johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Ukishindwa kumzuia unajiuzulu tu.Akiamrisha, AG ana uwezo wa kikatiba wa kumzuia Rais kutekeleza jambo analotaka?
Ni ujinga wa hali ya juu kuwa na sheria kama hii. Atashtakiwaje mtu ambaye hana uwezo wa kumzuia Rais kutenda kosa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaelewa majukumu ya AG lakini?Chalinze waandamane kudai haki zao za msingi kama maji na umeme Rais aamuru police force kumuua kiongozi wa waandamanaji, polisi watekeleze halafu mwanasheria mkuu ambaye hana cheo cha u Amiri jeshi mkuu ashitakiwe!!!!!
Very stupidity
Ngoja niendelee na wanaoona !kipi hasa ulichokileta hapa ili nikukosoe? weka analysis hapa ili nikukosoe,sioni chochote zaidi ya vigelegele
Kanusha huo mfano aliokupa hapo/functions za AG nje ya huo mfano in relation ya kile kilichopitishwa na Bunge ni kipi?Unaelewa majukumu ya AG lakini?
chini ya sheria hii, yeyote atakayekuwa anakubali kuteuliwa kama AG lazima atakuwa ama ni psychiatric case ama ni msukule!Jana nimesikia kupitia mjadala bungeni kwamba sheria inarekebishwa na sasa Rais hatoshtakiwa kama mtu binafsi kwa mambo aliyoyatenda wakati akiwa madarakani na badala yake atashtakiwa Mwanasheria mkuu ( AG)
Mimi siyo mwanasheria lakini nakubaliana na haya marekebisho.
Maendeleo hayana vyama!
Ngoja niendelee na wanaoona !
Nimekuelewa bwashee!chini ya sheria hii, yeyote atakayekuwa anakubali kuteuliwa kama AG lazima atakuwa ama ni psychiatric case ama ni msukule!
Utopolo rais inabidi ashitakiwe!!Jana nimesikia kupitia mjadala bungeni kwamba sheria inarekebishwa na sasa Rais hatoshtakiwa kama mtu binafsi kwa mambo aliyoyatenda wakati akiwa madarakani na badala yake atashtakiwa Mwanasheria mkuu ( AG)
Mimi siyo mwanasheria lakini nakubaliana na haya marekebisho.
Maendeleo hayana vyama!
AG ana mamlaka ya kumzuia Rais katika utendaji wake wa kila siku?Wakati anaamrisha AG anakuwa wapi?!
Yeye ndio mshauri mkuu wa Rais!AG ana mamlaka ya kumzuia Rais katika utendaji wake wa kila siku?
Lakini Rais ana mamlaka kisheria kukataa ushauri!Yeye ndio mshauri mkuu wa Rais!
Mkuu jamaa ameongea kinyume au kejeri,Soma katikati ya mistari utamuelewaUnaanzisha thread huku ukikiri kuwa hujui lakini unapiga vigelegele,hopeless
Mkuu jamaa ameongea kinyume au kejeri,Soma katikati ya mistari utamuelewa
Ukiwamo na weweTaifa la wajinga na mang'ombe
Ila AG kateuliwa na Rais,ingekuwa vizuri teuzi yake isifanywe na Rais.AG ndio mshsuri mkuu wa Rais...... Anawajibika kuhakikisha Rais hafanyi makosa!
Kwani juzi spika alivyoshtakiwa nn kilipungua?Jana nimesikia kupitia mjadala bungeni kwamba sheria inarekebishwa na sasa Rais hatoshtakiwa kama mtu binafsi kwa mambo aliyoyatenda wakati akiwa madarakani na badala yake atashtakiwa Mwanasheria mkuu ( AG)
Mimi siyo mwanasheria lakini nakubaliana na haya marekebisho.
Maendeleo hayana vyama!