakushuku mama, umetujengea hiki, kile na kingine.

Samia na Kikwete wanawaona wana CCM wote ni maboya hawawezi kufanya chochote au kuwa na ujasiri kusimamia katiba, mchakato na utaratibu wao.

Nasubiri neno kutoka kwa aliyeandika hiyo katiba Mzee Warioba. Wanahabari mtafuteni kuomba maoni yake. Ni mwanaCCM pekee aliyebaki anayesimamia ukweli na ni jasiri.
 
Hii ishu ya mgombea urais wa CCM inachekesha kwelikweli kisha inahuzunisha.

Yaani anakuwa mgombea rasmi wa Chama, halafu fomu ya kuomba kugombea anajaza baadae!

Ni kama movie inayochezwa kinyumenyume

1. Ni sawa na kunywa dawa za ARV mapema kabla ya kuikwaa ngoma
2. Ni sawa na kuanza routine za kumpeleka mke clinic kabla hajapata mimba
3. Ni sawa na kupewa cheti cha kuhitimu masomo halafu mitihani utafanya baadae
4. Ni sawa na kumzika mgonjwa akiwa hai, huku ukisema atafia humohumo kaburini
5. Ni sawa na kulipwa mshahara kamili kabla hujafanya kazi.

HIVI CCM Wanakijua walichokifanya kuwa ni Uwendawazimu au hawaelewi bado?
Mbona nyinyi wanasaccos wa CDM mnahangaika sana na mambo ya chama kubwa CCM? Kwani ni kosa wanachama kupitia Mkutano Mkuu kumwomba mwanachama wao kuwa mgombea wa urais? Hangaikeni na Saccos yenu huko ya CCM muwaachie wanaccm wenyewe ndio walivyoamua.
 
Walifanya Hivyo ili kuendeleza mserereko wa aliyerithi madaraka aendelee kupata huo mserereko.
Ni mwendo wa Mserereko na mteremko kwa kwenda mbele. Mambo ya urithi hayo. Nafikiri anahisi amerithi uenyekiti na Urais hadi atakapoamua kustaafu au kifo.

Katiba, taratibu, michakato, kanuni itatumika kupigia mihuri na kuidhinisha vitu tayari alivyoviamua yeye binafsi SSH kichwani mwake. Tutegemee hayohayo uchaguzi mkuu.
 
Hii ishu ya mgombea urais wa CCM inachekesha kwelikweli kisha inahuzunisha.

Yaani anakuwa mgombea rasmi wa Chama, halafu fomu ya kuomba kugombea anajaza baadae!

Ni kama movie inayochezwa kinyumenyume

1. Ni sawa na kunywa dawa za ARV mapema kabla ya kuikwaa ngoma
2. Ni sawa na kuanza routine za kumpeleka mke clinic kabla hajapata mimba
3. Ni sawa na kupewa cheti cha kuhitimu masomo halafu mitihani utafanya baadae
4. Ni sawa na kumzika mgonjwa akiwa hai, huku ukisema atafia humohumo kaburini
5. Ni sawa na kulipwa mshahara kamili kabla hujafanya kazi.

HIVI CCM Wanakijua walichokifanya kuwa ni Uwendawazimu au hawaelewi bado?
Mkuu, maana ya CCM imebadilika na kuwa Chama Cha Machawa, na ajenda yao kubwa hivi sasa ni kusifu na kuabudu tu uongozi uliopo madarakani..

Katika mkutano wao ule mkuu walikuwepo kuwepo tu bila hata ya kuyazungumzia mambo ya msingi ya taifa letu. Mzee wa miaka 76 anaachia ngazi na "replacement" inafanyika na kikongwe cha miaka 80 huku wakishangilia kwa nguvu!?

Hichi ndicho hasa wanachokistahili kukipata. Tume ya Uchaguzi hata bado haijazindua rasmi zoezi la uchaguzi mkuui, wao tayari wameshaanza kampeni.
 
Maneno yamekua Mengi kama sio kamdomo ,je mnatokaje hapo mlipo jikwaa ,binafsi sio mwana ccm , ila kiu yangu kuona vyama imara ndani ya inchi ( namanisha ccm na Chadema)
Ili taifa lichangamke lazima kuwa na vyma imara ,makombra yapigwe sawasawa kwenye majukwaa ya kisiasa sio kutekana.

