Hii ya Mgombea Urais wa CCM Kali ya Karne.

Hii ya Mgombea Urais wa CCM Kali ya Karne.

a
Hii ishu ya mgombea urais wa CCM inachekesha kwelikweli kisha inahuzunisha.

Yaani anakuwa mgombea rasmi wa Chama, halafu fomu ya kuomba kugombea anajaza baadae!

Ni kama movie inayochezwa kinyumenyume

1. Ni sawa na kunywa dawa za kunywa ARV mapema kabla ya kuikwaa ngoma
2. Ni sawa na kuanza kumpeleka mke clinic kabla hajapata mimba
3. Ni sawa na kupewa cheti cha kuhitimu masomo halafu mitihani utafanya baadae
4. Ni sawa na kumzika mgonjwa akiwa hai, huku ukisema atafia humohumo kaburini
5. Ni sawa na kulipwa mshahara kamili kabla hujafanya kazi.

HIVI CCM Wanakijua walichokifanya kuwa ni Uwendawazimu au hawaelewi bado?
Unafiki unapofikia kiwango fulani, kitendo walichofanya CCM, pamoja na kuzua maswali lukuki na ya kusikitisha, hakishangazi hata kidogo.

Linalosikitisha na kushangaza zaidi ni kuona watu wazima wakijipiga kifua na kujisifu jinsi walivyoweza kufanikisha zoezi hilo kidemokrasia!

Haikuishia hapo tu wakawatuma wanaodaiwa kuwa waandishi wabobezi kutumia zaidi ya saa nzima redio ya taifa kutetea na kusifia eti zoezi hilo!

Laiti hao waandishi wangetumika kusifia ukomavu uliooneshwa na Chadema katika kumpata mwenyekiti na viongozi wake waandamizi kidemokrasia!

Lakini wapi!
 
Hii ishu ya mgombea urais wa CCM inachekesha kwelikweli kisha inahuzunisha.

Yaani anakuwa mgombea rasmi wa Chama, halafu fomu ya kuomba kugombea anajaza baadae!

Ni kama movie inayochezwa kinyumenyume

1. Ni sawa na kunywa dawa za ARV mapema kabla ya kuikwaa ngoma
2. Ni sawa na kuanza routine za kumpeleka mke clinic kabla hajapata mimba
3. Ni sawa na kupewa cheti cha kuhitimu masomo halafu mitihani utafanya baadae
4. Ni sawa na kumzika mgonjwa akiwa hai, huku ukisema atafia humohumo kaburini
5. Ni sawa na kulipwa mshahara kamili kabla hujafanya kazi.

HIVI CCM Wanakijua walichokifanya kuwa ni Uwendawazimu au hawaelewi bado?
Do mkuu umemaliza kila kona , nimejikuta naangua kecheko mpaka watu wakanishangaa, Jf raha sana, hata kama huna pesa mfukoni , jf itakufanya kuwa jasiri sana , Mwenyekiti ccm imfikie popote alipo.

Mzee wa Msoga ,Mzee wangu JK kula chuma ichi
 
Wakuu!

Kwenye mkutano huo wa CCM ile majuzi, siku ya kwanza kabisa msemaji Amosi Makala alisema kuna wajumbe watano hawajahudhuria.

Naomba kama kuna yeyote anyefaham hao wajumbe atujuze hapa! na inaonekana watakuwa ni wajumbe wenye high profile katika chama, mana kutofika katika mkutano kama huo hivi hivi mi ngumu.
 
Me nawaza tu,alivyo mvivu hizo kampeni za nchi nzima ataweza kweli kufanya?au ndio TISS watamsaidia kufanya kampeni?
 
Mkuu, unaelewa maana ya ku-backdate?
Siku ile kwenye Mkutano JK alisema watabaki kuangalia utaratibu unakwendaje wauweke sawa kisheria ili wasije kukwama mbeleni lakini hilo limeshapita. Hakuna uteuzi mwingine baada ya hapo😃😃
 
Ni sawa na kuchimba kaburi wakati mgonjwa anapelekwa hospitali kucheki afya.
 
Walifanya Hivyo ili kuendeleza mserereko wa aliyerithi madaraka aendelee kupata huo mserereko.
 
Hii ishu ya mgombea urais wa CCM inachekesha kwelikweli kisha inahuzunisha.

Yaani anakuwa mgombea rasmi wa Chama, halafu fomu ya kuomba kugombea anajaza baadae!

Ni kama movie inayochezwa kinyumenyume

1. Ni sawa na kunywa dawa za ARV mapema kabla ya kuikwaa ngoma
2. Ni sawa na kuanza routine za kumpeleka mke clinic kabla hajapata mimba
3. Ni sawa na kupewa cheti cha kuhitimu masomo halafu mitihani utafanya baadae
4. Ni sawa na kumzika mgonjwa akiwa hai, huku ukisema atafia humohumo kaburini
5. Ni sawa na kulipwa mshahara kamili kabla hujafanya kazi.

HIVI CCM Wanakijua walichokifanya kuwa ni Uwendawazimu au hawaelewi bado?
Mafisadi walikuwa wanawahi kuziba mianya mapema ili wasinyang'anywe keki ya taifa
 
Hii ishu ya mgombea urais wa CCM inachekesha kwelikweli kisha inahuzunisha.

Yaani anakuwa mgombea rasmi wa Chama, halafu fomu ya kuomba kugombea anajaza baadae!

Ni kama movie inayochezwa kinyumenyume

1. Ni sawa na kunywa dawa za ARV mapema kabla ya kuikwaa ngoma
2. Ni sawa na kuanza routine za kumpeleka mke clinic kabla hajapata mimba
3. Ni sawa na kupewa cheti cha kuhitimu masomo halafu mitihani utafanya baadae
4. Ni sawa na kumzika mgonjwa akiwa hai, huku ukisema atafia humohumo kaburini
5. Ni sawa na kulipwa mshahara kamili kabla hujafanya kazi.

HIVI CCM Wanakijua walichokifanya kuwa ni Uwendawazimu au hawaelewi bado?
Ni sawa na kupatiwa cheti cha (ufaulu) wa ndoa wakati hujawahi kuiishi hiyo ndoa.
 
Back
Top Bottom