Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,781
- 3,591
- Thread starter
- #61
Mbona huwa mkienda mnarudi mnalalama migongo kwa kushinda na bulletOya acha kutuona tunapoteza muda...
Unajua maokoto ya kulitumikia jeshi la muungano wa SADC au UN wewe?
Unataka tubaki kwenye makambi Bongo halafu tufaidike nini?
proof huku sheria za UN zikowataka mfanye hivyo ili likiwapata la
Kuwapata mlipwe vinginevyo hamlipwi kwani ni uzembe kutovaa bullet proof.
Kama ni officer mkuu malundo yapo yakushato sio sawa na wapiganaji