Mwenye jibu ccm anijibu what next , ukweli mmebolonga ,sasa mnatokaje hapa?

Mmevuja sheria na kanuni za chama chenu na ikumbukwe ccm ni chama cha umma ndo maana mnalipwa ruzuku ambayo inatokana na kodi za wananchi.

Tafadhali tupeni majibu what next ,vinginevyo hakuna kulalama hapa
 
Mgombea urais wa CCM kwenye siasa amezoea vya kunyonga, vya kuchinja haviwezi.

Amezoea kupewapewa, ila kuhustle na kuumia ili kupata nafasi fulani ya kisiasa hayo mambo hajazoea.

Kalelewalelewa na akina JK kwa kupewapewa vyeo kirahisirahisi, matokeo yake kafika juu sasa anaona yuko entitled hata kupindisha taratibu na kanuni za chama ili aendelee kuenjoy entitlement yake!

Ndiyo maana ametuletea kituko cha karne, cha kuweka mkokoteni mbele ya farasi
 
Hii ishu ya mgombea urais wa CCM inachekesha kwelikweli kisha inahuzunisha.

Yaani anakuwa mgombea rasmi wa Chama, halafu fomu ya kuomba kugombea anajaza baadae!

Ni kama movie inayochezwa kinyumenyume

1. Ni sawa na kunywa dawa za ARV mapema kabla ya kuikwaa ngoma
2. Ni sawa na kuanza routine za kumpeleka mke clinic kabla hajapata mimba
3. Ni sawa na kupewa cheti cha kuhitimu masomo halafu mitihani utafanya baadae
4. Ni sawa na kumzika mgonjwa akiwa hai, huku ukisema atafia humohumo kaburini
5. Ni sawa na kulipwa mshahara kamili kabla hujafanya kazi.

HIVI CCM Wanakijua walichokifanya kuwa ni Uwendawazimu au hawaelewi bado?
Nakwambia kabla jogoo hajawika we makamba utakuwa umewika mara tatu
 
Hii ishu ya mgombea urais wa CCM inachekesha kwelikweli kisha inahuzunisha.

Yaani anakuwa mgombea rasmi wa Chama, halafu fomu ya kuomba kugombea anajaza baadae!

Ni kama movie inayochezwa kinyumenyume

1. Ni sawa na kunywa dawa za ARV mapema kabla ya kuikwaa ngoma
2. Ni sawa na kuanza routine za kumpeleka mke clinic kabla hajapata mimba
3. Ni sawa na kupewa cheti cha kuhitimu masomo halafu mitihani utafanya baadae
4. Ni sawa na kumzika mgonjwa akiwa hai, huku ukisema atafia humohumo kaburini
5. Ni sawa na kulipwa mshahara kamili kabla hujafanya kazi.

HIVI CCM Wanakijua walichokifanya kuwa ni Uwendawazimu au hawaelewi bado?
JK mjanja sana. Kabla alitoa kauli ya hofu na shaka kuhus tume juu ya hayo maamuzi. Ila kuna mtego hapo umetegwa
 
Hii ishu ya mgombea urais wa CCM inachekesha kwelikweli kisha inahuzunisha.

Yaani anakuwa mgombea rasmi wa Chama, halafu fomu ya kuomba kugombea anajaza baadae!

Ni kama movie inayochezwa kinyumenyume

1. Ni sawa na kunywa dawa za ARV mapema kabla ya kuikwaa ngoma
2. Ni sawa na kuanza routine za kumpeleka mke clinic kabla hajapata mimba
3. Ni sawa na kupewa cheti cha kuhitimu masomo halafu mitihani utafanya baadae
4. Ni sawa na kumzika mgonjwa akiwa hai, huku ukisema atafia humohumo kaburini
5. Ni sawa na kulipwa mshahara kamili kabla hujafanya kazi.

HIVI CCM Wanakijua walichokifanya kuwa ni Uwendawazimu au hawaelewi bado?
Hakuna mtu alowachoka CCM kama mimi
 
Back
Top Bottom