Hii ya Tanzania Kupeleka wanajeshi Congo imekaaje!?

Burundi pia ni nchi ya ahadi tuliyochaguliwa na Mwigulu
 
$500 kwa siku.....huku salary yako ipo ksma kawa..suala urudi salama tu...ukikaa miaka 3 si haba ukirudi hukosi 70m to 100m

Hizo ni hela ndogo sana. Lakini heri ya nusu shari kuliko shari kamili.
 
Ukitaka Vita na Tanzania gusa Burundi.
 

hujaeleza anaepanga ni nani???
ukiona hivo ujue kuna sehemu mmezidiwa sehemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…